Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
wananchi wa tarime wamedai kuwa watamkataa kwa njia wanayoijua mbunge mteule wa ccm , nyangwine!
msemaji wa kamati maalumu itakayohakikisha kuwa azma hiyo inatekelezwa haraka na kama walivyopanga (jina nalihifadhi) amesema:
'tumemkataa huyu mgombea wa ccm kwa kumnyima kura lakini tume imemrejesha. Sasa tumeamua kumkataa kwa njia tunayoijua sisi, cha msingi nec ianze maandalizi ya uchaguzi mdogo jimboni hapa. Kama wanadhani tunatania subirini mtaona'
swali: Hawa jamaa wanataka kufanya nini?
Kwani hata huko Tarime walichakachua Matokeo au? Maana navyowajua hao wana Tarime Mtu wanae mtaka ndie huwa wanampigia kura sasa kama walilazimisha apewe mwingine basi ita leta shida sasa na NEC jama muwe makini hii nchi ni ya wote msibague mtu anaetakwa na wana Tarime na kama upinzani wakiongoza majimbo bado pia ni watanzania wale wale atawaongoza