Mjapani siku zote kwenye upande wa passenger's safety gari zake ni kimeo ndio maana watu wana kufa sana hata kwenye ajali ambazo ili takiwa watoke salama.Siziamini gari zao kabisa,nyingine ukifika speed 120 tu steering ina anza kuvibrate yani ni shida.
<iframe width="560" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/1sZryXEUz64" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>
Cheki hiyo volvo XC90 gari salama kuliko zote duniani ikifanyiwa crash
test.
https://www.youtube.com/watch?v=1sZryXEUz64
Huwezi ifananisha na Toyotas
Ni Gari gani imetengenezwa kwa matumizi ya kugongwa?Wametengeneza kwa matumizi ya kawaida siyo kugongwa.