Kweli kingereza kigumu

Every Child Is Entitled To A Good Education.So Parents Must Be Very Vigilant To Help Their Children To Pursue Their Goals.

There Must Be Check And Balances In Their Decisions To Avoid Negative Effects To Their Children.

Nilichomaanisha ni kwamba, kipindi ambacho umeshughulika kujiona wewe ni chachu ya mabadiliko kwa jamii huku unatumia kiingereza kuyashughulkia matatzo yao haitasaidia, ishu ya mtoto nimetumia km mfano wa watz wengi tulivyo juu ya lugha ngeni achilia mbali kusoma lugha yetu wenyewe
 
Nilichomaanisha ni kwamba, kipindi ambacho umeshughulika kujiona wewe ni chachu ya mabadiliko kwa jamii huku unatumia kiingereza kuyashughulkia matatzo yao haitasaidia, ishu ya mtoto nimetumia km mfano wa watz wengi tulivyo juu ya lugha ngeni achilia mbali kusoma lugha yetu wenyewe

Kwa Karne Hii Tunayoishi Sasa.Na Zama Hizi Za Utandawazi.Kuendelea Kukicategorize Kingereza Kama Lugha Ya Kigeni Ni Ufinyu Wa Mawazo Na Uvivu Wa Kufikiri.

Kiswahili Ni Lugha Yetu Na Tunaipenda.Lakini Kingereza Nacho Kina Role Kubwa Ya Kuplay.Na Tukipe Nafasi Kifanye Sehemu Yake

Tusiendekeze Propaganda Za Watunga Sera Wapumbuvu.Kila Wanaposema "Sisi" Uwa Wanamaanisha "Nyie" Wakati Wao Wanafanya Kinyume Na Familia Zao.Ukiwafatisha Hao Utapotea.
 
jamani mi ndo hussein khalfan..hayo maneno "I LOVE HIM XO MUCH" aliyasema mke wangu mpendwa siku ya birthday yangu...zen mi nikaandika my wife fetty nikaambatanisha na picha ili mumuone mke wangu aliyetamaka maneno hayo..ni vile tu nilikosea kuweka baadhi ya alama ndo mana ikawa haileti maana

Haiingii akilini vinginevyo tungeyaona maneno hayo kwenye status ya mkeo kidogo inges sense
 
Kwa Karne Hii Tunayoishi Sasa.Na Zama Hizi Za Utandawazi.Kuendelea Kukicategorize Kingereza Kama Lugha Ya Kigeni Ni Ufinyu Wa Mawazo Na Uvivu Wa Kufikiri.

Kiswahili Ni Lugha Na Tunaipenda.Lakini Kingereza Nacho Kina Role Kubwa Ya Kuplay.Na Tukipe Nafasi Kifanye Sehemu

Tusiendekeze Propaganda Za Watunga Sera Wapumbuvu.Kila Wanaposema "Sisi" Uwa Wanamaanisha "Nyie" Wakati Wao Wanafanya Kinyuma Na Familia Zao.Ukiwafatisha Hao Unapotea.

Kila nchi iliyoendelea ilitumia lugha yake yenyewe, iangalie China, sasa hivi kiepe yai hutak kuona kiingereza lugha ngeni kwa kua sisi hatujaendelea kwahyo tunalazimika kukumbatia hii lugha km vle ni ya kwetu.
Nchi zingne, ujeruman na china, wanatengeneza kompyuta zao na keyboard inakua ktk lugha ya kwao, vitabu vya kisayansi vyote na teknolojia vipo katk lugha yao
Sis tungeweza hayo leo wewe usingetaman kiingereza au lugha yoyote nje ya kiswahili kujumlishwa kua lugha yetu ya kuplay hzo role unazozihis
 
Kila nchi iliyoendelea ilitumia lugha yake yenyewe, iangalie China, sasa hivi kiepe yai hutak kuona kiingereza lugha ngeni kwa kua sisi hatujaendelea kwahyo tunalazimika kukumbatia hii lugha km vle ni ya kwetu.
Nchi zingne, ujeruman na china, wanatengeneza kompyuta zao na keyboard inakua ktk lugha ya kwao, vitabu vya kisayansi vyote na teknolojia vipo katk lugha yao
Sis tungeweza hayo leo wewe usingetaman kiingereza au lugha yoyote nje ya kiswahili kujumlishwa kua lugha yetu ya kuplay hzo role unazozihis

Huo Ndo Ufinyu Wa Mawazo Nnao Uzungumzia Na Hoja Za Vijiweni.Wachina, Wajerumani, Wafaransa N.K Wanajifunza Kingereza.Na Wanawaimiza Raia Wao Wajifunze Kingereza Na Lugha Nyingine.Kwasababu Dunia Imekua Kama Kijiji.Hata Hao Wamarekani Na Maendeleo Yao Wanajifunza Kiswahil Chetu.

Kujua,kutumia Au Kujifunza Kingereza Sio Dhambi.Lakini Hisiwe Sababu Ya Kukidharau Kiswahili Chako.Ukiishi Kinadharia Utaona Kingereza Hakina Nafasi.But Practically Kingereza Kina Role Kubwa Sana
 
Huo Ndo Ufinyu Wa Mawazo Nnao Uzungumzia Na Hoja Za Vijiweni.Wachina, Wajerumani, Wafaransa N.K Wanajifunza Kingereza.Na Wanawaimiza Raia Wao Wajifunze Kingereza Na Lugha Nyingine.Kwasababu Dunia Imekua Kama Kijiji.Hata Hao Wamarekani Na Maendeleo Yao Wanajifunza Kiswahil Chetu.

Kujua,kutumia Au Kujifunza Kingereza Sio Dhambi.Lakini Hisiwe Sababu Ya Kukidharau Kiswahili Chako.Ukiishi Kinadharia Utaona Kingereza Hakina Nafasi.But Practically Kingereza Kina Role Kubwa Sana

Kuhusu roles kubwa za kiingereza ni kweli zipo
Kuhusu wachina kujifunza kiingereza sidhan km lina ukwel, fanya hivi, siku nenda k/koo jaribu kununua kopo la empty cd duka analouza mchina halaf muongeleshe kiingereza, sidhani km mtaenda sawa, ni sawa na french, baadh ya sehem za uingereza anaejua french anakua na fahari kubwa kushnda anayejua RP (royal pronunciation)
 
jamani mi ndo hussein khalfan..hayo maneno "I LOVE HIM XO MUCH" aliyasema mke wangu mpendwa siku ya birthday yangu...zen mi nikaandika my wife fetty nikaambatanisha na picha ili mumuone mke wangu aliyetamaka maneno hayo..ni vile tu nilikosea kuweka baadhi ya alama ndo mana ikawa haileti maana

ha ha haaaaa!
tumpelele kwa Rasi Simba atakuwa fiti.
 
Bora matokeo ya madrasa kuliko matokeo ya kule mnakofirwaa na maaskofu

mind ur language brother! acha kukashifu dini za watu! kama huna point kojoa kalale! its a shame to the nature no great thinkers can vomit shits like u do!
 
Kuhusu roles kubwa za kiingereza ni kweli zipo
Kuhusu wachina kujifunza kiingereza sidhan km lina ukwel, fanya hivi, siku nenda k/koo jaribu kununua kopo la empty cd duka analouza mchina halaf muongeleshe kiingereza, sidhani km mtaenda sawa, ni sawa na french, baadh ya sehem za uingereza anaejua french anakua na fahari kubwa kushnda anayejua RP (royal pronunciation)

Kama Unatambua Na Unakubali Kua Kingereza Kina Role Ya Kuplay.Basi Utakubaliana Na Mimi Kua Tunawajibu Wa Kuwaimiza Na Kuwafundisha Vijana Wetu Ili Waijue Lugha Hii Vizuri.Ili Waweze Kupambana Na Mazingira Yao Kwa Ufanisi.Badala Ya Kuwatia Ujinga Wa Ngonjera Ya "Lugha Ya Kigeni"

Kingereza Kinafaida Kubwa.Mimi Mwenyewe Kinanisaidia Sana.Jaribu Kufanya Zoezi Dogo Tu.Chukua Simu Yako Na Ujaribu Kumgoogle Muhasisi Wa Taifa Hili Mwl.Jk Nyerere Ambae Alipigania Kukuza Lugha Ya Kiswahili.Halafu Unambie Taarifa Zake Zinakuja Kwa Lugha Gani.
 
CALCUTTA's Telegraph has got hold of an answer paper of a candidate at the
recent UPSC examinations. The candidate has written an essay on the Indian
cow:

"The cow is a successful animal. Also he is quadrupud, and because he is female, he give milk,but will do so when he is got child. He is same like God,sacred to Hindus and useful to man.But he has got four legs together.
Two are forward and two are afterwards.

"His whole body can be utilised for use. More so the milk. What can it do? Various ghee, butter,cream, curd, why and the condensed milk and so forth. Also he is useful to cobbler, watermans and mankind generally.

"His motion is slow only because he is of asitudinious species. Also his other motion is much useful to trees, plants as well as making flat cakes in hand and drying in the sun. Cow is the only animal that extricates his feeding after eating. Then afterwards she chew with his teeth whom are situated inthe inside of the mouth. He is incessantly in the meadows in the grass.

"His only attacking and defending organ is the horn, specially so when he is got child. This is done by knowing his head whereby he causes the weapons to be paralleled to the ground of the earth and instantly proceed with great velocity forwards.

"He has got tails also, but not like similar animals. It has hairs on the other end of the other side. This is done to frighten away the flies which alight on his cohoa body whereupon he gives hit with it.

The palms of his feet are soft unto the touch. So the grasses head is not crushed. At night time have poses by looking down on the ground and he shouts his eyes like his relatives, the horse does not do so.

"This is the cow."


P.S.: We are informed that the candidate passed the exam.

Source: The Cow - A funny Essay from Indian UPSC exams
 
Back
Top Bottom