Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
wanakiburi cha madaraka na kwamba wanajua wananchi tuko weak hatuwezi kufanya lolote kuhusu makosa yao.
kuna wakati nimewahi kufikiri kwamba viongozi wetu wamewahi kutumia 'bange' au mihadarati fulani ujanani mwao!
Mtu anaposema:
-HIVYO NI VIJISENTI TU
-NCHI IKIKAA GIZANI TUSILAUMIANE
-BORA WANANCHI WALE HATA NYASI ,LAKINI NDEGE YA RAIS LAZIMA INUNULIWE
lol!