EMANUEL JOHN JOHN
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 496
- 430
Ulevi ni unywaji ulio pitiliza.Mkuu wewe nina uhakika unakula chakula asubuhi, mchana, jioni.. unafikiri utafurahi tukikuita "mlafi" sio kila nywaji ni mlevi.
Ulevi ni unywaji ulio pitiliza.Mkuu wewe nina uhakika unakula chakula asubuhi, mchana, jioni.. unafikiri utafurahi tukikuita "mlafi" sio kila nywaji ni mlevi.
Kijana, in most instances, the word is used in the derogatory sense of the meaning of the word, otherwise, no one would feel offended/embarrassed by calling him a Mlevi!Huo ndo mtazamo wa wa walevi wengi kudhani kwamba neno mlevi ni tusi ila sio uhalisia ulivyo neno mlevi sio tusi
Mlevi ni kunywa kupitiliza.Kunywa sio dhambi,bali ulevi ndio dhambi.Ninavyojua mimi mtu yoyoyte anaekunywa pombe na akalewa huyu ni mlevi
... wewe ukiitwa mlafi simply unakula chakula utafurahia?Habar zenu wadau.
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli hii imekaaje wadau?
Kuna mlevi wa madaraka, Kuna walevi wa sifa.......nkHabar zenu wadau.
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli hii imekaaje wadau?
hayo unayasema wewe, ukivuka normal range ya matumizi ya binadamu na kuwa compromised behaviour, unakuwa addict ambayo society inayokuzunguka inaiona kama mwana mpotevu! unaelekea kupoteza acceptable social being na mtu akiitwa mlevi society inalenga huko ......Addict aliyekwambia ina maana ya ulevi ni nani??
Kama wewe ulivyo na bichwa kubwa kama boga .... Ni sifa ya kichwa Chako usikasirike.Huo ndo mtazamo wa wa walevi wengi kudhani kwamba neno mlevi ni tusi ila sio uhalisia ulivyo neno mlevi sio tusi
define ulafi kwanza?... wewe ukiitwa mlafi simply unakula chakula utafurahia?
Kwani kichwa Cha habari chasemaje yakheMalizia sentence yako bc kunywa nin sio kulewa?
Uwo ni mtazamo t wa jamii ila sio uhalisia kuna mdau alishaeleza uko juu kuwa ulevi sio sifa nzuri ktk jamii ndio maana watu wanakasirika ukiwaitaKijana, in most instances, the word is used in the derogatory sense of the meaning of the word, otherwise, no one would feel offended/embarrassed by calling him a Mlevi!
Ulevi sio dhambi, inategemea na imani yako ya dini au mila za utokako. Mbona kila leo watu almost walioko duniani wanalewa wote? Wanatenda dhambi? hapana, wanakunywa, wanalewa ila wanabai na akili , heshima na utu wao.bali ulevi ndio dhambi
Sidhan kama kuna mtu anakasirika kwa kumuita bichwa labda mtu umdhihaki kwa kwa ulemavu aliokua nao ndo anaweza kukasirika ila kama sio mlemavu wala hakasirikiKama wewe ulivyo na bichwa kubwa kama boga .... Ni sifa ya kichwa Chako usikasirike.
sasa mbona unakuja kwenye ninachokisema. let me put it in swahili: jamii ina mtazamo hasi na neno Mlevi/ulevi. Kuna watu wanakunywa lakini sio walevi!Uwo ni mtazamo t wa jamii ila sio uhalisia kuna mdau alishaeleza uko juu kuwa ulevi sio sifa nzuri ktk jamii ndio maana watu wanakasirika ukiwaita
Sasa kichomfanya mtu akasirike ni kitu gani wakat ndo uhalisia wake?Ulevi ni unywaji ulio pitiliza.
Ok me nazungumzia wale wanaolewa kwa nin ukiwaita walevi hukasirika?Kwani kichwa Cha habari chasemaje yakhe
Nimekusoma mkuusasa mbona unakuja kwenye ninachokisema. let me put it in swahili: jamii ina mtazamo hasi na neno Mlevi/ulevi. Kuna watu wanakunywa lakini sio walevi!
Ukimkuta mtu anakula ukimuita Mlafi pia anakasirika sana🤣🤣🤣🤣Habar zenu wadau,
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote, ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli, hii imekaaje wadau?
Ivi unajua maana ya ulafi? 😀Ukimkuta mtu anakula ukimuita Mlafi pia anakasirika sana🤣🤣🤣🤣
Ukimkuta anakunywa we mwambie Boss/tajiri naona unajipumzisha🤣🤣🤣
Habar zenu wadau,
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote, ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli, hii imekaaje wadau?