Hahaha hatar kwa stail hiy aniach tu siku hiz wanaume wapo weng had viben ten tunavyo sio kutatuan marinda nyoko zakeUshatekwa pole sana
Ndo km style kwa wanaume wa siku hizi kula tigo
Muhimu anatakiwa ajue mwanzoni mwa mahusiano kwmb sipendi hiki na kile tatizo tunaogopa kuachwa na wataendelea kutifua kinyesi mpk mkome
Asante kwa uzoefu mkuu,Wanaomlaumu huyu dada kuwa si bahat mbya haiwezekani mnakosea sana. Kuna midume mijanja. Inategesha yale mafuta ya anal hata kwenye kona ya kitanda. Wewe huna habari kumbe kaishakupaka, mara unasikia mzee kaingia. Na wanawake akiwekewa na akasikia raha anaanza kukatika.
Tufanyaje sasa,maana hili ndo tatizo lisilo na majibu,Kama ameliwa huyo aliyemla atakuwa anamuona useless pia
Huna lolote
Maadamu tu utubu kwa dhati ya kuachadhambi zote zinasameheka Biblia neno la Mungu inasema ila dhambi mmoja tu nayo ni ya kumkufuru Roho Mtakatifu Mungu ni wa rehema sana tena sana na ni wahuruma tena amejaa pendo kuu sana babo anayo nafasi sana
point, means amezoea yuko hapa ku`validate tendo lake...Kwa asili ya maumbile ya kule yalivyo hyo bahat mbaya haiwez kutokea na usione tofaut
Bado hujachelewa, kwanza kabsa achana na huyo jamaa sababu hatokuja kukuoa ilihali anajua kabsa amesha kuharibu. Omba Mungu kwa iman yako yote atakusamehe. Mungu atakuletea mwanaume mwingine ambae atakupenda. Huyo hakupendi na huenda anakuchuna had pesa zako maskini. Ukiamua kuacha toka ndan ya moyo wako inawazekana!!!!Hapana Brigit86, hakuna dhambi au uovu ambao Bwana Yesu kristo hawezi kusamehe, Yeye anasamehe dhambi na uovu wa aina yote. Wala kwake hakuna dhambi kubwa au ndogo. Tena kwake hakuna dhambi ya kawaida na au isiyo ya kawaida. Usiogope huo ni mzigo kuna pa kuutua na maisha yakaendelea (Mathayo 11:28). Aidha, iwapo hujampokea Yesu kristo tafuta Kanisa lolote la TAG hapo ulipo utaelekezwa yakupasayo kufanya. Pole sana na hongera kwa kuzinduka kwani shetani ibilisi alikuwa anakusubiri kwa HAMU Jehanamu.
Nikweli waweza fungal kwa kudhamilia ila wakina nani wamekuzunguka kama wote wanakaangiza harufu ya chakula kila kona lazima huwe katika wakati mgumu that why inabid spate MTU ambaye hajihusishiNimependa ulichomjibu,
Lkn la kuingezea anapaswa kuanzia ndani yake,kukataa
Unajua mwili wa binadamu huzoea unachoupa,
Ukiukataza jambo na ukasimamia hapo huwa unaacha,
Ndo maana kabla ya mfungo mtu ukikaa mpaka SAA NNE asbh haujala unaweza umia sana lkn wakati wa mfungo mwili hukubali kukaa hadi SAA moja Usk,
zambi kubwa kuliko zote ni kuzurumu mtu kwa maana kuua lakini pia nayo mtu akitubu usamehewa wacha kua muoga na nafsi yako kufirwa au kufira hipo kwenye kundi la kuzini tu ni sawa na mtu anavyo nyonya mboo au kutomba kwapati hivyo kama umeamua kuacha yani acha uzinzi wote subiria hadi uoleweJamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?
Ushauri Mzuri sana.Ukweli mchungu ni kuwa ameshakuharibu na hatokuoa.
Na usifikiri alifanya kwa bahati mbaya kwa sababu alikuwa amelewa,hiyo ndiyo tabia yake,alitumia udhaifu wa pombe kama kianzio cha kukufanyia huo uchafu.
Wa kubadilika sasa ni wewe. Sisi hata tuseme vipi kama hujataka kubadilika hutobadilika.
Nakushauri kwanza achana na huyo mtu kisha weka niya ya kucha huo mchezo. Tafuta wanasaikolojia watakusaidia but uwe tayari umeshaacha kufanya hicho kitendo.
Kuendelea kiwa na huyo anayekufanyia huo mchezo inamaanisha kuwa bado unaupenda.
Pole sana
upo sahihi kabisa mkuuHapana. Mimi sio miongoni mwao. Ninachopingana nacho mara zote ni unafiki. Sipendi unafiki nafiki.
Humu wapinga tiGo ndio wala tiGo. Maajabu.
usijali hakuna dhambi ambayo haisameheki isipokuwa KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU. Kipindi cha kwaresma hiki tubu na Mungu atakusamehe. kuhusu kuacha katafute dawa za tiba zipo.Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.
Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.
Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.