Kwanini Mwl Nyerere aliwauzia Waingereza Mgodi wa Almasi wa Mwadui Shinyanga?


Historia nzuri. Ila nataka nikusahihishe kitu kidogo kwa nini mgodi wa Mwadui leo serikali ya Tanzania ina hisa 25% tu. Baada ya kuondoka Mr. Hunt na baadaye kuja wazelendo akina Rwakatare, halafu Mr. Manning, halafu Mr. Materu (? sikumbuki vizuri jina) mgodi ulizidi kudorora polepole. Mashine zilizidi kuwa mbovu na za kizamani. Mashine zile zilikuwa zinashindwa kuchambua vizuri almasi. Wafanyakazi wengi sana waliokuwa na uzoefu wa hali ya walikimbia Mwadui. Wizi ukawa unaendelea mtindo mmoja na hata kile kiwanda cha kuchonga almasi pale Iringa kikafa na wafanyakazi wake kukimbilia Botswana.

Alipoingia Mkapa katika jitihada za kufufua uchumi aliamua kufufua mgodi wa Mwadui. Aliwaalika De Beers kufanya kazi hiyo pamoja na kuchagua Mkurugenzi Mwendeshaji. De Beers walikubali lakini waliiambia serikali itoe nusu ya gharama na wao wangetoa nusu vile vile kwani wote walikuwa wanamiliki 50%. Serikali ya Tanzania ilikuwa haina pesa na ikaomba De Beers watoe hizo pesa ila hisa zake zipungue kutoka 50% hadi 25% na za De Beers ziongezeke kutoka 50% hadi 75%. Na ndiyo hali ilivyo leo japokuwa De Beers wameuza hisa zao kwa Petra.
 
Historia nzuri. Ila nataka nikusahihishe kitu kidogo kwa nini mgodi wa Mwadui leo serikali ya Tanzania ina hisa 25% tu. Baada ya kuondoka Mr. Hunt na baadaye kuja wazelendo akina Rwakatare, halafu Mr. Manning, halafu Mr. Materu (? sikumbuki vizuri jina) mgodi ulizidi kudorora polepole. Mashine zilizidi kuwa mbovu na za kizamani. Mashine zile zilikuwa zinashindwa kuchambua vizuri almasi. Wafanyakazi wengi sana waliokuwa na uzoefu wa hali ya walikimbia Mwadui. Wizi ukawa unaendelea mtindo mmoja na hata kile kiwanda cha kuchonga almasi pale Iringa kikafa na wafanyakazi wake kukimbilia Botswana.

Alipoingia Mkapa katika jitihada za kufufua uchumi aliamua kufufua mgodi wa Mwadui. Aliwaalika De Beers kufanya kazi hiyo pamoja na kuchagua Mkurugenzi Mwendeshaji. De Beers walikubali lakini waliiambia serikali itoe nusu ya gharama na wao wangetoa nusu vile vile kwani wote walikuwa wanamiliki 50%. Serikali ya Tanzania ilikuwa haina pesa na ikaomba De Beers watoe hizo pesa ila hisa zake zipungue kutoka 50% hadi 25% na za De Beers ziongezeke kutoka 50% hadi 75%. Na ndiyo hali ilivyo leo japokuwa De Beers wameuza hisa zao kwa Petra.

Nikusahihishe kuwa ludi usome nilivyoeleza juu kuwa mpaka Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani mgodi wa WDL ulikuwa unamilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa asilimia 50% zikiwa ni hisa [share] za urithi toka kwenye serikali ya kikoloni ya Uingereza huku De-Beers kampuni kubwa duniani sekta ya madini ya Almas ikiwa na asilimia 50% ambazo zimepatikana kutokana na kifo cha marehemu DK Williamson mwaka 1958.Kwa kuwa familia ya DK Williamson haikuwa inajiusisha na shughuri a kuendesha huo mgodi zaidi akiwa ni yeye mwenyewe na kwa kuwa hakuwa na mke wala mtoto yoyote familia kwa kushirikina na Serikali ya kikoloni na kampuni ya De-beers walifika mwafaka kwa familia kuuza hisa zake huku Serikali ya Kikoloni ya Tanganyika ikichuku asilimia 50%.

Madai yako Mwalimu Jk Nyerere kuwauzia waingereza mgodi wa Mwadui naona UNAOTA! KVM futa usemi wako na uliza mengine!!naomba mheshimuni sana busara za mzee yule,amewatunzia na kuwaangaikia watanzania wa leo kwa mengi sana,angekuwa nyangau leo hii tungekuwa kama Congo, nimeonyesha jinsi gani DK Williamson mwenyewe alivyosumbuana na wakubwa wa biashara za madini aina ya Almas sembuse Mwalimu.Unajua jisni walivyombana kwenye masharti ya IMF na yeye kukosa njia ya kutokea na kwa busara akaona awezi kula matapishi yake au awezi kugeuka jiwe kukubaliana na wakubwa huku macho yao yakiwa kwenye madini hayo pamoja na vito vingine.

Asilimia 25% mlizobakinazo zilipatikana miaka ya 1994 mida michache karibu Mwalimu anaaga duniani zilikuja kwa mbinde kiasi kuwa madhara yake kuna watu wamekosa vitu vikubwa kwenye maisha yao hapa duniani wakiwa na imani kuwa kuna siku wangevipata kwa kuwa walikuwa na uwezo huo,lakini kwa kumchukiza Mwalimu na chuki ya mwalimu ya wazi wazi dhidi yao baada ya kuchezea sekta hiyo ya madini walimkasirisha kiasi kuwa ALIAPA HATA AWASAMEE!!!na kweli sumu yake hiyo wengi wameiona na wanendelea kupambana na nature ikiwaadhibu,akiwa kama LANGO LA WATANZANIA.

Mzee yule amepitia wakati mgumu sana kukubalina na masharti ya IMF ambayo hakuyataka kama ambavyo DK Williamson alikua anapingana na DE_BEERS pamoja na DIAMONDS CENTRAL ORGANIZATIONS.

Ongea yote ili TAIFA linufaike na MADINI yake lapaswa kuwa kitengo cha madini maalumu chenye watu wenye akili za biashara ya madini, sheria, fedha wa hali ya juu [Very Intellegent and Brave] wenye vipawa maalumu watakao ishi na kutiunzwa na serikali katika kiwango ambacho hawatkuwa na hofu ya maisha na wajibu wao uwe mmoja kuahakiksha kuwa TAIFA linafanikiwa na kunufaisha umma vyovyote vile.Assurance ya watu hao maalumu watakaokuwa na jicho la Serikali kwa kuakikishiwa maisha mazuri mpaka kifo utatuokoa toka kwenye michezo migumu ya kiduni juu ya ZAWADI HIYO KUBWA TOKA KWA MUNGU KWA WATANZANIA.

Kama tunawalinda Marais na kuwatunza na wakuu wengine mpaka kifo basi ndivyo hivyo wale watakao pewa nafasi ya maaalum za kusimamia nature resource muhimu yakiwemo madini waakikishiwe maisha bora na ulinzi mpaka kifo, hapo ndio tutaona faida hiyo ya nature resource hizo vinginevyo,itakuwa kila anaekuja wakubwa wanamuweka sawa kinachofuata kilio cha watanzania.Waliokuwa na moyo wa kukataa na kusimamia kile wanachokiamini kuhusu almsi walikuwa ni DK Williamson na Mwalimu Nyerere.Tena Nyerere kwangu aliumiza kichwa sana kwa kuwa yeye alienda mbali sana toka kwenye kulinda Almasi mpaka aina zingine za madini kama dhahabu,Tanzanite, na mengineyo.

BIASHARA YA MADINI NI GAME ZITO,!!!!SIO LELEMA!!! HATA RAIS WA NCHI YOYOTE AWEZA KUWA MATATIZONI WAKUBWA HAO WAKIAMUA,PINDI AKIWAGOMEA, YATAKIWA UZALENDO WA HALI YA JUU KAMA WA MWALIMU.
 
Nikusahihishe kuwa ludi usome nilivyoeleza juu kuwa mpaka Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani mgodi wa WDL ulikuwa unamilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa asilimia 50% zikiwa ni hisa [share] za urithi toka kwenye serikali ya kikoloni ya Uingereza huku De-Beers kampuni kubwa duniani sekta ya madini ya Almas ikiwa na asilimia 50% ambazo zimepatikana kutokana na kifo cha marehemu DK Williamson mwaka 1958.Kwa kuwa familia ya DK Williamson haikuwa inajiusisha na shughuri a kuendesha huo mgodi zaidi akiwa ni yeye mwenyewe na kwa kuwa hakuwa na mke wala mtoto yoyote familia kwa kushirikina na Serikali ya kikoloni na kampuni ya De-beers walifika mwafaka kwa familia kuuza hisa zake huku Serikali ya Kikoloni ya Tanganyika ikichuku asilimia 50%.

Madai yako Mwalimu Jk Nyerere kuwauzia waingereza mgodi wa Mwadui naona UNAOTA! KVM futa usemi wako na uliza mengine!!naomba mheshimuni sana busara za mzee yule,amewatunzia na kuwaangaikia watanzania wa leo kwa mengi sana,angekuwa nyangau leo hii tungekuwa kama Congo, nimeonyesha jinsi gani DK Williamson mwenyewe alivyosumbuana na wakubwa wa biashara za madini aina ya Almas sembuse Mwalimu.Unajua jisni walivyombana kwenye masharti ya IFM na yeye kukosa njia ya kutokea na kwa busara akaona awezi kula matapishi yake au awezi kugeuka jiwe kukubaliana na wakubwa huku macho yao yakiwa kwenye madini hayo pamoja na vito vingine.

Asilimia 25% mlizobakinazo zilipatikana miaka ya 1994 mida michache karibu Mwalimu anaaga duniani zilikuja kwa mbinde kiasi kuwa madhara yake kuna watu wamekosa vitu vikubwa kwenye maisha yao hapa duniani wakiwa na imani kuwa kuna siku wangevipata kwa kuwa walikuwa na uwezo huo,lakini kwa kumchukiza Mwalimu na chuki ya mwalimu ya wazi wazi dhidi yao baada ya kuchezea sekta hiyo ya madini walimkasirisha kiasi kuwa ALIAPA HATA AWASAMEE!!!na kweli sumu yake hiyo wengi wameiona na wanendelea kupambana na nature ikiwaadhibu,akiwa kama LANGO LA WATANZANIA.

Mzee yule amepitia wakati mgumu sana kukubalina na masharti ya IMF ambayo hakuyataka kama ambavyo DK Williamson alikua anapingana na DE_BEERS pamoja na DIAMONDS CENTRAL ORGANIZATIONS.

Ongea yote ili TAIFA linufaike na MADINI yake lapaswa kuwa kitengo cha madini maalumu chenye watu wenye akili za biashara ya madini, sheria, fedha wa hali ya juu [Very Intellegent and Brave] wenye vipawa maalumu watakao ishi na kutiunzwa na serikali katika kiwango ambacho hawatkuwa na hofu ya maisha na wajibu wao uwe mmoja kuahakiksha kuwa TAIFA linafanikiwa na kunufaisha umma vyovyote vile.Assurance ya watu hao maalumu watakaokuwa na jicho la Serikali kwa kuakikishiwa maisha mazuri mpaka kifo utatuokoa toka kwenye michezo migumu ya kiduni juu ya ZAWADI HIYO KUBWA TOKA KWA MUNGU KWA WATANZANIA.

Kama tunawalinda Marais na kuwatunza na wakuu wengine mpaka kifo basi ndivyo hivyo wale watakao pewa nafasi ya maaalum za kusimamia nature resource muhimu yakiwemo madini waakikishiwe maisha bora na ulinzi mpaka kifo, hapo ndio tutaona faida hiyo ya nature resource hizo vinginevyo,itakuwa kila anaekuja wakubwa wanamuweka sawa kinachofuata kilio cha watanzania.Waliokuwa na moyo wa kukataa na kusimamia kile wanachokiamini kuhusu almsi walikuwa ni DK Williamson na Mwalimu Nyerere.Tena Nyerere kwangu aliumiza kichwa sana kwa kuwa yeye alienda mbali sana toka kwenye kulinda Almasi mpaka aina zingine za madini kama dhahabu,Tanzanite, na mengineyo.

BIASHARA YA MADINI NI GAME ZITO,!!!!SIO LELEMA!!! HATA RAIS WA NCHI YOYOTE AWEZA KUWA MATATIZONI WAKUBWA HAO WAKIAMUA,PINDI AKIWAGOMEA, YATAKIWA UZALENDO WA HALI YA JUU KAMA WA MWALIMU.


Nashangaa kuwa umeshindwa kuelewa niliyoandika. Imebidi nirudie kusoma kama kuna mahali nilisema Nyerere aliwauzia Waingereza mgodi. Sipaoni.

Namheshimu Nyerer kwa mambo mengi. Lakini Kuhusu muono wake kuhusu madini, uchumi, n.k. mimi sikubaliani naye moja kwa moja. Pamoja na kuwa yeye alikuwa binadamu kama walivyo wengine bado alikuwa na nafasi ya kufanya vizuri zaidi. Kwa hiyo Nyerere alikuwa na mapungufu yake, hasa kwenye maswala ya uchumi.
 
Nashangaa kuwa umeshindwa kuelewa niliyoandika. Imebidi nirudie kusoma kama kuna mahali nilisema Nyerere aliwauzia Waingereza mgodi. Sipaoni.

Namheshimu Nyerer kwa mambo mengi. Lakini Kuhusu muono wake kuhusu madini, uchumi, n.k. mimi sikubaliani naye moja kwa moja. Pamoja na kuwa yeye alikuwa binadamu kama walivyo wengine bado alikuwa na nafasi ya kufanya vizuri zaidi. Kwa hiyo Nyerere alikuwa na mapungufu yake, hasa kwenye maswala ya uchumi.

Sekta ya madini na mafuta Duniani hiko hivi,

1: Kuna makampuni makubwa duniani yana nguvu kubwa sana kama DE_BEERS na mengineyo yana uwezo mkubwa mno mfano uwezo wa kampuni ya DE-BEERS ni serikali kadha wa kadha za Africa,Kwa kuwa wao wanadeal na Biashara kwa hilo tu na wana uzoefu wa kudeal na serikali nyingi sana duniani,Serikali wanazodeal nazo zinadeal sio tu na madini hayo pia zinadeal na binadamu pia hivyo kuwa na mipango na shughuri nyingi zaidi kulinganisha na makampuni hayo.

Wakati makampuni hayo yanaajili wataalamu wazuri duniani kutoka kwenye vyuo bora duniani na hivyo wataalmu hao kuwa na uhakika wa maisha yao na familia zao hivyo kutumika vyema kuyatumikia makampuni hayo uku wakiviuna sifa za kisomi kwa kuwa na ufanisi na mafaniko kama CEO,CFO nk. Je serikali zetu za Africa ndivyo zinavyofanya kwa wataalumu wake muhimu wanao deal na migodi au mali ya asili za Taifa kwa niaba ya umma.

Kama ungebahatika kuishi Mwadui Mine ungejua nazungumza nini linapokuja swala la maisha bora kwa wasimamizi na wafanyakazi wa sekta ya Madini.Ili wasilubunike na kuuuza mali za asili kwa kulubuniwa na wageni.DK Williasmosn alilijua hilo hivyo akatumia pesa nyingi kuinvest kwenye Mgodi huo na kuwapa maisha ya hali ya juu sana na ya aina yake, wafanyakazi wa mgodi wake huo.Lengo likiwa ni kuweka hali ya utendaji wenye tija na kuondoa hofu ya Wafanyakazi kuingia kwenye matatizo ya tamaa.

Makampuni ya makubwa ya Madini duniani uchukua dhamana ya kuwatunza wafanyakzi wao katika kiwango kikubwa sana na hata kuwasomesha watoto wa wafanyakazi hao katika shule na vyuo bora sana duniani,na hivyo kuwapa pia nafasi za kuajiliwa ndani ya makampuni hayo kama wazazi wao walivyofanya kazi kwenye makampuni hayo.

Mwalimu Nyerere hakukosea, tena alijitahidi sana kupata baadhji ya wasomi [Engineers wazalendo] waliojitolea kufanya mazuri kwa Taifa wakishirikina nae,lakini baada ya yeye kutoka madarakani baada ya kibano cha IMF alikosa watu wenye moyo wa dhati na hasa wanasiasa,kwa kuwa wanachofanya wakubwa wale nikukubana ufanye makosa.Watapandisha vipuri vya vinu vya kuchambulia watakunyima mtaji kwa kukupa masharti kibao kosa ukikwama basi uamue kukataa usichimbe kama alivyofanya Mwalimu au uingie masharti yao upate fedha ya kuwalisha watu wako.
 
Ndugu inaonekana historia ya Tz huifahamu.Kukumbusha tu, Tanganyika ilipata Uhuru wake 1961 na kua Jamhuri 1962.Mwalimu Nyerere ndie Waziri mkuu na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika.1940 Tanzania ilikua koloni na Nyerere was no body.
Heading yako tu INAKERA. Inawezekana unachokisema ndani kina ukweli lkn HEADING umechemsha, mwache Mwl apumzike.
Location
6px-Red_pog.svg.png
Williamson diamond mine​




Location in Tanzania
17px-WMA_button2b.png
03°31′S 033°36′E / 3.51667°S 33.6°E / -3.51667; 33.6Coordinates:
17px-WMA_button2b.png
Click the blue globe to open an interactive map.​
03°31′S 033°36′E / 3.51667°S 33.6°E / -3.51667; 33.6
CountryTanzania
Owner
CompanyPetra Diamonds (75%)
Government of Tanzania (25%)
Production
ProductsDiamonds (300,000 carats per annum)
History
Opened1940
The Williamson Diamond Mine (also known as the Mwadui mine) is a diamond mine south of Mwanza in Tanzania; it became well known as the first significant diamond mine outside of South Africa. The mine was established in 1940 by Dr. John Williamson, a Canadian geologist,[SUP][1][/SUP] and has been continuous operation since then, making it one of the oldest continuously operating diamond mines in the world. Over its lifetime it has produced over 19 million carats (3,800 kg) of diamonds. The Williamson mine, once owned by its namesake Dr. Williamson and later nationalized by the government of Tanzania, is now majority owned by Petra Diamonds (75% ownership), with the government of Tanzania owning the remaining 25%..

Wanabodi.

Kulikuwa na umuhimu gani Mwl Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania kuwauzia Waingereza Mgodi wetu wa Almasi kule Mwadui Shinyanga. Inasemakekana kwa sasa hivi serikali ya Tanzania hawapati chochote kwenye huo mgodi wa Almasi Mwadui Shinyanga.

Kumbe hii tabia ya kuuza mali za Watanzania zimeanza miaka mingi sana. cha kusikitisha wabunge wetu na wanaharakati wetu ili suala wamelikalia kimya wameshindwa hata kuhoji.

[/QUOTE]
 
Sekta ya madini na mafuta Duniani hiko hivi,

1: Kuna makampuni makubwa duniani yana nguvu kubwa sana kama DE_BEERS uwezo wa DE-BEERS ni serikali kadha wa kadha za Africa,Kwa kuwa wao wanadeal na Biashara hiyo tu na wana uzoefu wa kudeal na serikali nyingi sana duniani,Serikali wanazodeal nazo zinadeal sio tu na madini hayo pia zinadeal na binadamu pia hivyo kuwa na mipango na shughuri nyingi zaidi kulinganisha na makampuni hayo.

Wakati makampuni hayo yanaajili wataalamu wazuri duniani kutoka kwenye vyuo bora duniani na hivyo wataalmu hao kuwa na uhakika wa maisha yao na familia zao. Je serikali zetu za Africa ndivyo zinavyofanya kwa wataalumu wake muhimu wanao deal na migodi au mali ya asili.

Kama ungebahatika kuishi Mwadui Mine ungejua nazungumza nini linapokuja swala la maisha bora kwa wasimamizi na wafanyakazi wa sekta ya Madini.Ili wasilubunike na kuuuza mali za asili kwa kulubuniwa na wageni.

Hakukosea bali alikosa watu wenye moyo wa dhati,kwa kuwa wanachofanya wakubwa wale nikukubana ufanye makosa.Watapandisha vipuri vya vinu vya kuchambulia watakunyima mtaji kwa kukupa masharti kibao kosa ukikwama basi uamue kukataa usichimbe kama alivyofanya Mwalimu au uingie masharti yao upate fedha ya kuwalisha watu wako.

Nami naelewa nguvu ambazo makampuni makubwa kama De Beers wanazo kwenye swala la almasi. Utakumbuka kuwa ni De Beers wamekuwa wakikwaruzana na Marekani hadi miaka ya karibuni kuhusu swala hilo hilo.

Nikirudia tena Mwadui ni kuwa huo mgodi ulitaifishwa mwaka 1971. Hicho ndicho kilichofanya uongozi wa mgodi uchukuliwe na wazalendo muda si mrefu baada ya hapo (soma hapa - History).

Kuwa na hisa nyingi kwenye migodi siyo dhambi. Dhambi inakuja pale ambapo uendeshaji wa hiyo migodi ni wa kifisadi kama tuonavyo sasa. Ikumbukwe kuwa Botswana na Namibia wamenufaika sana na almasi lakini muundo wa uendeshaji na mambo ya hisa waliyafuata ya Tanzania. Kampuni ya madini ya Botswana inaitwa DEBSWANA (De Beers + Botswana ) na ile ya namibia inaitwa NamDeb (Namibia + De Beers).

Wakati mgodi wa Mwadui ukiendeshwa na De Beers mambo yalikuwa mazuri sana sana. Wafanyakazi walikuwa wanajivunia kufanya kazi Mwadui. Ule mgodi ulikuwa kama vile upo nchi tofauti, siyo Tanzania. Najua ninayoyasema kwani miaka ya 70 niliishi huko kwa miaka miwili na nimebahatika vile vile kuishi Botswana.
 
Kwa nini Mwalimu Nyerere wakati wa Azimio la Arusha wasingeuchukuwa huo mgodi na kama ilikuwa gharama kuuendesha angeufunga mpaka pale Watanzania wangekuwa tayari kuliko kuwaachia wazungu wakiendelea kuchimba bila kulipa kodi.
 
Kwa nini Mwalimu Nyerere wakati wa Azimio la Arusha wasingeuchukuwa huo mgodi na kama ilikuwa gharama kuuendesha angeufunga mpaka pale Watanzania wangekuwa tayari kuliko kuwaachia wazungu wakiendelea kuchimba bila kulipa kodi.
Umeshaambiwa mgodi ulitaifishwa 1971. Unataka nini tena?
 
Now i know in Arabic nationalize means privatize, tatizo umezoea kusoma yale maminyoo ya kiarabu yanayoanzia kulia kwenda kushoto, yaani from right to wrong. kutaifisha imekuwa kuuza wewe mama?
 
Bahati alitoka madarakani kwa hiari angeendelea kun'gan'gania madaraka wangemulia mbali mungu nawaapieni watu walishamchoka watu humu JF Wanafiki sana Nyerere hakupendwa na Mtu yoyote Labda Kawawa na Kingunge Sozigwa butiku na wengine lakini Watu tulimchukia sana hatukumpenda acheni undumilakuwili huyu Mzee hakupendwa kabisa sababu ya Roho yake ilikuwa Mbaya Hasidi mkubwa Mbona Baraza lake la mawiziri wizara nyeti aliwaweka Wahindi Wizara ya Fedha Dr. Amir Jamal Leo wanae ndio wameliki wa J MAIL Pale Samora Wizara ya Nishati na Madini Alnoor Kassum Leo uliza leo familia yake wanamiliki Makampuni gani huko Canada lakini leo hii mbunge tu akiwa muasia watanzania wanapiga kelele Gabachori Kwani Mwalimu aliwapa wizara nyeti kama hakuwa Fisadi?

I believe you, because wewe ni 'mtu yeyote' and you said you didnt like him....trust me, I believe what you said about your feelings on Nyerere.
 
Nyerere angekuwa hai wa kwanza kumfungulia mashtaka ningekuwa mimi alitutesa saana huyu kuanzia Elimu katunyima kabisa elimu huyu katupotezea fursa nyingi kiuchumi leo Kenya kutuacha mbali ni makosa ya huyu mzee alituvalisha tairi za gari chai tukaweka peremende nyeupe badala ya sukari viwanda alijenga havikuzalisha hata siku mmoja watu tukaishia kuvaa kaniki wakati viwanda vya Textile alijenga vikafika vitano kuna kiwanda alijenga shinyanga mpaka leo hakijafunguliwa Tanzania meat pakers

Are you sure? Mbona naona unamsifia na kumlaumu kwa mbaali.
Unaposema angekuwa hai ungemshitaki, ina maana hajawahi kuwa hai?
Kama una machungu na ya kweli, je ni wangapi umewaburuza mahakamani mpaka sasa?
 
We Ritz ni muongo na zuzu kama hujui kitu ni bora you keep your mouth shut.

I was born and raised in Mwadui,Ninachofahamu ni kwamba wakati wa Mwalimu serikali ilikuwa na shares 51% na De-beers walikuwa na share 49%.Pia wakati huo serikali ilikuwa ikitegemea mapato yake makubwa kutoka Mwadui na hata vita vya kagera ni mgodi iligharimia sehemu kubwa achana na kwamba Matibabu yalikuwa bure with the best Hospital by then,Shule nzuri ,Barabara nzuri na hata ndege yake nakumbuka hata malaria kulikuwa hakuna Mwadui in fact kila kitu kilikuwa kizuri wakati huo.
Pia mgodi uliendeshwa na wazawa watanzania baada ya George Hunt kuondoka na GM kuwa Samwel Lwakatare na baadae William Manning na John Kiwia na hata viongozi wengi waliwahi kufanya kazi katika mgodi huu.

Kwa hiyo Ritz acha kupotosha kabisa, Mgodi umekuja uzwa baada ya Nyerere kuondoka madarakani.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Soma hapa chini kuhusu Mwadui Mine
TheWilliamson Diamonds Limited Mine (commonly Mwadui mine) is an open pit mine andis the largest Diamond operating mine in Tanzania. It is located at Mwadui areain Kishapu district, Shinyanga municipal - 30km north east of Shinyanga municipaltown, 2.6km Off Shinyanga - Mwanza road and 155km south east of Mwanza city. In1940 a Canadian mining geologist known as Dr. John Thoburn Williamsondiscovered Mwadui diamond mine after many years of explorations and in 1942 hefounded Williamson Diamonds Limited with himself as the sole shareholder,managing director and General Manager. After the death of Dr. Williamson in1959, Tanganyika Government and Willcroft Company took over the company jointeach holding 50% of shares. Due to its wide experience in mining industry,Willcroft, company was charged with managing the mine until 1973 when theGovernment took over that role and a Tanzanian team was appointed. During1980’s the mine suffered a lot due to sharp decline in production and had beenin loss making position since 1986. The decline in production was attributed todepletion of high-grade ore and the inability to maintain and replace worn outand obsolete equipments and machineries. In1993, Willcroft Company entered into negotiations with Government of Tanzaniaon how best to rescue the mine from imminent liquidation. Both parties reachedan agreement in October 1994 where by Willcroft through De beers of SouthAfrica raised its share holding to 75% by buying 25% of the Government’s sharesand also made available loan funds to pay creditors profitability like before.During 1995, the mine underwent a major capital rehabilitation programme; theproject entailed the construction of a new treatment plant. The construction ofnew treatment plant involved the installation of modern recovery equipments,security systems in the recovery house, the overhaul of mining machinery andpower generating equipments. The company carried out the work of upgrading andmodernizing the water treatment plant to ensure clean and safe drinking wateris available to Mwadui residents and part of his neighbors. For about 70 yearsWDL was one of major contributors to the country’s foreign exchange earnings.Up to 1989 the mine had produced some17.5 million carats worth several hundredmillion us dollars. In 2008 De – beers sold its 75% shares to British basedDiamonds Company; Petra Diamonds, which also bought mines owned by De – beersin South Africa.
 
Wewe ni mpuuzi na huna hoja inayoeleweka unatangatanga na hoja, mara ooh kwanini Nyerere aliuza mgodi wa mwadui lakini kuna jamaa akakuumbua kuwa mgodi ulianzishwa 1940, tena wakati huo Nyerere akiwa na miaka 18 na Tanganyika haijapata uhuru so it's irrelevant kabisa! sasa umeamua kugeukia kwenye hoja ya kwanini alipoingia madarakani hakutaifisha! tukuelewe hoja yako ni ipi kati ya kwanini aliuza(which is nonsense) au kwanini hakutaifisha? kwa suala la kutotaifisha sijui jibu utalipataje kutoka kwa marehemu ila nakushauri usiumize sana kichwa chako kujua maamuzi ya marehemu bali jaribu kuwauliza mwinyi na mkapa ambao wako hai ni kwanini nao hawakutaifisha au vizuri zaidi kumuuliza kikwete ambaye ndio rais wa sasa kwanini naye mpaka leo hajataifisha!? au hutoridhika mpaka marehemu afufuke akujibu!

Mkuu nafikili hujamtendea haki mleta hoja, kwa nini humsikilizi mpaka mwisho anataka kueleza nini - hawezi kuwa amekulupuka tu bila ya kufanya homework ya kutosha, oh just a second! Ukiangalia kwa makini mtiliko wa maswali/hoja zake ambazo ameziweka pointwise so to speak inaonekana wazi wazi kuna kitu alikuwa amekusudia kutueleza eventually lakini naona wengi wetu tunakosa uvumirivu na kuhamua kumjia juu and 4 what if I may ask? Hebu tujaribu ku-revisit hoja yake pointwise:

Number one:

Wanabodi.
Kulikuwa na umuhimu gani Mwl Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania kuwauzia Waingereza Mgodi wetu wa Almasi kule Mwadui Shinyanga. Inasemakekana kwa sasa hivi serikali ya Tanzania hawapati chochote kwenye huo mgodi wa Almasi Mwadui Shinyanga.

Kumbe hii tabia ya kuuza mali za Watanzania zimeanza miaka mingi sana. cha kusikitisha wabunge wetu na wanaharakati wetu ili suala wamelikalia kimya wameshindwa hata kuhoji.

Number two


Production


The Williamson diamond mine is now characterized by low ore grade of about 6 carats (1,200 mg) per hundred tons (12 mg/t) of ore. This is a dramatic decrease from its production in the mine's early life; during the first 25 years of operation, average ore grade was about 30 carats (6.0 g) per hundred tons (60 mg/t); in the first few years of full operation grades were as high as 62 carats (12 g) per hundred tons (124 mg/t), or 10 times the ore realized today. Production in the 1950s and 1960s was usually between 500,000 and 750,000 carats (100 and 150 kg) per year; the peak year of production was 1966, when 924,984 carats (185 kg) were produced. Today production levels for all Williamson mine diamond recovery activities is about 300,000 carats (60 kg) per year.
Notable stones produced at the Williamson mine include the 54.5 carats (10.9 g) Williamson pink diamond which was presented to then-Princess Elizabeth and Prince Philip upon their wedding in 1947,[1] and a 388 carats (78 g) diamond found in 1990.
Number three
History

The diamond industry of Tanzania in the 1930s was characterized by a scattering of very small mining operations that were insignificant in the economic makeup of the country. Dr. Williamson was hired by one of these operations, the Mabuki diamond mine, in 1938 and used it as his base for diamond prospecting in the region. In 1940 he discovered the Mwadui kimberlite pipe;[1] over the next several years he developed the mine, although he was hindered by difficulty in procuring equipment and raising funds due to World War II. By the 1950s he had developed the Williamson diamond mine into the first significant diamond mine in Tanzania, with state-of-the-art equipment and a labor force of several thousand. The mine was noted for numerous technical innovations in diamond mining which were developed under Williamson's watch. Williamson closely managed the mine until his death in 1958 at the age of 50.
Williamson's heirs sold the mine[1] for about £4 million GBP to an equal partnership between De Beers and the colonial government of Tanganyika on August 13, 1958. In 1971, a decade after Tanzania's independence, the government nationalized the mine. Although details are unknown, De Beers and other diamond industry players speculate that mine performance deteriorated significantly in the 1980s under government management. Suspected causes of this are a decrease in ore grade as the mine's richer deposits were worked out, loss of skilled foreign management and engineering staff, a bloated labor force resulting from government employment efforts, and inadequate capital investment in the mine's equipment. Perhaps as a result of this poor performance, Tanzania invited De Beers to purchase back into the mine, which the company decided to do. In 1994 De Beers bought 75% of the Williamson mine, with Tanzania retaining the remaining shares.
Since 1994, De Beers has acted to improve the performance of the Williamson diamond mine by trimming work force, making needed capital investments in equipment, and bringing in expertise in technology, technique, and exploration. Although the mine is still viewed as a marginal performer due to its low ore grade, De Beers has identified several possible avenues for development that would keep the mine operating well into the future.
Number Four
Tanzania

Petra agreed to acquire the
Williamson Mine in Tanzania in September 2008 from De Beers.[SUP][10][/SUP] The Williamson mine, which began production in 1940, has a reputation for the production of large, high value diamonds, with special stones (classified as larger than 10.8 carats (2.2 g)) produced regularly. The mine is also famed for its pink diamonds. In 1947, the mine's founder Dr. John Williamson presented Princess Elizabeth (later Elizabeth II) with a flawless 54-carat (11 g) pink diamond (the Williamson Pink Diamond) on her wedding day. The eventual 23.6-carat (4.7 g) cut diamond became the centre stone in the Williamson Diamond brooch and is supposedly the basis for the Pink Panther diamond in the film of the same name.
The Williamson Mine is currently thought to have a resource of 40,000,000 carats (8,000 kg) (995 million tonnes of kimberlite). It has a maximum mining depth of 205 metres and a very low stripping ratio. Energy and Minerals Minister William Ngeleja said Petra's entry is "an opportunity to breathe new life into Williamson Mine and Tanzania's diamond mining sector."

In short naona kama kuna namna fulani ya kutaka ku-derail mada kwa kutumbukiza mambo mengine tofauti kabisa, kwa nini ajibiwi swali lake au kutoa maelezo yenye mshiko, hapa tunabadilishana mawazo siyo kutuniana misuri, mleta mada not withstanding. Kwani tatizo hapa ni nini hasa, sura yake ambayo hiko a bit creepykuliko ya Dr. StrangeLove au FU MANCHU!!!
 

Kwa huyo wa hapo juu wakati mwingine hata yesu aliwachapa viboko walioingia kanisani kupiga soga!!!!!

Number one:
Wanabodi.
Kulikuwa na umuhimu gani Mwl Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania kuwauzia Waingereza Mgodi wetu wa Almasi kule Mwadui Shinyanga. Inasemakekana kwa sasa hivi serikali ya Tanzania hawapati chochote kwenye huo mgodi wa Almasi Mwadui Shinyanga.

Kumbe hii tabia ya kuuza mali za Watanzania zimeanza miaka mingi sana. cha kusikitisha wabunge wetu na wanaharakati wetu ili suala wamelikalia kimya wameshindwa hata kuhoji.

Hoja yako ya Kwanza
: Mwalimu Nyerere [R.I.P] Mwalimu hakuuza kwa waingereza mgodi wa WDL na mwalimu hajapata kuuza mali ya watanzania sekta ya madini na vito kwa mtu yoyote yule.Hivyo mleta mada alisahihishwa na tulio wengi humu na tukajikita sana kumpa historia ya uendeshaji toka ulivyopatikana mpaka ulipo fika tuliopofika.


Share zetu watanzania tumezipata toka kwenye urithi wa share za hao hao anaosema tumewauzia,baada ya kupta share hizo tuliopoata uhuru wetu 1961.Share za serikali ya kikoloni ya Uingereza ilizopata baada ya kifo cha DK Williamson Mwaka 1958 zilikuwa ni 50% na huku kampuni kubwa ya kudeal na Almas ulimwenguni DE-Beers wakichukua asilimia 50% na wao wakiwa ni watendaji.Tulivyopata uhueru Mwalimu akaachiwa hizo asilimia 50% kama mali ya Serikali ya Watanganyika.Mpaka hapo nazani umeipata picha.

Uendeshaji wowote ulie duniani lazima kuwe na maafikainao na makubaliano!!!Hivyo baada ya kifo cha marehemu DK Williamson waendeshaji wa Mgodi huo katika kazi za kila siku kwa siku wakawa ni DE-Beers chini ya Bwana Mkubwa Harry Oppenheimer.Hawa jamaa DE-BEERS wameanza biashara ya ALMAS DUNIANI hata huyo Nyerere na baba yake mzazi hawajazaliwa chini ya uso wa dunia hii.Kwa hiyo kwa uzoefu wa maswala ya ALMAS duniani hawa jamaa ni magwaji na wanaijua biashara hiyo kuliko makampuni yoyote duniani kwenye sekta ya madaini ya vito.


Number two
Production

The Williamson diamond mine is now characterized by low ore grade of about 6 carats (1,200 mg) per hundred tons (12 mg/t) of ore. This is a dramatic decrease from its production in the mine's early life; during the first 25 years of operation, average ore grade was about 30 carats (6.0 g) per hundred tons (60 mg/t); in the first few years of full operation grades were as high as 62 carats (12 g) per hundred tons (124 mg/t), or 10 times the ore realized today. Production in the 1950s and 1960s was usually between 500,000 and 750,000 carats (100 and 150 kg) per year; the peak year of production was 1966, when 924,984 carats (185 kg) were produced. Today production levels for all Williamson mine diamond recovery activities is about 300,000 carats (60 kg) per year.
Notable stones produced at the Williamson mine include the 54.5 carats (10.9 g) Williamson pink diamond which was presented to then-Princess Elizabeth and Prince Philip upon their wedding in 1947,[1] and a 388 carats (78 g) diamond found in 1990.
Hoja Number two: Hii ya Production kupanda na kushuka ili ni game.Ukweli halisi wa PRODUCTION huko site kwenye field.
Kuna mengi sana kwenye biashara nzima ya madini na hasa yale ya vito kama ALMAS, TANZANITE, RUBY nk.Ukweli halsi wa Production kupanda ama kushuka utegemea na interest za mwekezaji na wakati mwingine hata interest za Serikali yako kwa nia ya kuweka mambo sawa kwa faida ya watoto wako wewe na wanangu mimi kesho.Haya ya Kiserikali yanabaki kuwa ni kwa faida yangu na yako kama ikitokea Srikali ikawa na watu makini wenye kujua kucheza na hawa investors hasa inapogundua uchimbaji wao na matendo yao kwenye uzalishahi ni unfair na njia ya kuwatoa kwenye channel kwa usahihi usiopindika na kuwakaanga kwa takwimu zitakazo watoa wenyewe bila ya matatizo.

Hivyo swala la kupanda au kushuka kwenye Production pia mwekezaji anaweza kuanzisha mtafaruku kwa kumanipulate data za geology field akaanzisha timbwili kwenye ofiisi za Serikali kuwa anataka kuondoka kwa kuwa Production imeshuka na hivyo anatengeneza hasara vinginevyo TAX kadha na kadha zitolewe ili aweza kucover gharama nzito za uendeshaji.

Mkiingia mkenge kumbe yeye ana option mbili 1: Kupunguziwa Tax ili atengeneze pato kubwa au 2: Mkimpinga na kumwambia aondoke upande wa pili anakampuni Tanzu nyingine Nje anaituma kuja kuomba upya na kwa kuwa ni mgeni mnapa Tax re leaf anakula bwelele kisha akitosheka anaanzisha tena mchezo ule ule wa kaka yake na majomba wake.Hizo ndizo game!!!Ndio maana wengine tunasema eneo hili linatakiwa kuwa na vichwa vyenye trick, akili nyingi na uzoefu wenye kujua michezo ya mashirikia na makampuni makubwa ya madini yenye miongo mingi sana ya biashara kulinganisha na Taifa lenye umri wa mika 50 wakati makampuni kama DE-BEERS lina umri karibu miaka 130.



Number three
History
The diamond industry of Tanzania in the 1930s was characterized by a scattering of very small mining operations that were insignificant in the economic makeup of the country. Dr. Williamson was hired by one of these operations, the Mabuki diamond mine, in 1938 and used it as his base for diamond prospecting in the region. In 1940 he discovered the Mwadui kimberlite pipe;[1] over the next several years he developed the mine, although he was hindered by difficulty in procuring equipment and raising funds due to World War II. By the 1950s he had developed the Williamson diamond mine into the first significant diamond mine in Tanzania, with state-of-the-art equipment and a labor force of several thousand. The mine was noted for numerous technical innovations in diamond mining which were developed under Williamson's watch. Williamson closely managed the mine until his death in 1958 at the age of 50.
Williamson's heirs sold the mine[1] for about £4 million GBP to an equal partnership between De Beers and the colonial government of Tanganyika on August 13, 1958. In 1971, a decade after Tanzania's independence, the government nationalized the mine. Although details are unknown, De Beers and other diamond industry players speculate that mine performance deteriorated significantly in the 1980s under government management. Suspected causes of this are a decrease in ore grade as the mine's richer deposits were worked out, loss of skilled foreign management and engineering staff, a bloated labor force resulting from government employment efforts, and inadequate capital investment in the mine's equipment. Perhaps as a result of this poor performance, Tanzania invited De Beers to purchase back into the mine, which the company decided to do. In 1994 De Beers bought 75% of the Williamson mine, with Tanzania retaining the remaining shares.
Since 1994, De Beers has acted to improve the performance of the Williamson diamond mine by trimming work force, making needed capital investments in equipment, and bringing in expertise in technology, technique, and exploration. Although the mine is still viewed as a marginal performer due to its low ore grade, De Beers has identified several possible avenues for development that would keep the mine operating well into the future.


Hoja Number Tatu: Hizi nyingine hapa ndio zile zile siasa na michezo ya biashara nzima kutegemea mtoa habari anataka nini!!Kama ile taarifa ya Tanzania kuwa ilinationalize mgodi wa Williamoson kwangu binafsi kwa ufahamu wangu mdogo niliopata kuhusu mgodi huo,sikupata kusikia kama mgodi huo ulikuwa NATIONALIZED bali kwa ufahamu wangu ni kuwa toka kifo cha DK Williamson Serikali ya Tanganyika ilichukua share za asilia 50% na DE-BEERS asilimia 50% pia.Hivyo makubaliano naiweka hii katika logic kuwa utaona baada ya DE-BEERS kupewa uendeshaji mwaka 1958 aliyekuwa Mkurugenzi wa bodi bwana Harry Oppenheimer alikaa na mgodi huo wa WDL kwa miaka 15 mpaka alipomkabidhi kitic ha ukurugenzi wa bodi bwana Apiyo mwaka 1971.Hivyo dhana ya kunationalize sio kweli bali nachokiona ni mwelekeo ule ule kwa kuwa share zilikuwa nusu kwa nusu hivyo kwa mtu yoyote yule mwenye akili timamu na anaejua nini anafanya kwangu naona kama Mwalimu alitumia nafais hiyo pia kuwaambia nao wakae pembeni wakiwa na asilimia zao 50% washuhudie Watanzania nao wakiendesha kampuni hiyo.

Mfano wake ulio hai kwa sasa ni BENKI YA NMB kwa sasa management ya juu akiwemo manager ni watanzani,lakini uwepo wa watanzania hao auondoi share za kampuni ya ABSA ndani ya NMB,japo managing Director ni Mswahiri.

Na ni kipindi hiki pia TAifa lilikuwa kwenye misuko suko na vita Uganda,na kutokana na simulizi za watu wazima wenye uelewa R.I.P baadhi yao.Kwa kiwango kikubwa MGODI ule ulisaidia sana kufanikisha kuwa Nchi inapigana bila masaada toka kwa TAIFA lolote kitu ambacho ni RECORD ambayo kwa walio makini wanajua maana yake.Hivyo kusema ulitifishwa ama kuuzwa kwangu mimi naona ni maneno na ndio maana baadhi ya waandishi lipokuja swala mgodi kuwa ulikuwa nationalize taarifa zake hazipo.Kila zama na nyakati zake, na yake yaliyokuwa kama siri miaka hiyo leo mengine yanaibuka kama hivi,na jinsi ya kujielimisha sisi wenyewe ni kupitia majadiliano ya kuunganisha dot za wanajf na hivyo kwa dot hizo at least tunaweza kupata picha.

Mgodi wa Mwadui ulichukua nafasi kubwa sana kwenye vita ya Uganda kiasi kuwa hata yeye si ajabu uenda alitengeneza hata mipango ya kuhujumu mgodi huo.Mbali ya hayo Mwalimu kaingia ofisini Mwaka 1961,haya kaja kakuta makarabrasha ya mgodi yani mikataba.hawezi kuvunja ovyo ovyo ila ni kukaa a wahusika na kuangalia mtaendeshaji mambo.Waliokuwa waendeshaji wa mgodi pia ikubukwe walikuwa wanatoka South AFRICA!! na zama hizo VITA ya ukombozi Rhodesia na South Africa ndio ilikuwa imepamba moto.Je kibiashara ikaeje hii!!!


Number Four

Tanzania
Petra agreed to acquire the
Williamson Mine in Tanzania in September 2008 from De Beers.[SUP][10][/SUP] The Williamson mine, which began production in 1940, has a reputation for the production of large, high value diamonds, with special stones (classified as larger than 10.8 carats (2.2 g)) produced regularly. The mine is also famed for its pink diamonds. In 1947, the mine's founder Dr. John Williamson presented Princess Elizabeth (later Elizabeth II) with a flawless 54-carat (11 g) pink diamond (the Williamson Pink Diamond) on her wedding day. The eventual 23.6-carat (4.7 g) cut diamond became the centre stone in the Williamson Diamond brooch and is supposedly the basis for the Pink Panther diamond in the film of the same name.
The Williamson Mine is currently thought to have a resource of 40,000,000 carats (8,000 kg) (995 million tonnes of kimberlite). It has a maximum mining depth of 205 metres and a very low stripping ratio. Energy and Minerals Minister William Ngeleja said Petra's entry is "an opportunity to breathe new life into Williamson Mine and Tanzania's diamond mining sector."


Hoja ya Nne: Tushasema sekta hii ya madini ni GAMES kati ya makampuni makubwa yanayodeal na biashara ya MADINI dhidi ya Serikali yenye ardhi ya Taifa yenye madini husika, ambayo kampuni hiyo inayahitaji.

Swala la hawa PETRA kuchukua nafasi ya kuchimba madini ya Almas, ni sehemu ya baishara ni kwa upande wetu ni kutegemea na uhitaji wa TaIFA.

Mwalimu zama zake alipima akaona kuchimba madini meangine kama GOLD, TANZANITE na mengineyo katika miaka ile ya utawala wake aliona si sahihi,akaamua kubaki na migodi michache Mwadui ukiwa ndio mgodi mama na kuamua kupeleka vijana Ulaya, Canada na Amerika kwenda kusoma ili wapate upeo wa kuja kuchimba madini yawanufaishe watanzania wote kwa ujumla.

Hivyo busara zake ndizo zilizoendesha mipango ya kuwa na wasomi wenye elimu kubwa sana kwenye maswala ya madini.Uwezi kuamini leo hii kwenye sekta ya madini Tanzania inazalisha wajiolojia wazuri sana na pia kada zingine za ufundi mchundo wa hari ya juu kwenye migodi ya Tanzania.

Tatizo tulilonalo ni mfumo muhimu wa kulinda rasilimali za TAIFA kama mwalimu alivyofanya.PETRA wapo na wanaendelea na uchimbaji unaendelea lakini ungesikia kilicho nyuma ya pazia wakati mwingine inauma na kusema MUNGU yupo na atalipa!!!Wanasiasa wamechangia sana kuwavunja moyo wataalmu wetu wa sekta ya madini na wale wote waliok kwenye mifumo ya uendeshaji wa shughuri za rasilimalli nyeti za Taifa.

Tulipasa kujiuliza kati ya faida za uwepo wa kampuni yoyote ya uchimbaji kwenye sekta ya madini ya vito na kutoka nje kati ya kuchimba na kutochimba.!!!Kwangu mimi binafsi nilitamani biashara ya madini ya VITO [ALMASI na TANZANITE] umiliki wa migodi yake ungekuwa asilimia 100% kwa serikali na kuwapa maeneo madogo madogo watanzania kuendesha uchimbaji mdogo mdogo kando kando ya eneo mama.

Lakini kwa michezo ya faul za wadau wa sekta hii uenda TAIFA likapata Moses ambae atatimiza ndoto hii.Kwa Watanzania kumilki migodi hiyo ya vito asilimia 100% kwa gharama yoyote baadhi ya mambo kama elimu na afya yanaweza kupaaa kwa hali ya ajabu sana duniani.Lakiji kwa sasa mmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhh!!! USWIS!!!unabonya huku watoto wa shangazi yako na mabinamu wa dada zako na yule mama yako mdogo pale machafukoge wanajifia kwa magonjwa ambayo yangepata tiba wasingekufa,ila tuliyempa dhamana yeye na suti za dola 2000 na pound 1500!!!UKISHAJAZA jaza na USWIS then what next!!!Hilo ndilo kosa letu kwenye sekta ya madini,kuwa wakilubuniwa na kuona watapata kipatocha kuweza kujitunza wao na watoto wao mpaka wafe basi wanauza.Na kukosa vyombo vya kusimamia kwa umakini kwa jicho halisi basi ndio kabisa IMETOKA.

Kwa ujumla MADINI NA MIGODI yake kwa lugha ya kiswahili niseme ni PASUA kichwa!!!ni biashara yenye kipato kikubwa lakini pia ndiyo biashara yenye RISKI kubwa.Katika speech za Mwalimu zote nilizopata kusililza speech ambayo nimesikia Mwalimu anazungumzia baishara kwa namna ya kutamka kuuza na kununua kwa kudanganya yani utapeli ni speech ya kiihostoria ya Mbeya.Pale Mwalimu aliposema Waafrika ni watu wa ajabu sana anaweza kuja TAPERI akukuta wewe na ALMAS yako genuine kabisa lakin akakugilibu kwamba ni si alms na kwamba aliyonayo yeye ndio almas na uliyonayo wewe ni chupa!!!Kwanini Mwalimu alitumia maelezo yale TAFAKARI!!!!!!!!!! alsihapata uzoefu mwingi sana kupitia mgodi wa almas wa Mwadui na biashara zake hivyo alishakuwa na upeo wa nini kinaendelea kwenye biashara za aina hiyo, wakati mwingine zinataka matumizi ya akili nyingi, na hata ubabe,kiasi cha kuamua kuwa HATUCHIMBI ALMAS na mgodi unageuzwa kambi ya JESHI,eneo la almasi linawekwa chini ya usimamizi wa Serikali mpaka hapo Serikali itakapo pata mwekezaji atakaeleta biashara ya WIN WIN situation!!!!
 

Mkuu nafikili hujamtendea haki mleta hoja, kwa nini humsikilizi mpaka mwisho anataka kueleza nini - hawezi kuwa amekulupuka tu bila ya kufanya homework ya kutosha, oh just a second! Ukiangalia kwa makini mtiliko wa maswali/hoja zake ambazo ameziweka pointwise so to speak inaonekana wazi wazi kuna kitu alikuwa amekusudia kutueleza eventually lakini naona wengi wetu tunakosa uvumirivu na kuhamua kumjia juu and 4 what if I may ask? Hebu tujaribu ku-revisit hoja yake pointwise:

Number one:


Number two


Number three
Number Four


In short naona kama kuna namna fulani ya kutaka ku-derail mada kwa kutumbukiza mambo mengine tofauti kabisa, kwa nini ajibiwi swali lake au kutoa maelezo yenye mshiko, hapa tunabadilishana mawazo siyo kutuniana misuri, mleta mada not withstanding. Kwani tatizo hapa ni nini hasa, sura yake ambayo hiko a bit creepykuliko ya Dr. StrangeLove au FU MANCHU!!!


Mkuu wewe ni Great Thinker.
 
Wewe kauzu kweli jaribu basi kuficha upumbavu wako...naona unaleta porojo kwa hiyo baba yako naye alikuwa na hisa ngapi kwenye mgodi wa Mwadui?

Nimejiuzuru kuanzia leo sitachangia chochote ambacho hua unaandika humu, wote tutaonekana kama wapumbavu tu, jinsi unavyo defend hoja wa wapinzani wako kama hiyo hapo, nimeishiwa nguvu kabisa na wewe, kama na wewe una degree, basi hakika umedhalilisha sana Taaluma na wana Taaluma wa Bongo, narudia, leo mwisho, sitachangia chochote kutoka kwako Prince!
 
Nimejiuzuru kuanzia leo sitachangia chochote ambacho hua unaandika humu, wote tutaonekana kama wapumbavu tu, jinsi unavyo defend hoja wa wapinzani wako kama hiyo hapo, nimeishiwa nguvu kabisa na wewe, kama na wewe una degree, basi hakika umedhalilisha sana Taaluma na wana Taaluma wa Bongo, narudia, leo mwisho, sitachangia chochote kutoka kwako Prince!

Naona umekurupuka lakini kama ungemsoma niliyemjibu hayo wala usingenilaumu kwa jinsi alivyonitukana...kila la kheri mkuu hii ndio JF.
 
Jiuulize baada ya uhuru vitu vingi Nyerere alitaafisha kwa nini aliwaachia wazungu huu mgodi?

Swali zuri sana hili Ritz, mie sina uhakika sana ila jibu langu ni lakufikirika sana na ninadhani hakutaifisha huu mgodi kutokana na hatukuwa na wataalamu wazalendo wa kusimamia huu mgodi kipindi hicho hasa ukizingatia soko kuu la hii bidhaa ni huko huko ulaya tofauti na viwanda vingine ambavyo soko kubwa lilikuwa ni hapa hapa nyumbani pia vilikuwa havihitaji utaalamu wa ziada zaidi ya nguvu kazi ya kutosha.

Lakini according to BadiliTabia, inaelekea serikali inamilki 25% tofauti ya royalty ya 4% tunayopata sasa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom