Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,747
- 14,649
Mkuu wapo mafukara wachache wa akili mfano wajumbe wa nyumba kumi,hakuna wanachofaidika zaidi ya viatu vya book kumi,kanga au dela la book tano ambavyo in a long run ni hasara maana watoto wao hawasomi maana hawawezi kuwalipia shule nzurimi naonaga mtu anaeitetea ccm hata hum jf ambae hafaidiki na,mfumo anafanya maigizoo ,,,,lasivyo watetea ccm wote ni wale ambao wanakula kupitia ccm,,,,,jana nlikua nmepanda daladala la k/koo_masaki ikazuka mada ya siasa,,,jamani aibu yaani watu tulikua wengi alafu wote hamna hata mmoja alieonekana kuitetea ccm ,,,,,,yani kila,mmoja alikua anarusha dongo analolijua hadi dereva nae alishiriki ilihali anaendesha gari..........nikasema ccm wakifosi goli la mkono this year hapatakalika tz...
unakiteteaje chama bom kama hicho wakati sasa hivi ndio kiko kwenye UBORA WAKE kwa r
ushwa,kulindana na kila aina ya ufisadi???
hao wala unga wa kariakoo hata daftarini hawajajiandikisha.
hao wala unga wa kariakoo hata daftarini hawajajiandikisha.
ccm inatia kichefu chefu.Bora uone mavi kuliko nguo za maccm
Wawe na imani na nani?
Naichukia CCM kuliko shetani!
Tetea mwenyewe na Nepi wenu.
Weka video ya kina mama waliozomewa kariakoo
Yani wazee wanakichukia chama chako wewe bado umeshikilia pembe lol!
njoo palipo na furaha ukawa
huyu mtu sikujua km ni MasaaiMtoa mada mmasai,hii post umeiweka kimtego au kiuzushi.
Yaani ningekuwepo kwenye hilo basi hakika msingesafiri kabisaaa