Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
Vijana wake kwa waume wanauza utu wao kwa ajili ya chips mayai na kuku?
Hiki chakula kina kitu gani spesheli?
Hiki chakula kina kitu gani spesheli?
TB we nenda tuu maeneo maarufu kwa kuuza chips mayai au kuku na utawapata tuu. Au maeneo ya shule shule hizi ila ole wako usije ukakamatwa kwa kuwa fataki
Mbona hiyo misamiati kaka. Perfume tena. Ukishampata ndo unamnunulia hayo mazagazaga
Na buguruni mkuu sio uwanja wa fisi tuu. Hata wa pale buguruni ni mia tano au elfu mbili unapata huduma
<br />sasa hapo si kinyaa kitupu???????
<br />mkuu nimesema kuwaona tu..<br />
sio kuwapata..<br />
<br />
kama hata chipsi hawawezi nunua,je usafi wao wa mwili ukoje?<br />
wataweza nunua padi?shampoo ,perfume na kadhalika???
<br />
<br />
wadada wa chuo mbona wasafi kama kawa lakn wanabebwa na wauza chipsi? ni hulka ya m2 mkuu
<br />chips mayai zimefanya vijana legelege, mafuta legelege na ewura sijui legelege au ngangari, lol!