LADIES/women MSAADA pliz

bodachogo

Member
Apr 14, 2011
89
8
Katika approach zaidi ya 15 nilizofanya almost zote nimeambulia rejections,i m tired of being lonely can you assisst ktk njia ambazo zinaweza mfanya m/ke anase cz i feel insecure na sitamani ku-approach tena . Its very serious , Pliz assist me, sitaki kushawishka kununua ngono kabisa wala kijichua. How can convince you ladies,nimefikia hatua ya kuhisi mapenzi kama dhana tu ambayo haipo ktk ulimwengu halisi. Ahsanteni kwa kunisikiliza ila msaada wako wa mawazo ni muhimu.
 
Kukusaidia; dadavua hizo 15 approaches ulizotumia ili tuobe ulikosea wapi!

Pia jielezee kidogo who r u as a person!
 
Katika approach zaidi ya 15 nilizofanya almost zote nimeambulia rejections,i m tired of being lonely can you assisst ktk njia ambazo zinaweza mfanya m/ke anase cz i feel insecure na sitamani ku-approach tena . Its very serious , Pliz assist me, sitaki kushawishka kununua ngono kabisa wala kijichua. How can convince you ladies,nimefikia hatua ya kuhisi mapenzi kama dhana tu ambayo haipo ktk ulimwengu halisi. Ahsanteni kwa kunisikiliza ila msaada wako wa mawazo ni muhimu.

pole sana; maswali ya kujiuliza: Unataka nini?

a. Unataka mtu wa kukupenda? (je unapenda na uko tayari kupenda)
b. Unataka mtu wa kukupa ngono? (hili linaamuliwa na hela)
c. Unataka mtu wa kukupa company (a cat and a little dog might be good companies)
d. Unataka mtu wa kuishi naye katika maisha ya ndoa (uko tayari kwa ndoa)
e. Unataka mtu wa vipi?


Katika jibu lolote hapo juu - unatumia njia gani kumpata?

a. Dada nakupenda kuliko pipi?
b. Dada nakutaka njoo tungonoane?
c. Dada hivi kwenu mnafuga mbuzi?
d. Dada hivi kwanini hunipendi?
e. Dada ningependa tufahamiane... naitwa...
f. Samahani dada naomba unielekeze mahali naona nimepotea...
 
Nadhani ni bora ujaribu kua rafiki kwanza, take your time,
ukiwa rafiki utajua wanapenda nini na hawapendi nini,
then utajua cha kufanya...
It is just a suggestion, I don't chase girls :tongue:
 
na kweli,tatizo ni hilo....PESA SABUNI YA ROHO....ukiwa nazo,wenyewe watajigonga au niseme mie nitajigonga....
 
hahaha sasa wewe kijana chekesha sana eti sitaki nunua ngono...kijana real world ngono utainuna in one form or another so weka mbali hiyo dhana ya kwamba utamu unapatikana free of charge
kuhusu kupigwa chini wala usipate preaha itafika wakati utapata keep trying....ila una honga wewe maana inaweza kuwa ndio tatizo coz seems wataka utamu for free
 
Katika approach zaidi ya 15 nilizofanya almost zote nimeambulia rejections,i m tired of being lonely can you assisst ktk njia ambazo zinaweza mfanya m/ke anase cz i feel insecure na sitamani ku-approach tena . Its very serious , Pliz assist me, sitaki kushawishka kununua ngono kabisa wala kijichua. How can convince you ladies,nimefikia hatua ya kuhisi mapenzi kama dhana tu ambayo haipo ktk ulimwengu halisi. Ahsanteni kwa kunisikiliza ila msaada wako wa mawazo ni muhimu.

Mapenzi si jambo la majaribio na inavyoonyesha kuwa unafanya majaribio. Apendaye kweli hakati tamaa na apendaye kweli haweki msururu wa aliowapenda. Inaonyesha unatafuta wapi pa kufanya ngono huku ukiukataa ukweli kuwa ngono ni biashara na ina wanachama wake ambao kinachowaunganisha ni pesa. Kama unachotafuta mapenzi basi inabidi upite kwenye hatuwa zake kwani si jambo la kulala na kuamka ukafanikiwa.
Ushauri wangu kwako ni kuwa kwavile unatafuta ngono basi hiyo ya bure haipo ama uilipie au utalazimika huko kujichuwa!
 
pole sana; maswali ya kujiuliza: Unataka nini?

a. Unataka mtu wa kukupenda? (je unapenda na uko tayari kupenda)
b. Unataka mtu wa kukupa ngono? (hili linaamuliwa na hela)
c. Unataka mtu wa kukupa company (a cat and a little dog might be good companies)
d. Unataka mtu wa kuishi naye katika maisha ya ndoa (uko tayari kwa ndoa)
e. Unataka mtu wa vipi?


Katika jibu lolote hapo juu - unatumia njia gani kumpata?

a. Dada nakupenda kuliko pipi?
b. Dada nakutaka njoo tungonoane?
c. Dada hivi kwenu mnafuga mbuzi?
d. Dada hivi kwanini hunipendi?
e. Dada ningependa tufahamiane... naitwa...
f. Samahani dada naomba unielekeze mahali naona nimepotea...
Kumbe na huku upo? hahahaha
 
Katika approach zaidi ya 15 nilizofanya almost zote nimeambulia rejections,i m tired of being lonely can you assisst ktk njia ambazo zinaweza mfanya m/ke anase cz i feel insecure na sitamani ku-approach tena . Its very serious , Pliz assist me, sitaki kushawishka kununua ngono kabisa wala kijichua. How can convince you ladies,nimefikia hatua ya kuhisi mapenzi kama dhana tu ambayo haipo ktk ulimwengu halisi. Ahsanteni kwa kunisikiliza ila msaada wako wa mawazo ni muhimu.

15 approches = ALL REJECTED (15)
100 Approches = X
therefore: 100 approches x all rejected (15) = X15 approches
X = 100 x 15/15 = 100 ALL REJECTED

AM I CORRECT?

ACHANA NA MAMBO HAYA CHAPA KAZI WATAKUJA WENYEWE TU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom