BabaC
Member
- May 21, 2013
- 94
- 60
Umenigusa mkuu duuu aisee aiseee Mungu anakuona kwa kweli yaani sitii neno tenaHalafu hawa smart tatizo lao jingine ni kwamba HATA ULE UTANI UTANI WA KIMAPENZI HAWATAKI. Na ndio maana hata kuwaandaa kwny mgegedo kazi sana kwa sababu they dont respond positively hata ukianza kumchezea chezea. Yan ni kama hawana genye kabisa. Hata kissing kwao shida. Aaaarggh...!!!
Wanamatch sana wakikutana na mwanaume cool, ila wanaboa sn wakikutana na kina sisi wapenda utani kila dakika..!! Yan utafikir umekaa na msukule.
RAHA YA MPENZI AJIBEBISHE BANA, hapo hata dudu linashtuka. Unavuta ndani, unapiga kimoko au viwili fasta, maisha yanaenda.....!!!