Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Hivi watu wanawezaje kuweka dushe kwenye kinyesi?..aisee dunia ina mambo mengi sana ya kuyashangaa.
 
Ushatekwa pole sana

Ndo km style kwa wanaume wa siku hizi kula tigo

Muhimu anatakiwa ajue mwanzoni mwa mahusiano kwmb sipendi hiki na kile tatizo tunaogopa kuachwa na wataendelea kutifua kinyesi mpk mkome
Hahaha hatar kwa stail hiy aniach tu siku hiz wanaume wapo weng had viben ten tunavyo sio kutatuan marinda nyoko zake
 
we kama unataka kuacha acha tuu, asilimia 50 ya waliochangia ukitenga wanapiga kama kawaida..khasara kwako mfumuliwaji...kama usemavyo anaweza kukuacha maana ashakudharau
 
Dawa ya kwanza ni kuachana na huyo mwanaume, na pli tafuta mwanaume mtraabu ambaye sio mlevi na wakati wa maongezi mwambie malengo yako ktk maisha yako na ya mahusiano yenu na vitu ambavyo huvipendi, na yeye muulize malengo yake ktk mahusiano yenu na vitu asivyovipenda, majibu yake yake yatakupa jibu kuwa anakufaa au hapana.
 
Wanaomlaumu huyu dada kuwa si bahat mbya haiwezekani mnakosea sana. Kuna midume mijanja. Inategesha yale mafuta ya anal hata kwenye kona ya kitanda. Wewe huna habari kumbe kaishakupaka, mara unasikia mzee kaingia. Na wanawake akiwekewa na akasikia raha anaanza kukatika.
Asante kwa uzoefu mkuu,
Hahaaaa umetisha,inabidi wawe wanakagua matendegu ya vitanda
 
Sawa mganga wa muhimbili

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Huna lolote
Unakaa unaaminisha watu uongo,
Kuwasha ni sababu ya hisia za matamanio ya kimazoea,
Chukua kidole uwe unajiingizia kila Mara uone km hauta zoea na kujiskia kuwasha japo kidole hakina shahawa,
Mnakaa mnamtiiiisha wakati jibu ni yy kuamua kwa dhati kuacha,full stop
 
dhambi zote zinasameheka Biblia neno la Mungu inasema ila dhambi mmoja tu nayo ni ya kumkufuru Roho Mtakatifu Mungu ni wa rehema sana tena sana na ni wahuruma tena amejaa pendo kuu sana babo anayo nafasi sana
Maadamu tu utubu kwa dhati ya kuacha
 
Mi nimekuta hii kitu chini ya uvungu wa kitanda cha demu wangu,bila shaka naye ni mdau ila hawezi kuniambia.

Duuh! nmeshindwa kuweka picha ila ni dawa kama ya mafua,imeandikwa kwenye kifuniko "Rubb",kimetumika zaidi ya asilimia 90,kabla ya hii chupa niliwahi mkuta na BABYCARE imetumika kama asilimia 80 hakutoa maelezo yakuridhisha.

Kwasababu amekua akiniambia mara kwa mara nimuingizie kidole kwenye njia ya haja kubwa,nimewaza kua atakua ameshakua addicted na kuliwa Tigo,sema anaogopa kuniambia kwasababu ya mimi kuonekana niko serious na nataka kumuoa.
 
Hapana Brigit86, hakuna dhambi au uovu ambao Bwana Yesu kristo hawezi kusamehe, Yeye anasamehe dhambi na uovu wa aina yote. Wala kwake hakuna dhambi kubwa au ndogo. Tena kwake hakuna dhambi ya kawaida na au isiyo ya kawaida. Usiogope huo ni mzigo kuna pa kuutua na maisha yakaendelea (Mathayo 11:28). Aidha, iwapo hujampokea Yesu kristo tafuta Kanisa lolote la TAG hapo ulipo utaelekezwa yakupasayo kufanya. Pole sana na hongera kwa kuzinduka kwani shetani ibilisi alikuwa anakusubiri kwa HAMU Jehanamu.
 
Usikute ata Hakulewa aliona akija na gia ya kulewa labda ndo utamuelewa kua sio akili yake ili ata ukiwa mkali kesho yake ajidefend kua alikua amelewa ndomana akafanya....ss we ni mjinga sn kumturuhusu siku ya kwnza tu akupige nyuma....et ulickia raha...inamaana yy kibamia au....halafu kaa ukijua mwanaume anaekula nyuma kamwe hawez kukuoa apo ameshakufanya kama sex machine wa nyuma na ndomana ukimwambia uo mchezo uishe anasena muachane maana anaona una umuhimu kabisa mbali na nyuma ....inshort nyuma ndo ina muhold kwako na kaa ukijua haitomu hold kwa kpnd kirefu....soon akitaka kuanza maisha anakuacha uyo....ila Pole sana ndugu yaani apo solution iliyopo ni kuacha nae kabisa (kitu ambacho cdhani kama utaweza kufanya) vinginevyo utakua unajidanganya tuu
 
Hapana Brigit86, hakuna dhambi au uovu ambao Bwana Yesu kristo hawezi kusamehe, Yeye anasamehe dhambi na uovu wa aina yote. Wala kwake hakuna dhambi kubwa au ndogo. Tena kwake hakuna dhambi ya kawaida na au isiyo ya kawaida. Usiogope huo ni mzigo kuna pa kuutua na maisha yakaendelea (Mathayo 11:28). Aidha, iwapo hujampokea Yesu kristo tafuta Kanisa lolote la TAG hapo ulipo utaelekezwa yakupasayo kufanya. Pole sana na hongera kwa kuzinduka kwani shetani ibilisi alikuwa anakusubiri kwa HAMU Jehanamu.
Bado hujachelewa, kwanza kabsa achana na huyo jamaa sababu hatokuja kukuoa ilihali anajua kabsa amesha kuharibu. Omba Mungu kwa iman yako yote atakusamehe. Mungu atakuletea mwanaume mwingine ambae atakupenda. Huyo hakupendi na huenda anakuchuna had pesa zako maskini. Ukiamua kuacha toka ndan ya moyo wako inawazekana!!!!
 
Nimependa ulichomjibu,
Lkn la kuingezea anapaswa kuanzia ndani yake,kukataa
Unajua mwili wa binadamu huzoea unachoupa,
Ukiukataza jambo na ukasimamia hapo huwa unaacha,
Ndo maana kabla ya mfungo mtu ukikaa mpaka SAA NNE asbh haujala unaweza umia sana lkn wakati wa mfungo mwili hukubali kukaa hadi SAA moja Usk,
Nikweli waweza fungal kwa kudhamilia ila wakina nani wamekuzunguka kama wote wanakaangiza harufu ya chakula kila kona lazima huwe katika wakati mgumu that why inabid spate MTU ambaye hajihusishi
 
Jamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?
zambi kubwa kuliko zote ni kuzurumu mtu kwa maana kuua lakini pia nayo mtu akitubu usamehewa wacha kua muoga na nafsi yako kufirwa au kufira hipo kwenye kundi la kuzini tu ni sawa na mtu anavyo nyonya mboo au kutomba kwapati hivyo kama umeamua kuacha yani acha uzinzi wote subiria hadi uolewe
 
Ukweli mchungu ni kuwa ameshakuharibu na hatokuoa.

Na usifikiri alifanya kwa bahati mbaya kwa sababu alikuwa amelewa,hiyo ndiyo tabia yake,alitumia udhaifu wa pombe kama kianzio cha kukufanyia huo uchafu.

Wa kubadilika sasa ni wewe. Sisi hata tuseme vipi kama hujataka kubadilika hutobadilika.

Nakushauri kwanza achana na huyo mtu kisha weka niya ya kucha huo mchezo. Tafuta wanasaikolojia watakusaidia but uwe tayari umeshaacha kufanya hicho kitendo.

Kuendelea kiwa na huyo anayekufanyia huo mchezo inamaanisha kuwa bado unaupenda.

Pole sana
Ushauri Mzuri sana.
 
Hapana. Mimi sio miongoni mwao. Ninachopingana nacho mara zote ni unafiki. Sipendi unafiki nafiki.
Humu wapinga tiGo ndio wala tiGo. Maajabu.
upo sahihi kabisa mkuu
humu ndani 99% wanashangilia au ni wataalam
eti wanamshauri Brigit86
lakini uzi unayoyoma tu page kwa page
oo ukitaka kuacha unaanzia .... mara dhambi...
wongo tu wao walijuaje
je angeweka Uzi kuwa alishawahi kuua mlinzi Benki unafikiri wangechangia????????
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.

Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.

Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.

Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
usijali hakuna dhambi ambayo haisameheki isipokuwa KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU. Kipindi cha kwaresma hiki tubu na Mungu atakusamehe. kuhusu kuacha katafute dawa za tiba zipo.
 
Back
Top Bottom