Nuoxian
Senior Member
- Mar 15, 2020
- 169
- 237
Licha ya magoli ambayo Jean Baleke amefunga msimu uliopita katika premier league kiuchezaji Mosses Phiri ni mchezaji wa class ya juu zaid kuliko Baleke, Sijui kwanini kocha hataki kumuamin huyu mwamba (Phiri) labda uwanja wa mazoezi hamshawishi kocha lakini sisi mashabiki wa Simba balaa la huyu mwamba tunalijua vizuri sana uwezo wake wa kufunga, kukaa na mipira, ni mkubwa kuliko Baleke. Kweli uchawi upo Duniani