matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,596
- 15,393
- Thread starter
- #61
Kuna mdau wangu anaheka saba hapo, aliniarika nichukue eneo karibu yake ili tuwe na eneo hapo majirani, kumbe wale jamaa nao ni balaa. Nimewahi kukaa masaa kama 12 tu mama mmoja akapewa namba yangu..Kila siku ni kubeep na kunipigia hadi nikablockMwalusembe, wizi, uchawi, umalaya, umbeya vyote vyao.
Kile kijiji sijui kimelaaniwa na nani ?
Nimewahi kukaa hapo 2015-2017 nilikuwa nalima matikiti maji kijiji cha Kikoo picha linaanza ile kufikisha watu wangu wa kazi wote wakaugua macho kila siku wanatoa machozi tu, usiku ndani vurugu haziishi. Ikabidi niwahamishie shambani huko huko hapo mwalusembe siyo.