BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,041
Wote ambao hawakurudi kushukuru walikuwa wayahudi (jamii yake Yesu). Aliyerudi kushukuru alikuwa msamaria!Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.
Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa. Ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia. Ukitaka kuliamini hilo, angalia ule mfano wa kwenye biblia. Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa Yesu kushukuru.
Mpaka Yesu akamuuliza wale wenzio wako wapi? Kama sijakosea. Sasa wenzetu waislam wana ujasiri sana aisee.
Tofauti sana na sisi wakristu