Kwanini Wazungu "Walikimbilia" Kanda ya Kaskazini na si Singida?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,809
6,543
Naamini wangeweka makazi yao Singida kama walivyofanya Arusha, hali ya Singida ingekuwa ni tofauti na ilivyo sasa.

Miji waliyokaa Wazungu enzi za ukoloni ina utofauti mkubwa sana na mingine kimaendeleo. Mingi imeonekana kuendelea.

Kwanini walipakwepa Singida, mbona ni "nchi" nzuri tu?
 
Naamini wangeweka makazi yao Singida kama walivyofanya Arusha, hali ya Singida ingekuwa ni tofauti na ilivyo sasa.

Miji waliyokaa Wazungu enzi za ukoloni ina utofauti mkubwa sana na mingine kimaendeleo. Mingi imeonekana kuendelea.

Kwa nini walipakwepa Singida, mbona ni "nchi" nzuri tu?

Kila wageni waliofika, walijaribu kutafuta hali ya hewa na mazingira yanayofanana na kwao.
 
Naamini wangeweka makazi yao Singida kama walivyofanya Arusha, hali ya Singida ingekuwa ni tofauti na ilivyo sasa.

Miji waliyokaa Wazungu enzi za ukoloni ina utofauti mkubwa sana na mingine kimaendeleo. Mingi imeonekana kuendelea.

Kwa nini walipakwepa Singida, mbona ni "nchi" nzuri tu?
kwanza kabisa ilikua ni jirani na makao makuu ya EA ambayo ilikua Kenya, lakini pia hali ya hewa, ardhi ya rutuba Arusha ni sawa na ulaya kwa kiasi kikubwa lakini pia limlima Kilimanjaro uliwavutia sana aise
 
Unaumwa nini. Yaani mzungu aje hapa akakae huko kwa Wanyaturu na Wanyiramba wabishi kama TL. Kwa taarifa yako wazungu hawaendi sehemu kuna kelele nyingi na ubishi usiokuwa na maana. Wanataka watu wastaarabu, sehemu tulivu wanapoweza kutuliza akili zao
 
Naamini wangeweka makazi yao Singida kama walivyofanya Arusha, hali ya Singida ingekuwa ni tofauti na ilivyo sasa.

Miji waliyokaa Wazungu enzi za ukoloni ina utofauti mkubwa sana na mingine kimaendeleo. Mingi imeonekana kuendelea.

Kwa nini walipakwepa Singida, mbona ni "nchi" nzuri tu?
Tatizo punda hakuna farasi
 
Naamini wangeweka makazi yao Singida kama walivyofanya Arusha, hali ya Singida ingekuwa ni tofauti na ilivyo sasa.

Miji waliyokaa Wazungu enzi za ukoloni ina utofauti mkubwa sana na mingine kimaendeleo. Mingi imeonekana kuendelea.

Kwa nini walipakwepa Singida, mbona ni "nchi" nzuri tu?

Wazungu waliondoka miaka 100 iliyopita, wakaja waangalizi nao waliondoka miaka zaidi ya 60 iliyopita bado tu ndugu unafikiria kujengewa nao? Jengeni nchi yenu wandugu acha ndoto za wazungu, hata wao walikuja kutafuta wakajenge kwao. Unavyoona vimejengwa ujue vimejengwa na waswahili tu, majengo ya mjerumani ndio yanaishia ss hivi mzee
 
Back
Top Bottom