Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Huyu Makamu Pekee wa Waziri Mkuu ana jini gani maana NCCR Mageuzi na TLP viko hoi.
Pia kwenye kinyang'anyiro cha uraisi mwaka jana alikuwa akimpigia kampeni Kikwete ilhali TLP walikuwa wamesimamisha mgombea.
Pia kwenye kinyang'anyiro cha uraisi mwaka jana alikuwa akimpigia kampeni Kikwete ilhali TLP walikuwa wamesimamisha mgombea.