yaaaa nitarudi lakini watu wanaliiiiiiiiiiiiiia
hao wanaowafanya walie sio wanasheria halisi maana unaona hapo kabisa We never cheat na nikikupania nakupata
yaaaa nitarudi lakini watu wanaliiiiiiiiiiiiiia
inaaminika kuwa lawyer wengi ni 'so bad in bed'
kwa kuwa wanajiona wanajua kila kitu....
yaani kuna mpaka jokes nyingi kuhusu lawyer na hilo jambo...lol
Hahaha!! Umenikumbusha kuna lawyer alikuwa alikuwa anataka kufungua kampuni ya IT, he called me for an advice so nikamuuliza are you going to be a lawyer for your own company akasema no i will hire one nilicheka sanaNa hapa ni kwa wanasheria ni lazima uwakubali tuu lol
1) We are VERY good with our tongues
2) We LOVE dressing up
3) We will protect you (even if you're wrong)
... 4) We are ****ing minted
5) Our profession requires us to be on the job for up to 3 weeks!!!
6) With our degree, we can get into almost every position
7) We never cheat
8) Whatever the situation, WE CAN GET YOU OFF (that is how we are )
makauzu kweli kweli bana loh?hahaha!! Umenikumbusha kuna lawyer alikuwa alikuwa anataka kufungua kampuni ya it, he called me for an advice so nikamuuliza are you going to be a lawyer for your own company akasema no i will hire one nilicheka sana
Hahaha!! Umenikumbusha kuna lawyer alikuwa alikuwa anataka kufungua kampuni ya IT, he called me for an advice so nikamuuliza are you going to be a lawyer for your own company akasema no i will hire one nilicheka sana
hao wanaowafanya walie sio wanasheria halisi maana unaona hapo kabisa We never cheat na nikikupania nakupata
ulshaona eeeh bize 24hrs loh?kila saa mpo bize tu na mapenal code mkononi hata mkikumbatiwa hamtaki eti mtachafua suti zenu na hayo mashati yenu meupe!! Lol........nawaaminia kwa kuchimba mkwaraaaa!!
mi nina wivu sana bora nimdate kloro muuza mitumba.Hata wewe Husninyo? Duuh...nimeanza kushtukia kwa nini vibuti vilikuwa vingi, kumbe PM zangu nilikuwa nazituma kusiko!
Kloro ni muuza urembo kakudanganyami nina wivu sana bora nimdate kloro muuza mitumba.
unamvunjia kloro heshima, mwenzio mitumba anaifata mwenyewe china.Kloro ni muuza urembo kakudanganya
unamvunjia kloro heshima, mwenzio mitumba anaifata mwenyewe china.
we nyani mtuuuuuu..Silly smurf.
we nyani mtuuuuuu..
Hebu njoo hapa uonje hii unambie ladha yake.
khaaa,hii thread ikihamishwiwa jukwaa la chatu dume nakupa ban.
Baada ya kuonja hebu nambie sasa...tamu? chungu? chachu?
sisemi
Al jununi fununi
maana yake uwendawazimu una aina nyingi
Muone kwanza...shepu kama kabati!