Kwanini watu wenye asili ya wahindi wanazaliana sana?

Rio Shabazz

JF-Expert Member
Jan 18, 2024
1,334
2,169
wahindi ni pakistan, bangaladeshi ,india, kashmiri, sri lanka!!

Hawa watu jamani ni hatari Mungu kawajalia uzazi! Tena hawa wengi si wale wa wake 4 hapana mke mmoja labda na wachache zaidi ya mmoja!

Nadhan mungu kawabariki wahindi na wachina!! Si wa uzazi huu

Miaka kadhaa itakua katika watu 5 mmoja n mhindi au mchina..
 
Jambo zuri wanatuongezea pisi kali duniani

Usilaumu, furahia neema za muumba hizo mkuu.

pexels-photo-8450070.jpg


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Tofauti na wajanja wachache tunaowaona hapa Tanzania.

Makwasu kwasu huko ni kibao ambao hawana hela kwahyo kama wanavosema maskini anawaza ngono basi na huko wanawaza kama huku so kuzaliana kama kotee😂
 
Tofauti na wajanja wachache tunaowaona hapa tz

Makwasu kwasu huko ni kibao ambao hawana hela kwahyo kama wanavosema maskini anawaza ngono basi na huko wanawaza kama huku so kuzaliana kama kotee

Lakini umasikini nchi zote za sayar ya tatu ni masikini
 
wahindi ni pakistan, bangaladeshi ,india, kashmiri, sri lanka!!

Hawa watu jamani ni hatari Mungu kawajalia uzazi! Tena hawa wengi si wale wa wake 4 hapana mke mmoja labda na wachache zaidi ya mmoja!

Nadhan mungu kawabariki wahindi na wachina!! Si wa uzazi huu

Miaka kadhaa itakua katika watu 5 mmoja n mhindi au mchina..
Mchuzi wa pilipili kwenye misosi hasa ya mamba
 
Wanazaliana Sana kwa sababu hawana shepu, hivyo hawatumii nguvu nyingi kwenye kujiunda kama sisi waafrika naa wazungu. yaani miili yao ukiangalia kwa makini ni maumbo yake kama matofali ya udongo, wengi hawana matako kabisa!
 
Wanazaliana Sana kwa sababu hawana shepu, hivyo hawatumii nguvu nyingi kwenye kujiunda kama sisi waafrika naa wazungu. yaani miili yao ukiangalia kwa makini ni maumbo yake kama matofali ya udongo, wengi hawana matako kabisa!

khaa
 
Binadamu mojawapo ya mambo muhimu yanayodhibiti kasi ya kuongezeka kwake ni chakula na maradhi. Chunguza kwa makini utagundua maeneo uliyotaja yana sifa hizo.
 
Binadamu mojawapo ya mambo muhimu yanayodhibiti kasi ya kuongezeka kwake ni chakula na maradhi. Chunguza kwa makini utagundua maeneo uliyotaja yana sifa hizo.

kuna chakula na hakuna maradhi
 
Back
Top Bottom