Kwanini wanawake ni wengi kuliko wanaume?

Danken Mbombo

JF-Expert Member
May 30, 2015
651
339
Hebu tujiulize kwanini wanawake ni wengi kuliko wanaume? Kwanini wana uzuri, maumbile na tabia tofauti? Je wanapozaliwa wengi kuliko wanaume ni bahati mbaya? au ni mpango maalum wa Mungu ambao wanadamu kwa upeo wetu mdogo hatuelewi.

Ingekuaje kama wanawake wote wangekuwa sawa katika kila kitu ? Wapi ni ndani ya ndoa na wapi ni nje ya ndoa ikiwa ndoa ni makubaliano ya wawili wapendanao? Mtoto wa ndani ya ndoa na tunaemwita wa nje ya ndoa nini tofauti zao mbele ya Mungu?

Je inawezekana wanawake wote kuolewa? kama haiwezekani, wasioolewa wafanywe nini ikiwa mahitaji yao ni sawa na ya wale waliobahatika kuolewa. Je tuwatenge?Au tuwaombee warudi walikotoka?

Halafu tumuombe Mungu aachane na mpango wake wa kutuletea wanawake wengi, lengo likiwa ni kulinda ndoa zetu wadau, tukiwa na majibu sahihi ya maswali haya tutaweza kujua kama wanaume wanaotembea nje ya ndoa wana tamaa, wana matatizo au wanawajibika?
 
Hili Muhammad (SAW) alishalisema, zama za mwisho wa dunia basi wanawake watakua wengi kuliko wanaume.
Ni mpango tu wa Mungu.
 
hvi umepitia kwa Mchungaji wako kuuliza hayo maswali? cz naona Mungu this, Mungu that..ye atakueleza vizuri na mistari juu
 
hvi umepitia kwa Mchungaji wako kuuliza hayo maswali? cz naona Mungu this, Mungu that..ye atakueleza vizuri na mistari juu

nimewahi kuwauliza wachungaji, majibu yao hayanyooki, kila mmoja ana jibu lake
 
Hebu tujiulize kwanini wanawake ni wengi kuliko wanaume? Kwanini wana uzuri, maumbile na tabia tofauti? Je wanapozaliwa wengi kuliko wanaume ni bahati mbaya? au ni mpango maalum wa Mungu ambao wanadamu kwa upeo wetu mdogo hatuelewi.

Ingekuaje kama wanawake wote wangekuwa sawa katika kila kitu ? Wapi ni ndani ya ndoa na wapi ni nje ya ndoa ikiwa ndoa ni makubaliano ya wawili wapendanao? Mtoto wa ndani ya ndoa na tunaemwita wa nje ya ndoa nini tofauti zao mbele ya Mungu?

Je inawezekana wanawake wote kuolewa? kama haiwezekani, wasioolewa wafanywe nini ikiwa mahitaji yao ni sawa na ya wale waliobahatika kuolewa. Je tuwatenge?Au tuwaombee warudi walikotoka?

Halafu tumuombe Mungu aachane na mpango wake wa kutuletea wanawake wengi, lengo likiwa ni kulinda ndoa zetu wadau, tukiwa na majibu sahihi ya maswali haya tutaweza kujua kama wanaume wanaotembea nje ya ndoa wana tamaa, wana matatizo au wanawajibika?


kibaiolojio mwanuume anatoa mbegu X na Y mwanamke anatoa X tu, ili kutengeneza mtoto mbegu za mwanaume zinaungana na mwanamke, yaani X na X hapo unapata mtoto wa kike au X na Y hapo unapata mtoto wa kimue.

Life span ya mbegu X ni zaidi ya 72hrs ikisubiri yai la mwanmke na life span ya Y[ambazo hutengeneza mtoto wa kiume ] ni 48hrs kwahio unaweza kuona mbegu ya kike yaani X ina chance kubwa ya kusurvive.
 
wanawake ni wengi ili upate chance nzuri ya kuchagua mke mwema
 
Ungesema unataka ujibiwe kivipi.
Kisayansi,
Kidini ama
Kitamaduni.

Ningekujibu kisayansi(biologically)
Lakini some things are better left the way they are.
The more you find you find the answers, the more you ask quizs.

,,,,but if you insist, nitakujibu.
 
kibaiolojio mwanuume anatoa mbegu X na Y mwanamke anatoa X tu, ili kutengeneza mtoto mbegu za mwanaume zinaungana na mwanamke, yaani X na X hapo unapata mtoto wa kike au X na Y hapo unapata mtoto wa kimue.

Life span ya mbegu X ni zaidi ya 72hrs ikisubiri yai la mwanmke na life span ya Y[ambazo hutengeneza mtoto wa kiume ] ni 48hrs kwahio unaweza kuona mbegu ya kike yaani X ina chance kubwa ya kusurvive.

Scientific proof. Thanks, umeitendea haki JF(GT) na pia taaluma yako!
 
Ungesema unataka ujibiwe kivipi.
Kisayansi,
Kidini ama
Kitamaduni.

Ningekujibu kisayansi(biologically)
Lakini some things are better left the way they are.
The more you find you find the answers, the more you ask quizs.

,,,,but if you insist, nitakujibu.
Jibu katika sehemu zote tuongeze elimu
 
Kwa sababu wanaume hatuliziki na papuchi moja. Ndo maana Kenya wamepitisha (mwaka jana) Sheria ya kuruhusu kuoa wake wengi kwa kadri ya utashi wa mwanaume.
 
Wanaume ndo wengi kuliko wanawake , na kiwango hakizidiani sana kwa maana ya wanawake 100 kwa Wanaume 104 (average ) , kwa tanzania wanawake ndo wengi ..

Mleta mada please fanya research kabla ya ku post .TOPIC CLOSED
 
Back
Top Bottom