Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,278
- 2,040
Wadau naomba ufafanuzi.Wakati wa utawala wa awamu ya 5 kesi za uhujumu uchumi na ufisadi zilimalizwa kwa mtindo wa plea bargaing tu
Na mtindo huu uliwafanya wahujumu uchumi na mafisadi kutokufungwa licha ya kukiri kutenda kosa.
Najiuliza je plea bargaing ilianzishwa kwa makosa hayo mawili tu?Kwanini haikuhusisha makosa mengine au ndio sheria ya plea bargaining ilivyoundwa?
Sent from my sm-a145r using jamiiforums mobile app
Na mtindo huu uliwafanya wahujumu uchumi na mafisadi kutokufungwa licha ya kukiri kutenda kosa.
Najiuliza je plea bargaing ilianzishwa kwa makosa hayo mawili tu?Kwanini haikuhusisha makosa mengine au ndio sheria ya plea bargaining ilivyoundwa?
Sent from my sm-a145r using jamiiforums mobile app