Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya Wanawake wanaonekana ni wavivu wa mapenzi katika ndoa.Viashiria vyake ni wanaume kuwa na nyumba ndogo kutokana na kutotosheka kimapenzi katika ndoa.Waliotoa maoni hudai kuwa mke wa ndoa huwa na visingizio vingi kama nimechoka,usinichakaze,usinifanye malaya(changudoa),bado ninalea na vingi vya namna hiyo.Visingizio hivyo havipo anapotoka nje ya ndoa hivyo kuona ndoa ni mzigo kimapenzi na kusababisha kupungua kwa matunzo katika familia.Je wanandoa hakuna haja ya kuweka mkakati ili kutatua tatizo hili?