Wanajamvi, nijuavyo mimi, waziri wa Katiba na Sheria amekuwa akisaidiwa na Mwanasheria mkuu wa Serikali(AG) km Naibu wake.
Kulikuwa na ulazima gn wa kumteua Angela Kariuki kuwa naibu tena?
Au mchakato wa Katiba mpya ndio umefanya kuwe na hitaji jipya la naibu waziri?
Kulikuwa na ulazima gn wa kumteua Angela Kariuki kuwa naibu tena?
Au mchakato wa Katiba mpya ndio umefanya kuwe na hitaji jipya la naibu waziri?