Shigganza
Senior Member
- May 24, 2018
- 160
- 412
Katika mitandao ya kijamii kuna mjadala mkubwa unaoendelea kuhusu uamuzi wa Serikali kupindisha Poli la Akiba la Burigi na kuwa hifadhi ya Taifa, baada ya uamuzi huo kn baadhi ya wafuasi, wananchama na viongozi wa vyama vya Upinzani Nchini vimerkurupuka na kudandia sanjari na kupotosha kuhusu uamuzi huo wa Serikali!!!!!
Sitanii tangu vyama hivyo vimebaini ujinga na uvivu wa Watanzania kuchakata taarifa wanazopewa, havipati shida ni mwendo wa kupumba tu story!!! sishangai kuona wananchi wengi mitandaoni wakiamini propaganda za vyama hivyo kwamba katika eneo hilo kabla hakukuwa na wanyama wowote!!! yaani baada ya uamuzi wa Serikali ndipo iwameanza kupelekwa kutoka katika hifadhi zingine.
Sina namna zaidi ya kusema wote wanaoamini hivyo ni WAJINGA na tukiendelea na utamaduni huo wa kuamini kila jambo pasipo kulipima kamwe taifa letu haliwezi kusonga mbele. Kwanini nasema hivyo??? Kilichofanyika sasa ni kulipandisha hadhi pori la akiba la Burigi na kuwa hifadhi ya Taifa. Kwa Lugha nyingine lilikuwa tayari limeshatambuliwa na Serikali za nyuma.
Kuna wengine hoja yao ni eti limepandishwa kwa sababu linapatikana karibu na Chato ambako ni Nyumbani kwa mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt JOHN POMBE MAGUFULI, hoja hii ni dhaifu na nyepesi sana, yaani tumefikia pahala ambapo wananchi wa maeneo anayotoka Rais au jirani kutopata huduma na shughuli za maendeleo yanayostahili kwa sababu tu Rais anatoka eneo hilo? huu ni ubaguzi mkubwa mono.
Kwa manufaa ya wengi kinyume na inavyoelezwa mitandaoni Pori la Akiba la Burigi lilikuwa tayari lina Twiga, kiboko n.k kudhihirisha wanyama waliopo bofya
Sitanii tangu vyama hivyo vimebaini ujinga na uvivu wa Watanzania kuchakata taarifa wanazopewa, havipati shida ni mwendo wa kupumba tu story!!! sishangai kuona wananchi wengi mitandaoni wakiamini propaganda za vyama hivyo kwamba katika eneo hilo kabla hakukuwa na wanyama wowote!!! yaani baada ya uamuzi wa Serikali ndipo iwameanza kupelekwa kutoka katika hifadhi zingine.
Sina namna zaidi ya kusema wote wanaoamini hivyo ni WAJINGA na tukiendelea na utamaduni huo wa kuamini kila jambo pasipo kulipima kamwe taifa letu haliwezi kusonga mbele. Kwanini nasema hivyo??? Kilichofanyika sasa ni kulipandisha hadhi pori la akiba la Burigi na kuwa hifadhi ya Taifa. Kwa Lugha nyingine lilikuwa tayari limeshatambuliwa na Serikali za nyuma.
Kuna wengine hoja yao ni eti limepandishwa kwa sababu linapatikana karibu na Chato ambako ni Nyumbani kwa mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt JOHN POMBE MAGUFULI, hoja hii ni dhaifu na nyepesi sana, yaani tumefikia pahala ambapo wananchi wa maeneo anayotoka Rais au jirani kutopata huduma na shughuli za maendeleo yanayostahili kwa sababu tu Rais anatoka eneo hilo? huu ni ubaguzi mkubwa mono.
Kwa manufaa ya wengi kinyume na inavyoelezwa mitandaoni Pori la Akiba la Burigi lilikuwa tayari lina Twiga, kiboko n.k kudhihirisha wanyama waliopo bofya