1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Mkuu kwanza ningetanguliza shukrani zangu sana tu,maana kwa wazo tu la kutaka kuniunganisha na jamaha umeonyesha wewe ni mtu wa aina gani kwa kupenda maendeleo ya jamii nzima!ningeomba uni PM namba yake huyo mheshimiwa wa Msowelo,ili niweze kupata mwanga zaidi toka kwake!againg thanks a lot mkuu!Sehemu kubwa ya Kilosa/Mvomero kitunguu kinamea, nina rafiki analima Msowelo sasa hivi, ukitaka kujua vyote vilivyopo Msowelo sema nikuunganishe kwa simu akupe majibu usiku huu huu.