Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,157
- 27,163
Mtu unakaa kabisa unabariki rushwa,huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine tu wala huna lolote la kujivunia, ukiamua kufanya hayo basi baki huko huko mafichoni.
Na ukishaingia kwenye hizo dili hauishii hapo, ndo maana polisi wanaua watu na kubambikia watu kesi kila siku.
Alafu mods nyuzi kama hizi wanazichekea tu.
Na ukishaingia kwenye hizo dili hauishii hapo, ndo maana polisi wanaua watu na kubambikia watu kesi kila siku.
Alafu mods nyuzi kama hizi wanazichekea tu.