Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Bado wanachunguzana waanzilishi wa CCJ, maana Nape anasadikika ni kada wa CCJ.... ha ha haaa... ama kweli chadema ni strategic thinkers, hawa tukiwapa dola tutaendelea maana wameonyesha tabia ya kutumia ubongo wao kufikir as opposed to CCMi. kwahiyo wakihamisha huo uwezo kwenye mambo ya kulijenga taifa wakiwa na dola, umasikini kwaheri Tanzania. Dah! hii topic imenifurahisha!
Bado kuna mengi sana, CDM just need to press the buttonound: