Kwanini Tanzania tumeacha kunyonga wahaini?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,088
2,705
IMG_4401.jpg

Kuna uhusiano mkubwa kati ya kunyonga wahaini na maendeleo!!…..

Uhaini unaoongelewa hapa si wakupindua serikali ila ni uhaini wa maendeleo ya nchi kama rushwa, ufisadi, kusababisha hasara kubwa kwene mali ya umma, uzembe na kuliingiza taifa kwene umasikini kwa makusudi au uzembe.
Kuhujumu miundombinu au mapato ya nchi

Namba haidanganyi!

UTAJIRI UNAHITAJI ROHO NGUMU

NB: Adhabu ya kunyongwa lazima itolewe na taasisi imara zisizopokea rushwa
 
View attachment 2868718
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kunyonga wahaini na maendeleo!!…..

Uhaini unaoongelewa hapa si wakupindua serikali ila ni uhaini wa maendeleo ya nchi kama rushwa, ufisadi, kusababisha hasara kubwa kwene mali ya umma, uzembe na kuliingiza taifa kwene umasikini kwa makusudi au uzembe.
Kuhujumu miundombinu au mapato ya nchi

Namba haidanganyi!

UTAJIRI UNAHITAJI ROHO NGUMU

NB: Adhabu ya kunyongwa lazima itolewe na taasisi imara zisizopokea rushwa
Tanzania tukianza kunyonga wala rushwa na majizi yaliyopo Serikalini tutawamaliza wote labda ntabaki Mimi tu mnyongaji
 
View attachment 2868718
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kunyonga wahaini na maendeleo!!…..

Uhaini unaoongelewa hapa si wakupindua serikali ila ni uhaini wa maendeleo ya nchi kama rushwa, ufisadi, kusababisha hasara kubwa kwene mali ya umma, uzembe na kuliingiza taifa kwene umasikini kwa makusudi au uzembe.
Kuhujumu miundombinu au mapato ya nchi

Namba haidanganyi!

UTAJIRI UNAHITAJI ROHO NGUMU

NB: Adhabu ya kunyongwa lazima itolewe na taasisi imara zisizopokea rushwa
Huelewi tofauti ya uhaini na ufisadi.
 
Back
Top Bottom