Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Nimeongea na wanawake na wanaume wa kizungu wameniambia watu weusi ni watamu sana kitandani na pia ni wa moto sana.
Jamani.... What is a mechanism behind?
Mkuu ingekuwa ni jambo la busara kama ungefanya risachi wewe mwenyewe (binafsi )baina ya watu waili hao mweusi na mweupe halafu uje utueleze hiyo faindingi yako itasaidia kuelewa ukweli kwani hisia za binadamu zinatafautiana .