jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari wakuu,
Ni mengi sana nimepitia japo nawaza sana hapa sipati majibu kabisa.
Hivi ni kwanini mwanamke ukimwambia unataka kumuoa awe mke wako ndiyo anakukataa kabisa na kukuona kama adui yake hivi.
Ni kwanini wapo hivi wakuu?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ni mengi sana nimepitia japo nawaza sana hapa sipati majibu kabisa.
Hivi ni kwanini mwanamke ukimwambia unataka kumuoa awe mke wako ndiyo anakukataa kabisa na kukuona kama adui yake hivi.
Ni kwanini wapo hivi wakuu?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app