Mkutano wa CCM wilaya ya Meatu umesambaratika baada ya nyuki kushambulia na kujeruhi watu wakiwamo viongozi wa CCM wilaya hiyo na wajumbe wa NEC.
Ndo tuseme ni laana au ni nini?mpaka wanyama na wadudu wanaichukia CCM,hakika CCM kifo chao kinakuja.
Source:Habari star Tv.
Ndo tuseme ni laana au ni nini?mpaka wanyama na wadudu wanaichukia CCM,hakika CCM kifo chao kinakuja.
Source:Habari star Tv.