Kwanini ushindi wa Trump ni faida kubwa kwa Tanzania?

""Wamiliki wa Silaha wanapenda sana kuwinda so tukiwa flexible watakuja kwa wingi kwa njia ya utalii! By Le Mutuz!
Faida moja tu ya kuja kuuwa TEMBO Wetu! Lemutz siku hizi hana hoja kabisa.nimetafuta point yake sijaiona! heading na contents tofauti! ukiwaza kiccm ni shida sana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
- Ushindi wa Trump ni ushindi wa Wananchi wa Marekani, baada ya miaka 270 ya Mfumo Dume Wazee wa Kimarekani wanaomalizia Generation ile hawakutaka kuona Rais Mwanamke anachaguliwa under their watch. Donald Trump throughout the campaign alikuwa anaongea lugha ya pure American, ambaye amezaliwa Bronx dakika 10 kutoka Manhattan lakini hajawahi kutoka nje ya Bronx kwa sababu kila kitu kama Hospitali, Shule, Maduka makubwa na mahitaji yote kama binadam yapo Bronx hapo hapo alipozaliwa so hajawahi kuona sababu ya kwenda Manhattan dakika 10 tu kutoka anapoishi, so kwake the Bronx ndio Dunia masikini ya Mungu hajui lolote hawa ndio wananchi wengi wa Marekani ambao Trump alikuwa anaongea lugha yao.

- Trump amevuna sana kura za hasira againt Politicians wajanja wajanja, kwa kugombana mpaka na Chama chake Trump alikuwa anajiweka vizuri zaidi na wananchi ambao walikuwa wanamuamini kwamba ana best interest ya Taifa na Wananchi mpaka amefikia kugombana na wanasiasa wa chama chake mwenyewe, kuanzia marais wa zamani mpaka Spika wa Bunge wa chama chake. Huku akiyasema matatizo ya Marekani kama Taifa kama yalivyo bila kuogopa Political Correctness.

- Mama Clinton ana makosa mengi sana na ya muda mrefu sana Polls zinaonyesha 65% ya Wananchi wa US hawamuamini kabisa kutokana na matatizo yake mengi sana kisiasa, lakini pia kitendo cha kushindwa kumpa ugombea mwenza Bern Sanders pia kumemuumiza sana na wafuasi wa Ben. Halafu Wamarekani waliokimbia utawala wa Mfalme King George, wangemuchaguaje Mke wa Rais wa zamani?

- Now all and all, Wananchi wa USA wameshaamua Democrasia kama kawaida imeshinda tena big time , now comes our part as a nation na ushindi wa Donald Trump, kwa maoni yangu baada ya kuishi USA kwa miaka 25 ni kwamba Trump amesaidiwa sana na Makampuni ya Kutengeneza Silaha ambayo yanataka Vita na kuhakikisha kwamba Wananchi wa USA wanakuwa na haki za kisheria za kumiliki Silaha kama walivyo sasa against Sheria na majaribio mengi ya Chama cha Mama Clinton cha kutaka kuwazuia wasiwe na Silaha, na besides kuacha mambo machache sana ya Trump bado yeye na Rais Magufuli wanaongea lugha moja ya USA First na Tanzania First.

- Maofisa wetu wa Diplomasia wasiingie mkenge wa Dunia kuilalamikia USA kwa kumchagua Trump badala yake wajikite kwenye kuangalia masilahi ya Taifa letu na Urais wa Trump, kwa sababu hata ukiangalia historia ipo very clear kwamba Viongozi wa Republicans ndio wametusaidia sana Tanzania na hata Weusi kule USA kuliko hata Democrats Chama ambacho Wabongo wengi tunaonekana kukiunga mkono bila kukielewa vizuri.

Tanzania tupo kwenye kufaidika sana na Urais wa Trump kwa mambo mengi mojawapo likiwa Wamiliki wa Silaha wanapenda sana kuwinda so tukiwa flexible watakuja kwa wingi kwa njia ya utalii, lakini tukijiingiza mbio kwenye kuwa negative against Rais wa USA ambaye hatuhusu kabisa tunaweza kuishia kujinyonga wenyewe kwa kamba tuliyojitengenezea, kwa maneno yake mengi kuhusu Africa Trump hawezi kuwa na tatizo na uongozi wa Rais Magufuli, no way ninasema ushindi wa Trump ni mzuri na unaweza kuwa na faida kwetu Tanzania kama tutajikita kwenye kujali masilahi ya tiafa kwanza na kuchana na siasa za Dunia.

Le Mutuz Nation
ACHA kupotosha watu wewe gamba.Trump hata hamjui
Pumba Maharagwe,ila anajua wote wanaoharibu chaguzi za Afrika ili washinde.TRUMP kama rais wa dunia atawararua sana akinanJPM,MUGABE,MUSEVEMI,NKURUNZINZA na vyama vyao.
Ni mawazo ya panzi kulinganisha USA na TANZANIA.
NCHI kubwa lakini matokeo yanakamilika ndani ya siku ileile,bila polisi kuingilia haki zanwapiga kura.Lakini
Tanzania yenu makada wa CCM ndo vinara wa kusafirisha masanduku ya kura feki na halali,mara idadi ya kura zipishane,wagombea wengine wawekwe selo,kura zipikwe na NEC na CCM,kisha katiba ya KISHENZI! Huwezi kushtaki matokeo ya urais.
HITIMISHO: Ni ushenz.i kulinganisha TRUMP NA MAGUFULI,
Tanzania na USA,yaani CCM na REPUBLICAN!.
 
Thanks for sharing this afrodenzi. Huwa nasikitika sana kuona picha kama hizi furaha ya hao so called watalii kuja kujifunza shabaha ya kutumia bunduki zao kwa kuwamaliza wanyama wetu kwa malipo kidogo sana kwa Serikali. Wanyama wetu mbali mbali wakiwemo Tembo, Simba, Chui, Nyati wamepunga sana na wengine wako katika hatari ya kupotea kabisa nchini mwetu. Hii kitu ipigwe marufuku kabisa wageni wanaotaka kuja nchini kama watalii kwa kuangalia wanyama wetu wakaribishwe tena kwa mikono miwili lakini wanaotaka kuja kufanya trophy hunting wasiruhusiwe kabia kutia mguu nchini. Nadhani utakumbuka ile story ambayo kuna Simba kule Zimbawe akiitwa Cecil ambaye alikuwa maarufu sana.



 
Faida moja tu ya kuja kuuwa TEMBO Wetu! Lemutz siku hizi hana hoja kabisa.nimetafuta point yake sijaiona! heading na contents tofauti! ukiwaza kiccm ni shida sana.
Nilijua Mimi ndo cjaelewa kumbe kuna wenzangu labda ngoja nisome upya
 
Kilichonishangaza nipale wapiga kura mil100 rais anatangazwa ndani ya saa 24 tu wakati hapa kwetu wapiga kura laki4.5 matokeo siku nne na baadae tukayafuta....
 
Mumeanza kujikomba kwa Trump ili muonewe huruma,Trump siyo Kagame wa Rwanda mnayeweza kumunyamazisha kwa kipande cha bandari,subirini kushushuriwa.
 
BAK yaani kwa kweli Waafrica tumejaliwa ujinga. Mtu kama William alitakiwa kuja hapa na kukemea hili Cha kushangaza analikubali.

Tufikiri kwa kina kidogo Tembo anabeba ujauzito kwa miezi 22 (karibu miaka miwili ) . Tukiruhusu watu mia kwa mwaka kuwawinda inamaanisha baada ya miaka miwili Tembo 200 wameondoka kabla huyo mmoja kuzaliwa. Assuming hao watu mia mbili kila mmoja tembo mmoja.

Inatisha mno.
 
Watu mia afrodenzi ni kidogo wengi wa hawa wawindaji haramu huja kwa makundi ya kuanzia watu wa tatu kwenda juu, idadi ya wanaoingia nchini kwa kwa mwaka ni kubwa zaidi. Kuna Waarabu nao ambao wamepewa eneo lao maalumu kwenye mbuga za wanyama nchini. Hawa nao wanauwa wanyawa kama vile hawana akili kabisa. Inasikitisha na kuudhi sana.



BAK yaani kwa kweli Waafrica tumejaliwa ujinga. Mtu kama William alitakiwa kuja hapa na kukemea hili Cha kushangaza analikubali.

Tufikiri kwa kina kidogo Tembo anabeba ujauzito kwa miezi 22 (karibu miaka miwili ) . Tukiruhusu watu mia kwa mwaka kuwawinda inamaanisha baada ya miaka miwili Tembo 200 wameondoka kabla huyo mmoja kuzaliwa. Assuming hao watu mia mbili kila mmoja tembo mmoja.

Inatisha mno.
 
One of the pathetic political analysis kuwahi kushuhudia hapa JF.

Comrade William J.
Your tittle ingekuwa SABABU ZA TRUMP KUSHINDA UCHAGUZI na siyo namna gani Tanzania itanufaika vipi na ushindi wake. Katika 'riwaya' yako, umeweza angalau kueleza sababu za kushinda kwa Trump na kushindwa kwa H. Clinton, but hiyo faida kwa Tanzania legalisation ya silaha na kuongezeka kwa uwindaji kupitia utalii ni hoja mfu.

25 years in USA unashindwa kujua the colors of AMERICA POLITICS!!! There is no free cup of coffee from WHITES yoyote duniani, uhusiano kati ya Africa na mataifa ya ulaya, asia na America ni wa 'CUP OF COFFEE'.
 
Watu mia afrodenzi ni kidogo wengi wa hawa wawindaji haramu huja kwa makundi ya kuanzia watu wa tatu kwenda juu, idadi ya wanaoingia nchini kwa kwa mwaka ni kubwa zaidi. Kuna Waarabu nao ambao wamepewa eneo lao maalumu kwenye mbuga za wanyama nchini. Hawa nao wanauwa wanyawa kama vile hawa akili kabisa. Inasikitisha na kuudhi sana.


Honestly sijui kama kizazi kinachokuja kitakuwa na bahati ya kuona wa nyama sisi tunao waona . Northern White African Rhino wamebaki wa watatu tu duniani kote . Na hao walikuwa kwenye zoo protected . walio kuwa Africa wameuliwa wote. Hao walikuwa kwenye zoo Czech Republic wamerudishwa Kenya ambapo ndipo walipokuwa originally .

Niliona kwenye Documentary moja. Wanajaribu kutumia Science ku harvest sperm na kupandikiza kwa rhino wa kike. Lakini wa kike ni mzee mno na wakiume pia. Wamejaribu karibu mara 100 kidogo na wamefeli mara zote. Na wa kiume ni mgonjwa. Akiondoka tu huyo basi. Huo ndio mwisho wa Northern White Rhino. Very sad indeed.
 
- Ushindi wa Trump ni ushindi wa Wananchi wa Marekani, baada ya miaka 270 ya Mfumo Dume Wazee wa Kimarekani wanaomalizia Generation ile hawakutaka kuona Rais Mwanamke anachaguliwa under their watch. Donald Trump throughout the campaign alikuwa anaongea lugha ya pure American, ambaye amezaliwa Bronx dakika 10 kutoka Manhattan lakini hajawahi kutoka nje ya Bronx kwa sababu kila kitu kama Hospitali, Shule, Maduka makubwa na mahitaji yote kama binadam yapo Bronx hapo hapo alipozaliwa so hajawahi kuona sababu ya kwenda Manhattan dakika 10 tu kutoka anapoishi, so kwake the Bronx ndio Dunia masikini ya Mungu hajui lolote hawa ndio wananchi wengi wa Marekani ambao Trump alikuwa anaongea lugha yao.

- Trump amevuna sana kura za hasira againt Politicians wajanja wajanja, kwa kugombana mpaka na Chama chake Trump alikuwa anajiweka vizuri zaidi na wananchi ambao walikuwa wanamuamini kwamba ana best interest ya Taifa na Wananchi mpaka amefikia kugombana na wanasiasa wa chama chake mwenyewe, kuanzia marais wa zamani mpaka Spika wa Bunge wa chama chake. Huku akiyasema matatizo ya Marekani kama Taifa kama yalivyo bila kuogopa Political Correctness.

- Mama Clinton ana makosa mengi sana na ya muda mrefu sana Polls zinaonyesha 65% ya Wananchi wa US hawamuamini kabisa kutokana na matatizo yake mengi sana kisiasa, lakini pia kitendo cha kushindwa kumpa ugombea mwenza Bern Sanders pia kumemuumiza sana na wafuasi wa Ben. Halafu Wamarekani waliokimbia utawala wa Mfalme King George, wangemuchaguaje Mke wa Rais wa zamani?

- Now all and all, Wananchi wa USA wameshaamua Democrasia kama kawaida imeshinda tena big time , now comes our part as a nation na ushindi wa Donald Trump, kwa maoni yangu baada ya kuishi USA kwa miaka 25 ni kwamba Trump amesaidiwa sana na Makampuni ya Kutengeneza Silaha ambayo yanataka Vita na kuhakikisha kwamba Wananchi wa USA wanakuwa na haki za kisheria za kumiliki Silaha kama walivyo sasa against Sheria na majaribio mengi ya Chama cha Mama Clinton cha kutaka kuwazuia wasiwe na Silaha, na besides kuacha mambo machache sana ya Trump bado yeye na Rais Magufuli wanaongea lugha moja ya USA First na Tanzania First.

- Maofisa wetu wa Diplomasia wasiingie mkenge wa Dunia kuilalamikia USA kwa kumchagua Trump badala yake wajikite kwenye kuangalia masilahi ya Taifa letu na Urais wa Trump, kwa sababu hata ukiangalia historia ipo very clear kwamba Viongozi wa Republicans ndio wametusaidia sana Tanzania na hata Weusi kule USA kuliko hata Democrats Chama ambacho Wabongo wengi tunaonekana kukiunga mkono bila kukielewa vizuri.

Tanzania tupo kwenye kufaidika sana na Urais wa Trump kwa mambo mengi mojawapo likiwa Wamiliki wa Silaha wanapenda sana kuwinda so tukiwa flexible watakuja kwa wingi kwa njia ya utalii, lakini tukijiingiza mbio kwenye kuwa negative against Rais wa USA ambaye hatuhusu kabisa tunaweza kuishia kujinyonga wenyewe kwa kamba tuliyojitengenezea, kwa maneno yake mengi kuhusu Africa Trump hawezi kuwa na tatizo na uongozi wa Rais Magufuli, no way ninasema ushindi wa Trump ni mzuri na unaweza kuwa na faida kwetu Tanzania kama tutajikita kwenye kujali masilahi ya tiafa kwanza na kuchana na siasa za Dunia.

Le Mutuz Nation
Hata CCM tulikuwa tunaiunga mkono asilimia 100 mpaka walipoanza ufisadi tukabadilika. Pia Republican wanavuna kutopata support ya watu weusi baada ya kuingiza wabaguzi.
 
Labda alivyosema Africa inaitaji Kutawaliwa tena maana hawajitambui
e42f6c766fc56520144e13406b3509ae.jpg
 
Huyu jama alikuwa anamsapot hillary bt alivyoshindwakam anamsapot Trump hv kashageuka mana nilipita fb yake akaandika saport kwa Hillary
 
Ni kutokuwa na vision wa hawa the so called viongozi wa nchi za Kiafrika ambao ndiyo chanzo cha yote haya ya kusababisha wanyama mbali katika Afrika wawe endangered species na wengine kukaribia kupotea kabisa. Na kama ulivyosema kuna uwezekano mkubwa tu wa vizazi vijavyo kuwaona wanyama ambao wapo Tanzania sasa kama endangered species kwenye picha tu na kuambiwa Tanzania pia miaka 20 iliyopita kulikuwepo na Tembo, Chui, Simba, Nyati, Pundamilia n.k. lakini walimalizwa wote na wawindaji toka Ulaya, Marekani, China na nchi za Kiarabu ambao walikuja kufanya trophy hunting.

Honestly sijui kama kizazi kinachokuja kitakuwa na bahati ya kuona wa nyama sisi tunao waona . Northern White African Rhino wamebaki wa watatu tu duniani kote . Na hao walikuwa kwenye zoo protected . walio kuwa Africa wameuliwa wote. Hao walikuwa kwenye zoo Czech Republic wamerudishwa Kenya ambapo ndipo walipokuwa originally .

Niliona kwenye Documentary moja. Wanajaribu kutumia Science ku harvest sperm na kupandikiza kwa rhino wa kike. Lakini wa kike ni mzee mno na wakiume pia. Wamejaribu karibu mara 100 kidogo na wamefeli mara zote. Na wa kiume ni mgonjwa. Akiondoka tu huyo basi. Huo ndio mwisho wa Northern White Rhino. Very sad indeed.
 
- Ushindi wa Trump ni ushindi wa Wananchi wa Marekani, baada ya miaka 270 ya Mfumo Dume Wazee wa Kimarekani wanaomalizia Generation ile hawakutaka kuona Rais Mwanamke anachaguliwa under their watch. Donald Trump throughout the campaign alikuwa anaongea lugha ya pure American, ambaye amezaliwa Bronx dakika 10 kutoka Manhattan lakini hajawahi kutoka nje ya Bronx kwa sababu kila kitu kama Hospitali, Shule, Maduka makubwa na mahitaji yote kama binadam yapo Bronx hapo hapo alipozaliwa so hajawahi kuona sababu ya kwenda Manhattan dakika 10 tu kutoka anapoishi, so kwake the Bronx ndio Dunia masikini ya Mungu hajui lolote hawa ndio wananchi wengi wa Marekani ambao Trump alikuwa anaongea lugha yao.

- Trump amevuna sana kura za hasira againt Politicians wajanja wajanja, kwa kugombana mpaka na Chama chake Trump alikuwa anajiweka vizuri zaidi na wananchi ambao walikuwa wanamuamini kwamba ana best interest ya Taifa na Wananchi mpaka amefikia kugombana na wanasiasa wa chama chake mwenyewe, kuanzia marais wa zamani mpaka Spika wa Bunge wa chama chake. Huku akiyasema matatizo ya Marekani kama Taifa kama yalivyo bila kuogopa Political Correctness.

- Mama Clinton ana makosa mengi sana na ya muda mrefu sana Polls zinaonyesha 65% ya Wananchi wa US hawamuamini kabisa kutokana na matatizo yake mengi sana kisiasa, lakini pia kitendo cha kushindwa kumpa ugombea mwenza Bern Sanders pia kumemuumiza sana na wafuasi wa Ben. Halafu Wamarekani waliokimbia utawala wa Mfalme King George, wangemuchaguaje Mke wa Rais wa zamani?

- Now all and all, Wananchi wa USA wameshaamua Democrasia kama kawaida imeshinda tena big time , now comes our part as a nation na ushindi wa Donald Trump, kwa maoni yangu baada ya kuishi USA kwa miaka 25 ni kwamba Trump amesaidiwa sana na Makampuni ya Kutengeneza Silaha ambayo yanataka Vita na kuhakikisha kwamba Wananchi wa USA wanakuwa na haki za kisheria za kumiliki Silaha kama walivyo sasa against Sheria na majaribio mengi ya Chama cha Mama Clinton cha kutaka kuwazuia wasiwe na Silaha, na besides kuacha mambo machache sana ya Trump bado yeye na Rais Magufuli wanaongea lugha moja ya USA First na Tanzania First.

- Maofisa wetu wa Diplomasia wasiingie mkenge wa Dunia kuilalamikia USA kwa kumchagua Trump badala yake wajikite kwenye kuangalia masilahi ya Taifa letu na Urais wa Trump, kwa sababu hata ukiangalia historia ipo very clear kwamba Viongozi wa Republicans ndio wametusaidia sana Tanzania na hata Weusi kule USA kuliko hata Democrats Chama ambacho Wabongo wengi tunaonekana kukiunga mkono bila kukielewa vizuri.

Tanzania tupo kwenye kufaidika sana na Urais wa Trump kwa mambo mengi mojawapo likiwa Wamiliki wa Silaha wanapenda sana kuwinda so tukiwa flexible watakuja kwa wingi kwa njia ya utalii, lakini tukijiingiza mbio kwenye kuwa negative against Rais wa USA ambaye hatuhusu kabisa tunaweza kuishia kujinyonga wenyewe kwa kamba tuliyojitengenezea, kwa maneno yake mengi kuhusu Africa Trump hawezi kuwa na tatizo na uongozi wa Rais Magufuli, no way ninasema ushindi wa Trump ni mzuri na unaweza kuwa na faida kwetu Tanzania kama tutajikita kwenye kujali masilahi ya tiafa kwanza na kuchana na siasa za Dunia.

Le Mutuz Nation
Pamoja na kutawala kwa kipindi cha zaidi ya miaka 50 bado mnafikra finyu za mbwa koko ambaye ana amini kuwa hawezi kushiba mpaka arushiwe masalia ya makombo na bwana yake?kwa kuamini kuwa Tanzania haiwezi ikaendelezwa na wananchi wake mpaka Trump awarushie masalia ya kodi za wamarekani.
 
Ni kutokuwa na vision wa hawa the so called viongozi wa nchi za Kiafrika ambao ndiyo chanzo cha yote haya ya kusababisha wanyama mbali katika Afrika wawe endangered species na wengine kukaribia kupotea kabisa. Na kama ulivyosema kuna uwezekano mkubwa tu wa vizazi vijavyo kuwaona wanyama ambao wapo Tanzania sasa kama endangered species kwenye picha tu na kuambiwa Tanzania pia miaka 20 iliyopita kulikuwepo na Tembo, Chui, Simba, Nyati, Pundamilia n.k. lakini walimalizwa wote na wawindaji toka Ulaya, Marekani, China na nchi za Kiarabu ambao walikuja kufanya trophy hunting.
Vichwa vya watu wengi na viongozi wengi wa Africa ni sawa na panzi.

Kwa speed hii na ujinga wa thread kama hii hatutafika mbali na wanyama wetu .
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni wachache sana wenye sifa ya kuitwa viongozi, wengi wao hawana hata sifa moja ya kuitwa viongozi. Ukiwaambia ukweli wanakuita mchochezi ili wapate sababu ya kukutia ndani kwa kutumia udikteta uchwara wao.

Vichwa vya watu wengi na viongozi wengi wa Africa ni sawa na panzi.

Kwa speed hii na ujinga wa thread kama hii hatutafika mbali na wanyama wetu .
 
Back
Top Bottom