Kweli Macio Maxicimo unanifurahisha sana!!unarudi kuifundisha Yanga????

Hawa wauza matikiti (you call them coaches) wa Brazil ndo mshawaona wanafaa, Brazil kuna wachezaji tu kule makocha hakuna,mfano, Scolari alifanya nini Ureno na Chelsea, Pereira naye alifanya nini South Africa, Simba tulikuwa naye Nelsens (sikumbuki jina lake vizuri) naye hakufanya cha maana, Maximo mwenyewe na taifa star hakuchukua hata kombe la CECAFA bora babu Polusen alichukua la CECAFA. Mwambieni Manji akachukue wachezaji na sio makocha.
 
Maximo ni kocha wa nguvu. Hakuna kocha aliyewatambulisha watanzania juu ya namna nzuri ya kucheza soka. Ni kocha mwenye discipline na anyetaka matokeo naamini ataibadilisha Yanga
 
hapo umenena, unajua adui yako muonyeshe bunduki.......atachanganyikiwa tu.... Maximo njoo piga kazi yanga.......YANGA NDO TANZANIA.anayebisha ajinyonge
 
Nasema kocha Macio Maxicimo unanifurahisha sana yani kumbe hata uwezo wako ulikuwa wachini??kwenu nikocha waligi daraja la pili??!!Ukaja hapa ukawa kocha wa timu ya Taifa la Tanzania ukilipwa Mshahara wa Milioni 30,Gari,nyumba na marupurupu kedekede!!Ina maana Tanzania haina washahuri wa soka?
Leo hii unalilia kuifundisha YANGA!! Na hii migogoro ya vilabu unaijua fika na wewe umekubali?ama kweli Njaa haina Bouncer !!
Kesho tutakukuta kwenye kombe la kinesi............kila laheri Macio Maxicimo.....


Nilitaka ku comment ila nimeona una Ban ni jibu tosha.
 
Nasema kocha Macio Maxicimo unanifurahisha sana yani kumbe hata uwezo wako ulikuwa wachini??kwenu nikocha waligi daraja la pili??!!Ukaja hapa ukawa kocha wa timu ya Taifa la Tanzania ukilipwa Mshahara wa Milioni 30,Gari,nyumba na marupurupu kedekede!!Ina maana Tanzania haina washahuri wa soka?
Leo hii unalilia kuifundisha YANGA!! Na hii migogoro ya vilabu unaijua fika na wewe umekubali?ama kweli Njaa haina Bouncer !!
Kesho tutakukuta kwenye kombe la kinesi............kila laheri Macio Maxicimo.....

Wewe ulitaka akafundishe wapi? kabla ya Taifa Stars alishafundisha Scotland. Subiri Simba wanamnyatia Jan Pouslsen. Maana kila afanyalo Yanga nao wapo. Alikuja Papic wao wakaleta Mserbia mwingine!
 
Wewe ulitaka akafundishe wapi? kabla ya Taifa Stars alishafundisha Scotland. Subiri Simba wanamnyatia Jan Pouslsen. Maana kila afanyalo Yanga nao wapo. Alikuja Papic wao wakaleta Mserbia mwingine!
'Kila afanyalo Yanga na Simba nao wanafanya' kwa staili hii tusubiri Simba nao kupigwa tano.
 
AMEKUJA KWA KAZI MBILI KUWA COACH YANGA NA KUWA NDANI YA TASNIA YA FILAM AKA BONGO MOVIE duh atamkosa rip kanumba
 
Nasema kocha Macio Maxicimo unanifurahisha sana yani kumbe hata uwezo wako ulikuwa wachini??kwenu nikocha waligi daraja la pili??!!Ukaja hapa ukawa kocha wa timu ya Taifa la Tanzania ukilipwa Mshahara wa Milioni 30,Gari,nyumba na marupurupu kedekede!!Ina maana Tanzania haina washahuri wa soka?
Leo hii unalilia kuifundisha YANGA!! Na hii migogoro ya vilabu unaijua fika na wewe umekubali?ama kweli Njaa haina Bouncer !!
Kesho tutakukuta kwenye kombe la kinesi............kila laheri Macio Maxicimo.....
hapa kunaharufu ya ten percent.....
 
Sasa wewe unaona mwenye makosa ninani?mi naona uongozi wa nchi yetu ndio unamatatizo na huyo ni Jk manake si yeye ndiye aliyetuahidigi kocha then akamleta huyo maximo kwa mbwembwe zakutosha?
Lakini Maximo si alitoa msaada wa kutosha mpaka tukapata wachezaji wa kulipwa nje ya nchi?
 
Maximo anaweza asije, maana wachezaji ambao alikuwa hawataki ndo wanang'ara na timu ya Taifa halafu aliokuwa anaona ni vifaa hata vilabu vyao vinawaweka benchi.
 
mI NI SHABIKI WA SIMBA. Kwa ujio wa Maximo YANGA najua una faida sio kwa Yanga tu bali kwa taifa kuliko wanazi wanavyobwabwaja. Hao wanaosema hatumtakim Maximo ni sitaki nataka hao. Tuachane nao. Kazi aliyoifanya Maximo wote twaijua tatizo unafiki wetu, jamani hatuni hata mnazuri. Ukweli ni huo, the man is charismatic. Kipindi cha Maximo tuliyaona mapenzi ya kweli kwa taifa hili kimichezo siyo kwa mashabiki bali hata wachezaji wenyewe, wanasiasa na wadau mbalimbali. Matokeo ya uwanjani kila mmoja aliyamaizi tatizo waTz hatujui vigezo vya kukua kwa soka lakini rankings za Fifa zilikuwa zinatoa majawabu. Tatizo ilikuwa udaku ila ukweli utabaki, Maximo aliandika Historia yake katika maendeleo ya soka la Tanzania na vizazi vijavyo vitajua; alikuja MAXIMO, MAXIMO ALITUFUNDISHA SOKA, MAXIMO ALIWAPA MORARI WACHEZAJI, ALIWAFANYA WATANZANIA KUIPENDA NA KUISHANGILIA TIMU YAO, MAXIMO ALIMALIZA MUDA WAKE, HAKUFUKUZWA, ALIMALIZA KAZI ALIYOPEWA NA MAXIMO ALIREJEA NYUMBANI KWAKE KWA MFALME WA SOKA, EDSON ARANTES DO NASCMENTO aka PELE na huko aliendeleza mautaalam. Watu waache mizaa kwa utaalamu wa watu yaani wanafikri daraja la pili la Brazil ni sawa hili la kibongo. daraja la pili kule Brazil ni zaidi ya ligi kuu tanzania. Huo ndo ukweli. lakini zaidi ya yote, maximo ni binadamu, ana mahitaji yake, yaani lazima atafute fedha kwa njia halali popote inapopatikana. Sasa kuna shida gani kuja Tz kutafuta maisha? Acheni usimba wa kale!
 
Football ni janga la kitaifa.s asili yetu tunalazimisha. tanzania bila football inawezekana
 
Nilitaka ku comment ila nimeona una Ban ni jibu tosha.
Mkuu nilipigwa bann ila leo nimetoka kifungoni!!!..........Sasa umesikia Macio Maximo kasema hawezi kuja kufundisha yanga hajafikia uwezo wake kisoka haujaporomoka kiasi hicho wazee yanga wanatafuta mchawi.....YANGA BWANA MNAFURAHISHA!!!:wink2:
 
Anakuja Jumapili hata kama ana mkataba.Kwa Yanga awe na mkataba au la sio issue wewe subiri tu utaona.
 
Back
Top Bottom