poa nimekusoma
hapana mpaka upigiwe simu ndo unaenda
we ulipeleka barua pale coz mimi nilipeleka yule mzee akaniambia interview tareh 20 saa 2 nisikose
hata mm nilipeleka.yule mzee akaniambia taree 20 ndo interview.
majanga tu mi hata sielewi maana kuna mtu yupo fb kwenye page ya landmark anadai mpaka upigiwe simu kama tangazo linavyoeleza so mi sielewi unajua kule mbali alafu noma unajipeleka then unaambiwa haujaitwa hapa
yeah!kule mbali.lakini yule mzee alisema interview tar 20 na saa mbili 2we pale.kwani ww ulivyompa alikuandika kwenye daftari?maana ukimpa bahasha anafungua alafu anakuandika ndo anasemd njoo tar 20.
hapana mpaka upigiwe simu ndo unaenda
nilipeleka ila yule mzee alisema kama mlivyo ambiwa asa inakuaje hapo
we ulipeleka barua pale coz mimi nilipeleka yule mzee akaniambia interview tareh 20 saa 2 nisikose
hawaeleweki mi na rafki yangu tulipeleka pale hazkfnguliwa na tukaandika majina yule babu akatuambia twende kwny intvw tarh 20 rafk yang akamwambia tutakujaje bila kpigiwa cm yle mzee akasema ye ndo alivyoagizwa kusema hvyo . . . . . . Sa cjui mtu afate tangazo au yule mzee
hawaeleweki mi na rafki yangu tulipeleka pale hazkfnguliwa na tukaandika majina yule babu akatuambia twende kwny intvw tarh 20 rafk yang akamwambia tutakujaje bila kpigiwa cm yle mzee akasema ye ndo alivyoagizwa kusema hvyo . . . . . . Sa cjui mtu afate tangazo au yule mzee