bbc swahili
Senior Member
- Jul 17, 2017
- 191
- 161
ni vizuri kuwekeza kwenye kilimoInasikitisha jamani!
Watu tumewekeza kwenye kilimo kweli kweli!
Sasa mimi sijui ni msomali au ni muethiopia?
Acha kuwadanganya wenzio, Watanzania wengi sana awamu hii wamewekeza kwenye kilimo!
Duh jamani unatia aibu walahi!
lakini tabu kubwa inakuja kama watafunga mipaka hivyo mazao hayatoka nje ya nchi.
hapo chungu ya kilimo utaiona