johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
wadau.
najaribu kutafakari lakini majibu yanakuwa haba kuhusu janga kubwa linaloendelea Tanznaia kwa sasa: mafuriko katika jiji la Dar es salaam. kuna mambo mengi katika mafuriko haya hayakai vizuri akilini
wakat kukiiwa na taarifa za kukanganya juu ya idadi waliopoteza maisha, jambo kubwa linalojitokeza katika mafuriko ghayo ni ukosefu wa utayari kama taifa katika kukabiliana na majanga.
Ofisi ya waziri mkuu ndio waratibu wa majanga yanayotokea hapa nchini ambapo kila mwaka hupatiwa fungu kwa ajili ya utekelezaji wa kusudio la kuanzishwa kwake.
sasa waziri Mkuu Bw Mizengo Pinda kwanini afunge safari wakati huu kwenda Nyumbani kwao Mpanda wakati hali ikiwa tete mkoani dar es salaam na taarifa zikisema hali inaweza kuw ambaya pia katika mikoa mingine kama mbeya.
kuna ulazima kweli kwa mratibu mkuu wa shughuli za maafa kufunga safari kwenda kwenye sikukuu za X_mass na mwaka mpya katika wakati huu?
najaribu kutafakari lakini majibu yanakuwa haba kuhusu janga kubwa linaloendelea Tanznaia kwa sasa: mafuriko katika jiji la Dar es salaam. kuna mambo mengi katika mafuriko haya hayakai vizuri akilini
wakat kukiiwa na taarifa za kukanganya juu ya idadi waliopoteza maisha, jambo kubwa linalojitokeza katika mafuriko ghayo ni ukosefu wa utayari kama taifa katika kukabiliana na majanga.
Ofisi ya waziri mkuu ndio waratibu wa majanga yanayotokea hapa nchini ambapo kila mwaka hupatiwa fungu kwa ajili ya utekelezaji wa kusudio la kuanzishwa kwake.
sasa waziri Mkuu Bw Mizengo Pinda kwanini afunge safari wakati huu kwenda Nyumbani kwao Mpanda wakati hali ikiwa tete mkoani dar es salaam na taarifa zikisema hali inaweza kuw ambaya pia katika mikoa mingine kama mbeya.
kuna ulazima kweli kwa mratibu mkuu wa shughuli za maafa kufunga safari kwenda kwenye sikukuu za X_mass na mwaka mpya katika wakati huu?