- Thread starter
- #41
Mmakonde:
Sio watu wapo kwenye denial. Hila unajenga hoja kwa kutumia fallacies. Mambo yote unayosema kuwa mchagga kayafanya, Muhaya ameyafanya. Wana majumba makubwa kwenye mashamba kama vile wachagga. Wamesoma kama vile wachagga. Sasa kwanini umependekeze Mchagga na sio Muhaya?
Na kama criteria za kumpata rais ziwe zinajumlisha kabila lenye watu wenye nyumba nzuri na TV, basi vipo vikabila vidogo vidogo vyenye kufikia mambo hayo. Wahindi wa Tanzania ni kabila na wana maendeleo makubwa kuliko mchagga, wapeni urais.
Unasema wewe sio Mchagga, lakini una akili ya ku-observe na kutoa maoni. Hii pia haifanyi maoni yako yawe sahihi. Kwanza unafanya generalization. Pili huko subjective. Tatu unakiuka kanuni za kiuchumi.
Mhaya?Mhindi?
You are jocking!