Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,488
- 2,622
nenda makao makuu umripoti
teh teh teh...unadhani mtu anaekopa 100M ni mtu 'mdogo' na kwamba hana connections?..tazama,kaishia 'kushtaki' kwa rafiki yake!
Tafakari kwa nini.
nenda makao makuu umripoti
Nia ya kuuliza ni kujua kama wafanyabiashara wengine wanafanya hivyo.
Manake wao kuomba hivyo inamaanisha wamezoea kufanya hivyo.
teh teh teh...unadhani mtu anaekopa 100M ni mtu 'mdogo' na kwamba hana connections?..tazama,kaishia 'kushtaki' kwa rafiki yake!
Tafakari kwa nini.