Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,946
- 5,852
Ndugu zangu ikiwa ni siku nyingine iliyo zungukwa na hali ya hewa nzuri pamoja na haya maua tuliyoumbiwa huku duniani nawatakia siku njema na majukumu mema
Ndugu kama kichwa cha somo kinavyo ainisha katika jamii zetu hawa wanawake wetu tunao wapenda na kuhangaika nao sana wanaamini kabisa pasi na mashaka yeyote kwamba mwanaume ndiye anayetangulia kufa siku zote hivyo atabaki mwenyewe na siyo vinginevyo,
pia tunavyoenda kwenye majukumu yetu wakati mwingine wanaamini tutafia huko na inawezekana kutorudi nyumbani , jambo linalowafanya wakati mwingine tunapo aga wake zetu kwenda kwenye majukumu ya kutafuta ugali wanatuangalia mara mbili mbili kwa mashaka sana
Ndugu zangu jambo hili huwafanya wanawake kuweka tamaa sana ya mali kuliko utu kwa lengo la kujitajirisha binafsi yake na kujihudumia ikitokea mwanaume umekufa na kumwacha peke.
Je, ni kwanini basi wanawake wetu hawa wazuri , mawaridi ya mioyo yetu na inayotupa utelezi murua pamoja na burudani hasa hasa wakati huu wa mvua na baridi za hapa na pale wanaamini sisi wanaume wao ndiyo tunakufa mapema kuliko wao.?
Nakaribisha maoni yenu
Ndugu kama kichwa cha somo kinavyo ainisha katika jamii zetu hawa wanawake wetu tunao wapenda na kuhangaika nao sana wanaamini kabisa pasi na mashaka yeyote kwamba mwanaume ndiye anayetangulia kufa siku zote hivyo atabaki mwenyewe na siyo vinginevyo,
pia tunavyoenda kwenye majukumu yetu wakati mwingine wanaamini tutafia huko na inawezekana kutorudi nyumbani , jambo linalowafanya wakati mwingine tunapo aga wake zetu kwenda kwenye majukumu ya kutafuta ugali wanatuangalia mara mbili mbili kwa mashaka sana
Ndugu zangu jambo hili huwafanya wanawake kuweka tamaa sana ya mali kuliko utu kwa lengo la kujitajirisha binafsi yake na kujihudumia ikitokea mwanaume umekufa na kumwacha peke.
Je, ni kwanini basi wanawake wetu hawa wazuri , mawaridi ya mioyo yetu na inayotupa utelezi murua pamoja na burudani hasa hasa wakati huu wa mvua na baridi za hapa na pale wanaamini sisi wanaume wao ndiyo tunakufa mapema kuliko wao.?
Nakaribisha maoni yenu