Kwanini Tanzania hatukai na Rais wetu live na kumuhoji mambo mbalimbali katika TV kama Kenya?

we mtoa Mada hadi sasa unatakiwa upitiwe na noa, tafadhali sogea tongwe records mwenyewe, hatutaki usumbufu,.
 
Siku akitoa nafasi hiyo, na wauliza maswali wasiwe hand-picked, nina wasiwasi nusu yao watalala mahabusu siku hiyo, maana maswali atakayoulizwa atashindwa kuyajibu kisha kupandwa na hasira.

Sifa kuu ya watu wafupi ni wivu,hasira, kutokujiamini, na kukurupuka...,

Kama we mfupi usikarike.., kuna wachache hawako hivyo..,ila huyu wa kwetu...,
 
Hata utamaduni tu wa zile hotuba za kila mwezi za kujifungia yeye mwenyewe kwenye kichumba pale Ikulu aliouanzisha sijui Ben Mkapa ama Kikwete haupo na hawezi kabisa kuu - practice sembuse kuwekwa kiti moto na waandishi huru wa miili na fikra zao ???

No, It's quite impossible kwa huyu unless kwa press conference iliyoandaliwa hapo hapo Ikulu kwa kutoa kadi za mwaliko kwa waandishi waliowachagua wao pamoja na "ready made questions "

Na kwa lugha nyingine ni kuwa, kwa mtu aliyeingia madarakani kwa kura za wizi kamwe si mtu wa kujiamini ktk uongozi wake na muda karibu wote anaongoza kwa mihemuko na kuweweseka kwingi......

Hawawezi ku - face nyuso huru na zenye shauku ya kutaka kufahamu mipango juu ya nchi wanazoziongoza, muda mwingi hushtakiwa na dhamira zao na muda wote hujiona wana hatia.....

Mara nyingine viongozi wa dizaini hii, mara tu wakishaonja utamu wa madaraka na mamlaka hujilinda na huyalinda kwa kutumia mabavu na nguvu zao zote na ndani yake wizi na rushwa za kutisha zinazoratibiwa na mfumo wa kidola hutamalaki kwa jina la "kupambana na ufisadi " ama "madawa ya kulevya!!"......rejea scandal ya Daudi Albert Bashite a. k. a Paul Makonda Kolomije
Kwani kuongea na wananchi ipo kwenye katiba?
 
Rais wa nchi anapaswa kuonesha upendo,amani na mshikamano,hivi huzaa uzalendo,baraka na mafanikio...Tatizo sizonje anajiekti mjeshi,anataka kuongoza kijeshi ili aonekane nimtu strong!! Sikuhizi uongozi katika ngazi kubwa hauko hivyo. Bora PM ndiyo awe mkali lkn prezd awe liberal kidogo.
Tunataka maendeleo yaliyoandamana na upendo,furaha na amani kamwe sio kutekana nyara,kufukuzana kazi hovyo,kutishiana nk.
Rwanda na Uganda siyo sehemu nzuri kuiga uongozi,wenzetu walimwagana damu na uongozi kupatikana kibabe...lets live and learn!!
Hiyo ni style yake hamuigi mtu
 
Angalia wenzetu kenya Raisi Kenyatta akifanya mazungumzo mubashara na wananchi wake na wananchi wanamuuliza maswali kuhusu miradi ya kijamii na kufahamu ni kipi serikali inafanya.

Kenya presidential delivery portal launch


Mpaka raha angalau inapunguza maneno maneno

Mbona baba yako nyumbani umuoji mubashara, acha mihemko ya kibwege. Kwaiyo kama kenya wana filwa na sisi tufilwe
 
Mbona baba yako nyumbani umuoji mubashara, acha mihemko ya kibwege. Kwaiyo kama kenya wana filwa na sisi tufilwe
Unaweza kuliwa kiboga mwanaume kamili, hapana nimegundua wewe ni shoga mzoefu tu, mamako. Mambo ya kuliwa kiboga peleka nyumban kwenu huko, mbaff kabisa.
 
Mamaaa weeee yaani ukae na nani karibu?ataamrisha ukamatwe kwa kuwa unauliza mambo to that extent
 
Siku akitoa nafasi hiyo, na wauliza maswali wasiwe hand-picked, nina wasiwasi nusu yao watalala mahabusu siku hiyo, maana maswali atakayoulizwa atashindwa kuyajibu kisha kupandwa na hasira.
Sio mahabusu tu wengine watapotea kabisa
 
Haujawa utamaduni wa maraisi wetu toka Uhuru enzi ya Mwl Nyerere.

Wengi wanakuja kuhojiwa na wanainchi wa waandishi wakishatoka madarakani.

Nimeiona huyo kwa Mwl Nyerere,Mzee Mwinyi,Mkapa

Dr Kikwete aliwahi kuulizwa Mara moja na wahariri na wanainchi lakini ilikuwa tafrani na hakurudia tena.

Dr Magufuli tumeona Mara moja na wahariri
 
Watu watatekwa hovyo hovyo, wengine wakawekwa vizuizini pasipo kufikishwa mahakamani. Kwa ukosefu wa busara pale ikulu Jambo hili si la kuombea.
 
Una watu wa kumhoji ama utawaagiza kutoka nje ya nchi? Tanzania tuna waandishi? Hata ma talk show wetu ni bure kabisa. Magufuli anajua kabisa hana wana habari wa maana. Wewe utamweka rais kiti moto na kina Mayalla? Hata wana habari wetu walioajiliwa na vyombo vikubwa pia bure tu kina Kikeke na wenzake. Mtu unafanya kazi BBC unashindwa kupata muda wa kuja kumhoji rais wako wa nchi. Kenya, Uganda ndiyo wana wanahabari ndiyo maana utawaona hata wapo BBC world service, Voice of America. Wa kwetu wanawaweka katika vipindi vya udaku maana wanajua ndivyo vinalingana na sisi.

Angalia Alan Kasuja wa BBC world service, Shaka SSali wa Voa walinganishe na kina Mayalla ama Kikeke.

Kazi tunayo kubwa kuwafikia wakenya.
... Kwani kumuhoji rais wako mpaka uwe mwandishi??
 
Back
Top Bottom