Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,877
Inalindwa na ItalyMkuu vatcan Haina jeshi? Haina usalama wa taifa?
Inalindwa na ItalyMkuu vatcan Haina jeshi? Haina usalama wa taifa?
Nyererw ndo alikuwa Rais wa Zanzibar!? Karume alikuwa wapi wakati huo?Aliitoa Nyerere. Zanzibar haikupiga kura za maoni kuamua kujitoa UN.
Vatican siyo nchi, ni mji ndani ya nchi ya Italy ambao ni makao makuu ya Kanisa Katoliki.Vatikanil City ni taifa huru na pekee duniani ambalo limeamua kutokuomba uanachama UN. (Kumbuka kuwa mwanachama UN sio lazima).
Vatican City, pamoja na nchi nyingine ndogo za Ulaya kama Monaco, Andora, Liechtenstein na Malta ni nchi huru kabisa (sovereign states). Sema kutokana na udogo wao na maeneo yao kijiografia baadhi zina mikataba ya ushirikiano ya karibu sana na majirani zake kiasi kwamba watu hudhani ni nchi moja.
Mfano Vatican na Italy, Monaco na France, Liechtenstein na Switzerland n.k.
Vi nchi hivi vidogo vinashirikiana na hayo mataifa makubwa kwenye maeneo ya ulinzi, fedha, uhamiaji n.k.
Kwahiyo kwa kumalizia, Vatican City ni sovereign state, wao wenyewe ndio wameamua kutokuwa wanachama wa kudumu wa UN japo ni moja ya nchi waangalizi UN (observer state).
Maelezo zaidi soma the Lateran Treaty.
Siyo makao makuu ya dini, ni makao makuu ya dhehebu la kikatoliki.Vatikan sio nchi bali ni makao makuu ya dini flani
Ukatoliki ni sehemu tu ya Ukristo, ni dhehebu moja hilo ila madhehebu mengine yana makao makuu yao sehemu tofauti tofauti duniani.Mm nashangaa ukiristo umeanzia israil huko middle east alafu makao makuu ya ukatoriki uko itali ndo napata mashaka makubwa na wazungu na ukiristo....
Lile Bunge lao tunalichukulia kama baraza la madiwani.kwa kifupi Zanzibar ni mkoa kama mikoa mwingine? je mbona kuna bendera, katiba na bunge lao la wawakilishi?
Vatican ni nchi kama zilivyo nchi nchingine.Ina sifa zote za kuwa nchi(Westphalia Treat).Vatican sio nchi ni mji Mtakatifu, wenye hadji ya nchi kimataifa na Balozi nchi zote duniani ila sio dola; hauna polisi, jeshi, sarafu, nchi yenye dola inayotambuliwa ni Italy. Vatican ni mji mtakatifu.
Kule UN utambuzi ni wa dola tuu, ndio maana hata Zanzibar haitambuliwi kimstaifa.
P
sio zanzibar tu hata palestina sio nchi.Ni nini kama siyo nchi?
kasome international relation ujinga ukutoke.Vatikan sio nchi bali ni makao makuu ya dini flani
pope.Vatican na ITALY Wana mabalozi nchini wanamuwakilisha nani?
VATICAN ina RAIS wao mkuuUle ni mji mtakatifu wa kiroma na kiongozi wake ni papa kwa maana hiyo pale hamna siasa kama za nchi nyinginezo.
Na UN ipo kisiasa zaidi ni mawazo yangu naomba kusahihishwa
Soma the Lateran Treaty.Vatican siyo nchi, ni mji ndani ya nchi ya Italy ambao ni makao makuu ya Kanisa Katoliki.
Mkuu 'Proved', kwa hili ingefaa umwite Nguruvi3.
Viza anatoa Italy au Vatican?Vatican imo ndani ya nchi ya Italiano, na ndiyo yenye jukumu la ulinzi.
Kisiwa kimojawapo nchini Tanzania 🇹🇿Ni nini kama siyo nchi?
Vatican hana jeshi, polisi wala uhamiaji!, hivyo hati visa, anayetoa visa ni Italy, visa ya schengen unaingia Vatican, intact ni ukishaingia Italy, Vatican unaingia kama kwenda Kariakoo!, huulizwi popote!.Viza anatoa Italy au Vatican?
Kwani zanzibar ni nchi?Vatican sio nchi ni mji Mtakatifu, wenye hadji ya nchi kimataifa na Balozi nchi zote duniani ila sio dola; hauna polisi, jeshi, sarafu, nchi yenye dola inayotambuliwa ni Italy. Vatican ni mji mtakatifu.
Kule UN utambuzi ni wa dola tuu, ndio maana hata Zanzibar haitambuliwi kimstaifa.
P
Yes Zanzibar ni nchi ndani ya nchi, kitaifa Tanzania japo ni nchi moja ya JMT, ndani ya JMT kuna nchi mbili, Tanzania bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar, tuna serikali mbili za SJMT na SMS, tuna marais wawili, mabunge mawili, na Mahakama mbili. Hivyo ndani ya muungano wetu ni muungano wa federation.Kwani zanzibar ni nchi?