mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,916
- 37,705
si ndio ualimu wa chekechea au??Nilikua nachukulia poa maana huku maofisini tunakitumia kama lugha ya kawaida tena kwa uzoefu mkubwa tu, ila nilivyoona Wabongo wanateseka kwa kutokujua kingereza na wanavyotuonea wivu hehehe nikajua kumbe kina thamani, kwanza kuna Wakenya wengi huko Bongo wamefanya kingereza kuwa mtaji.
huko kwenu naskia nayo ni lugha ya taifa.