La Liga tamu kuliko Premier!

Papa Mopao

JF-Expert Member
Oct 7, 2009
4,107
2,506
Nimegundua inawezekana Ligi Kuu ya Hispania ikawa na mvuto zaidi kwa kumtazama mchezaji mmoja mmoja ukilinganisha na Ligi ya England ambayo sana sana unaitazama kwa uwezo wa timu kushinda kitimu.

Na ndo maana huoni maajabu ya mchezaji mmoja mmoja katika Ligi ya UK ukilinganisha na Ligi ya Spain. Hata wachezaji wenye mvuto wamekimbia UK na wengi hawaendi kucheza UK.

Hayo ni kwa mtazamo wangu lkn!
 
Jana Umeshuhudia Kichapo alichopewa barca na SEVILLA!?
NAONA LIGI HII ITAKUWA YA USHINDANI MKUBWA..KANOUTE KWA TOBOA MBILI NZURI TU MPAKA MWISHO SEVILA 3 BARCA 1
 
Jana Umeshuhudia Kichapo alichopewa barca na SEVILLA!?
NAONA LIGI HII ITAKUWA YA USHINDANI MKUBWA..KANOUTE KWA TOBOA MBILI NZURI TU MPAKA MWISHO SEVILA 3 BARCA 1
that was friendly... in'it?
 
Yea ilikuwa mechi ya supercopa... mana ligi yao yaanza next wk kama sijakosea..
Kanoute at the double
frederickanoutecelebvbarca20100814_412x232.jpg

Sevilla claimed first-leg honours against Primera Division champions Barcelona as they fought back from a goal down to win 3-1 in the Supercopa. Zlatan Ibrahimovic put Barcelona ahead, but Luis Fabiano levelled and substitute Frederic Kanoute scored twice
 
Ligi ya Spain inaanza Rasmi tar 29 August 2010..Vigogo wote watakuwa kwenye away games
 
Jana Umeshuhudia Kichapo alichopewa barca na SEVILLA!?
NAONA LIGI HII ITAKUWA YA USHINDANI MKUBWA..KANOUTE KWA TOBOA MBILI NZURI TU MPAKA MWISHO SEVILA 3 BARCA 1
sevilla,atletico madrid na villareal ni wasumbufu sana kwa barca,halafu forlan ni mchezaji ambae mara nyingi anawafunga sana barca toka akiwa villareal na leo atletico madrid,spain mpira upo juu,sema england wanajitangaza sana,ila chukulia mfano team kama atletico bilbao ikicheza na everton,everton atalowa,mara nyingi ukifuatilia toka miaka iliyopita tima kama valencia,deportivo zimemfunga arsenal na kumtoa ktk michuano ya uefa wakati arsenal inahesabika kama timu kubwa england,na timu za england eg leeds ilikuwa inatamba miaka ya 2000 mwanzoni,ikala 4-0 kwa barca kule nou camp,na 3-0 kwa valencia mendieta pale mestalla,ukiachilia sasa timu 4 za england man utd,chelsea,arsenal na liverpool,ndizo zinaweza kuzitoa timu za spainza kawaida eg valencia,seilla,osasuna,zaragoza,kwa barca na real madrid sio rahisi panaweza kuchimbika au hata zikatolewa timu za england.
 
sevilla,atletico madrid na villareal ni wasumbufu sana kwa barca,halafu forlan ni mchezaji ambae mara nyingi anawafunga sana barca toka akiwa villareal na leo atletico madrid,spain mpira upo juu,sema england wanajitangaza sana,ila chukulia mfano team kama atletico bilbao ikicheza na everton,everton atalowa,mara nyingi ukifuatilia toka miaka iliyopita tima kama valencia,deportivo zimemfunga arsenal na kumtoa ktk michuano ya uefa wakati arsenal inahesabika kama timu kubwa england,na timu za england eg leeds ilikuwa inatamba miaka ya 2000 mwanzoni,ikala 4-0 kwa barca kule nou camp,na 3-0 kwa valencia mendieta pale mestalla,ukiachilia sasa timu 4 za england man utd,chelsea,arsenal na liverpool,ndizo zinaweza kuzitoa timu za spainza kawaida eg valencia,seilla,osasuna,zaragoza,kwa barca na real madrid sio rahisi panaweza kuchimbika au hata zikatolewa timu za england.

Ndo hicho ambacho nilikuwa naizungumia mimi. Spain ukiangalia kuna wachezaji wenye uwezo mrefu uwanjani uilinganisha England ambako mchezaji anaosa hata muda wa uonesha uwezo wake. Kanu aliwahi kulalamika hicho kwamba Ligi ya UK haimpi nafasi mtu ufanya vitu vyake kama Ligi za nchi zingine kama Spain na Brazil,sijui kwingine. Nimefuatilia Ligi za Brazil,Spain na UK,kuna utofauti wa utamu katika ligi kwa kweli.
 
Ni kweli mpira wa spain unautamu na viburudisho vyake..ila kwa matangazo ya media EPL wapo juu kwenye kujinadi..nadhani ndo nature ya wa briton katika kila jambo wanapenda kusifia kweli mtu wao anapofanya vizuri..najua leo magazeti yao mengi yamechonga jana Murray alipomchapa Mkongwe Roger Federer,.Anyways spain naona msimu huu utakuwa na ushindani sana kwa vigogo RM na FCB wote wanatimu nzuri kutokana usajili wao na RM wanamsema ovyo sipati picha atakavyokuwa ananyanyasa kwenye media conference kwa kuwasifia vijana wake CR,Higuani and others..Ngoja tuone mpira wa leo usiku nadhan utakuwa mzuri nao hizi wingi mbili zinautamu wake kwa mashetani( Valencia na Luis) na kule mbele vijana wake wapo makini na nyavu
 
Ni kweli mpira wa spain unautamu na viburudisho vyake..ila kwa matangazo ya media EPL wapo juu kwenye kujinadi..nadhani ndo nature ya wa briton katika kila jambo wanapenda kusifia kweli mtu wao anapofanya vizuri..najua leo magazeti yao mengi yamechonga jana Murray alipomchapa Mkongwe Roger Federer,.Anyways spain naona msimu huu utakuwa na ushindani sana kwa vigogo RM na FCB wote wanatimu nzuri kutokana usajili wao na RM wanamsema ovyo sipati picha atakavyokuwa ananyanyasa kwenye media conference kwa kuwasifia vijana wake CR,Higuani and others..Ngoja tuone mpira wa leo usiku nadhan utakuwa mzuri nao hizi wingi mbili zinautamu wake kwa mashetani( Valencia na Luis) na kule mbele vijana wake wapo makini na nyavu

Ndo hapo sasa! nakubaliana na wewe kuhusu media za UK kunadi mambo yao na ndo maana dunia inashuhudia sana soka toka huo. Lakini tukija kwenye mpira Spain wako juu kwa upande wa Europa. Yaani we acha tu! Mpira wa leo bila shaka utakuwa mzuri tu.
 
mabingwa wa dunia na ulaya wameua 4-0 away,mechi ya 8 mfululizo wanataka kuvunja rekodi yao mechi 35 kutopoteza mechi waliyoweka mwaka mmoja uliopita,yani huku busquets balaa,fabregas nae usiseme,iniesta moto wa kuotea mbali,mtaalam xavi hernandez kama kawaida yake dimba analikamata kama anacheza peke yake,xabi alonso nae anatisha,david silva balaa,jesus navas nae moto,mata nae moto,ukija mbele torres nae karudi ktk fomu sambamba na david villa kaweka rekodi sawa na raul madrd blanco wa gonzalez kwa kuwa top scorer ktk timu ya taifa ya spain,spain inatisha na itazidi kutisha
 
Argentina vs Spain - Goal.com
tumechapwa jana huko Buenos Aires
ila hakuna noma mechi ya kirafiki na asiekubali kushindwa si mshindani,na pengo la cambiasso na zanetti kombe la dunia 2010 limeonekana wamecheza sana mpira jana hasa pale dimba la kati cambiasso na masscherano walidhibiti sana fabregas,alonso,busquets na iniesta
 
Argentina vs Spain - Goal.com
tumechapwa jana huko Buenos Aires
ila hakuna noma mechi ya kirafiki na asiekubali kushindwa si mshindani,na pengo la cambiasso na zanetti kombe la dunia 2010 limeonekana wamecheza sana mpira jana hasa pale dimba la kati cambiasso na masscherano walidhibiti sana fabregas,alonso,busquets na iniesta

Thanx kwa report nilikuwa mbali na taarifa. Si mbaya matokeo kama haya yanakupa nafasi ya kujua ubovu na kurekebisha
 
Bundesliga nayo inapendeza. Nimeicheki msimu uliopita na jana nimecheki Hoffenheim vs Schalke o4. Hoffenheim ilishinda 2-0 mbele ya Schalke yenye nyota kama kipa no 1 wa Ujerumani Neuer, Huntelaar, Raul chini ya kocha mzoefu Felix Magath.
Pia tuione Bayern yenye nyota wengi...
 
La liga ni bora kwa vigezo vipi?
Ubora unategemea wewe unapenda nini katika soka,hapa kila mtu anaangalia vigezo vyake. Kwa mfano yupo anaevutiwa na jinsi CR9(7) anavyocheza, na kuna wanaolinganisha mafanikio kwa ujmla ya La Furia Rojas,na wewe unaweza kupinga kwa vigezo vyako,labda unapenda namna timu yako ya Man U inavyotawala EPL hivyo ukachukulia kuwa huo ndo ubora wa EPL!!!
 
Yea ilikuwa mechi ya supercopa... mana ligi yao yaanza next wk kama sijakosea..
Kanoute at the double
frederickanoutecelebvbarca20100814_412x232.jpg

Sevilla claimed first-leg honours against Primera Division champions Barcelona as they fought back from a goal down to win 3-1 in the Supercopa. Zlatan Ibrahimovic put Barcelona ahead, but Luis Fabiano levelled and substitute Frederic Kanoute scored twice

Juzi tena wamepigwa mbili sufuri na Hercules
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom