New2JF
Senior Member
- Oct 25, 2011
- 123
- 27
Kwa mwenye busara na hekima...hana haja ya kufanya uchunguzi KULIONA HILI. Nchi yetu Tanzania imeuzwa sasa ni HAKIKA. Yanayotokea sasa ni kumalizia walioiuza nchi. Hivi kweli na matatizo haya yooootee, kweli Rais anathubutu kwenda nje ya nchi na kuacha kusaidia wananchi wake....angalia mawaziri wetu wanavyotenda sasa!!! Ni aibu kweli kweli.
Angalia wanavyogombana wenyewe kwa wenyewe (mfano Sitta katika kipindi cha Dkt 45 ITV)
Angalia upumbavu wa Kamanda aliyezuia maandamano ya AMANI eti kwa kisingizio cha ALSHABAB!!! This is stupid! Anataka kutuambia nchi yetu imevamiwa na hao magaidi???? Ni kweli??
Yaani kila inayoitwa LEO, kila kiongozi anaamka na kuropoka lake!!!
Angalia wanavyogombana wenyewe kwa wenyewe (mfano Sitta katika kipindi cha Dkt 45 ITV)
Angalia upumbavu wa Kamanda aliyezuia maandamano ya AMANI eti kwa kisingizio cha ALSHABAB!!! This is stupid! Anataka kutuambia nchi yetu imevamiwa na hao magaidi???? Ni kweli??
Yaani kila inayoitwa LEO, kila kiongozi anaamka na kuropoka lake!!!