GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,034
Nahitaji sababu ya Kmantiki kabisa iliyoshiba Elimu Kubwa ya Kisaikolojia na Uhalisia wa Moyo, Roho na Akili ( IQ ) ya Mtoto.
Na mkinipa sababu iliyozoeleka na Wengi kuwa Watoto hawaongopi na ni wasema Kweli daima nitaikataa kwani kuna Mtoto leo Kanidanganya kuwa Baba yake ninayemdai hayupo na nikamuona Baba yake huyo Ananichungulia kupitia Dirishani katika Pazia na Macho yake makubwa kama Mapapai ya Tuangoma Bagamoyo.
Ambapo kwa Hasira sasa nimeondoka na Flat Screen yake ambapo nimempa Siku Tatu ( 3 ) tu asiponilipa naiuza ili Nijilipe Deni langu la muda mrefu.
Na mkinipa sababu iliyozoeleka na Wengi kuwa Watoto hawaongopi na ni wasema Kweli daima nitaikataa kwani kuna Mtoto leo Kanidanganya kuwa Baba yake ninayemdai hayupo na nikamuona Baba yake huyo Ananichungulia kupitia Dirishani katika Pazia na Macho yake makubwa kama Mapapai ya Tuangoma Bagamoyo.
Ambapo kwa Hasira sasa nimeondoka na Flat Screen yake ambapo nimempa Siku Tatu ( 3 ) tu asiponilipa naiuza ili Nijilipe Deni langu la muda mrefu.