malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habari wakuu,
Kwanini Tanzania hii sehemu za wilaya hasa wilaya ambazo ziko Mikoani wilaya ambazo zina vijiji vingi vyenye sehemu kubwa ya mapoli yamefanywa kuwa hifadhi ya taifa?
Matokeo yake ni shuguli za kilimo kuwa kwa kiwango kidogo sababu ya sehemu kubwa ya mapori kufanywa hifadhi za taifa ama wakala wa misitu kupelekea jamii kuzalisha kidogo
Kwanini Tanzania hii sehemu za wilaya hasa wilaya ambazo ziko Mikoani wilaya ambazo zina vijiji vingi vyenye sehemu kubwa ya mapoli yamefanywa kuwa hifadhi ya taifa?
Matokeo yake ni shuguli za kilimo kuwa kwa kiwango kidogo sababu ya sehemu kubwa ya mapori kufanywa hifadhi za taifa ama wakala wa misitu kupelekea jamii kuzalisha kidogo