Samahani sana wanaJF kwani nilikuwa nime-attach hako kanondo toka Citizen ambako kanaelezea jinsi Rais Sata wa ZAmbia anavyoyashughulikia masuala ya zambia mojawapo ni kupindua au kubadilisha maamuzi ya kuuza benki ya kibiashara kwa makaburu, nyingine ile kuwafuta kazi viongozi wa ZRA-Zambia Revenue Authority na kuwafuta kazi DC kama 72 ambayo politicians na kuwaweka academicians. Lakini kesho nitapost tena hako kanondo. Huo ndio urais safi siyo JK anapata kugugumizi katika decisions.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.