Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Asilimia kubwa ya watoto wa kike hasa wenye wapenzi ukikutana nao na kukupa stroy zao ni kuumizwa na wapendanao why?
Tupe data za utafiti wako mkuu ili tuijadili hii mada!!Asilimia kubwa ya watoto wa kike hasa wenye wapenzi ukikutana nao na kukupa stroy zao ni kuumizwa na wapendanao why?
Asilimia kubwa ya watoto wa kike hasa wenye wapenzi ukikutana nao na kukupa stroy zao ni kuumizwa na wapendanao why?
Maumivu huwapata wote wanawake na wanaume.Mtoa mada anazungumzia maumivu kwa wanawake na nahisi yeye ni mwanaume aliyebahatika kusikia hadithi kutoka kwa wanawake.