Kwanini inakuwa ngumu kubadilisha hata nukta kwenye huu mkataba ulioandaliwa na Hamza Johari kuhusu bandari zetu?

Dr Akili

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
4,953
4,326
Serikali na chama tawala wamefafanua vizuri sana kuhusu mradi huu wa bandari ya Dar es Salaam aliopewa mwekezaji kutoka Falme ya Dubai anayeitwa DP World.

2. Waziri wa Mipango na uwekezaji, Prof Kitila na wenzake wameeleza vizuri kwamba huyu DP World ndiye aliyeshinda tenda kati ya waombaji saba kutoka nchi mbali mbali duniani. Kwamba tenda hii ilihusu kazi ya upakuaji na upakiaji wa makontena pale bandari ya DSM iliyokuwa inafanywa na kampuni ya TICTS kutoka China ambayo mkataba wake uliisha mwaka jana. Tofauti tu ni kwamba mwekezaji huyu mpya atatakiwa kutumia automated cranes za kufanya kazi hiyo na kuweka mfumo wa tehama wa uendeshaji wa shughuli za pale bandarini DSM.

3. Wamesema vizuri na wananchi wamewaelewa na kukubaliana nao kwamba mwekezaji huyu hatakuwa na hadhi tofauti na wale wa TICTS au wale tuliwapaga DAWASA enzi zile na walipozengua tuliwatimua. Au wale kutoka India tuliowapaga kuendesha shirika letu la reli (TRC) na walipotuzengua tuliwatimua. Au wale kutoka Afrika Kusini tuliowapaga shirika letu la ndege na walipotuzengua tuliwatimua.

4. Tatizo ni kuwa mkataba ulioandaliwa na timu yetu ya negotions iliyoongozwa na mwanasheria kutoka wizara ya uchukuzi, Bw. Hamza Johari (mwenye LLM in international law from Ukraine), hauendani kabisa na matarajio hayo yanayoelezwa na serikali. Halitakuwa jambo lepesi kumtimua akizengua kama hao wengine waliotajwa hapo juu. Mwekezaji huyu amepewa mamlaka makubwa sana ya kutoingiliwa na serikali katika maeneo yake. Halafu kapewa na bandari zote za nchi yetu na mambo mengine kadhaa.

4. Uwezekano ni mkubwa draft hiyo ya Hamza Johari haikupelekwa kupitiwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali na ile kamati ya akina Kabudi na Osolo kabla ya kufika kwa rais kupata saini yake. Ndiyo maana AG na Kabudi wamejiweka mbali kuitetea. Huyu Hamza hataki kubadili hata nukta kwenye hayo maandiko yake. Watu kama Prof Shivji anawaita ni wazee ambao mambo ya IGA hawana ujuzi nayo kwani ni ya kisasa (new concept). Ni kama wale vijana wanavyowaita wazee ambao actually ndio waligundua computer kwamba ni BBC (Born Before Computer)!

Hamza hataki kubadili hata hiyo heading ya mkataba ili iendane na hayo matakwa ya serikali na wananchi. Kwamba "sea and lake ports in Tanzania" isomeke "port of Dar es Salaam". Hizo port zingine kazi ikipatikana si tenda itatangazwa na yeye si lazima ataipata. Haraka ya nini? Hamza alisema kitu kama bandari ya Bagamoyo karibu atapewa huyu jamaa wa DP World.

Kwamba kwenye Appendix 2 ya instrument of full powers, ..... maneno "and the Government of Dubai" yaondolewe kwani Prof Mbawala hawezi kusaini on behalf of the government of Dubai. Hata hili, Hamza ambaye LLB na LLM zake alizisoma kwa lugha ya kirusi nchini Ukraine (mwaka 1994 hadi 2000), hataki kabisa kukubali - yaani analiona ni sawa. Jamaa huyu anajua sana lugha ya kirusi kuliko ya kiingereza.

Article 20: Kwa nini Johannesburg? Kwa nini isiandikwe South Africa? Kwa nini isiwe Uganda au Kenya? Anasema Vienna convention wakati The Vienna Convention (of 1969) on the Law of Treaties is not yet in force because only 33 states have ratified the convention as per October 2022.
Sasa vitu obvious kama hivyo navyo vinakuwa tabu kukubaliana.
Sisi ni wanachama wa Multilateral Investment Guarantee Agency (MIGA) na International Center for Settlement of Investment Disputes (ICSID), hatuhitaji bla bla zingine.

Hamza hataki kukubali kwamba Falme ya Dubai si nchi jirani na Tanzania na hivyo haina mamlaka ya kuingia mkataba huo na sisi. Mwenye mamlaka hiyo ni UAE. Yeye Hamza kang'ang'ania Dubai ni nchi jirani na Tanzania, upuuzi mtupu sawa na wa yule waziri aliyesema Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zambia.

5. Kwa nini serikali kupitia Mwanasheria Mkuu wa serikali wakakaa na wadau wengine wa sheria na uchumi, kuuweka vizuri mkataba huo wa Hamza kwa masilahi ya taifa. Kwa nini mvutano wote huu wakati jambo hili lilikuwa jepesi tu kuliweka sawa kwa majadiliano ya kitalaamu na kufikia maridhiano tukitumia zile R nne alizotuelekeza Mama.
 
Ni swali zuri sana lililoulizwa katika mada hii.

Mimi nadhani huu ni mpango wa nguvu iliyofichika kwa nchi yetu; kwamba pawepo na jambo ambalo litabadilisha kabisa mwelekeo wa nchi, ambao haujawahi kutokea tangu tuwe huru.

"Mkataba/Makubaliano" yenyewe yanayotugonganisha vichwa ni kama mpango mpya wa kunyakua uhuru wetu, kwa hiyo halitakuwa jambo la ajabu sana kuonekana kama tumo kwenye mapambano ya kudai uhuru wetu katika awamu hii.

Kuna jambo zito sana wanalokazia shingo hawa watu.
 
Serikali na chama tawala wamefafanua vizuri sana kuhusu mradi huu wa bandari ya Dar es Salaam aliopewa mwekezaji kutoka Falme ya Dubai anayeitwa DP World.

2. Waziri wa Mipango na uwekezaji, Prof Kitila na wenzake wameeleza vizuri kwamba huyu DP World ndiye aliyeshinda tenda kati ya waombaji saba kutoka nchi mbali mbali duniani. Kwamba tenda hii ilihusu kazi ya upakuaji na upakiaji wa makontena pale bandari ya DSM iliyokuwa inafanywa na kampuni ya TICTS kutoka China ambayo mkataba wake uliisha mwaka jana. Tofauti tu ni kwamba mwekezaji huyu mpya atatakiwa automated cranes za kufanya kazi hiyo na kuweka mfumo wa tehama wa uendeshaji wa shughuli za pale bandarini DSM.

3. Wamesema vizuri na wananchi wamewaelewa na kukubaliana nao kwamba mwekezaji huyu hatakuwa na hadhi tofauti na wale wa TICTS au wale tuliwapaga DAWASA enzi zile na walipozengua tuliwatimua. Au wale kutoka India tuliowapaga kuendesha shirika letu la reli (TRC) na walipotuzengua tuliwatimua. Au wale kutoka Afrika Kusini tuliowapaga shirika letu la ndege na walipotuzengua tuliwatimua.

4. Tatizo ni kuwa mkataba ulioandaliwa na timu yetu ya negotions iliyoongozwa na mwanasheria kutoka wizara ya uchukuzi, Bw. Hamza Johari (mwenye LLM in international law from Ukraine), hauendani kabisa na matarajio hayo yanayoelezwa na serikali. Halitakuwa jambo lepesi kumtimua akizengua kama hao wengine waliotajwa hapo juu. Mwekezaji huyu amepewa mamlaka makubwa sana ya kutoingiliwa na serikali katika maeneo yake. Halafu kapewa na bandari zote za nchi yetu na mambo mengine kadhaa.

4. Uwezekano ni mkubwa draft hiyo ya Hamza Johari haikupelekwa kupitiwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali na ile kamati ya akina Kabudi na Osolo. Ndiyo maana AG na Kabudi wamejiweka mbali kuitetea. Huyu Hamza hataki kubadili hata nukta kwenye hayo maandiko yake. Watu kama Prof Shivji anawaita ni wazee ambao mambo ya ya IGA hawana ujuzi nayo kwani ni ya kisasa (new concept). Ni kama wale vijana wanavyowaita wazee ambao actually ndio waligundua computer kwamba ni BBC (Born Before Computer)!

Hamza hataki kubadili hata hiyo heading ya mkataba ili iendane na hayo matakwa ya serikali na wananchi. Kwamba "sea and lake ports in Tanzania" isomeke "port of Dar es Salaam". Hizo port zingine kazi ikipatikana si tenda itatangazwa na yeye si lazima ataipata. Haraka ya nini? Hamza alisema kitu kama bandari ya Bagamoyo karibu atapewa huyu jamaa.

Kwamba kwenye Appendix 2 ya instrument of full powers, ..... maneno "and the Government of Dubai" yaondolewe kwani Prof Mbawala hawezi kusaini on behalf of the government of Dubai.

Article 20: Kwa nini Johannesburg? Kwa nini isiandikwe South Africa? Kwa nini isiwe Uganda au Kenya? Anasema Vienna convention wakati The Vienna Convention (of 1969) on the Law of Treaties is not yet in force because only 33 states have ratified the convention as per October 2022.
Sasa vitu obvious kama hivyo navyo vinakuwa tabu kukubaliana.
Sisi ni wanachama wa Multilateral Investment Guarantee Agency (MIGA) na International Center for Settlement of Investment Disputes (ICSID), hatuhitaji bla bla zingine.

5. Kwa nini serikali kupitia Mwanasheria Mkuu wa serikali wakakaa na wadau wengine wa sheria na uchumi, kuuweka vizuri mkataba huo wa Hamza kwa masilahi ya taifa. Kwa nini mvutano wote huyu wakati jambo hili lilikuwa jepesi tu kuliweka sawa kwa majadiliano ya kitalaamu.
Kuna siku matokeo ya Johari yaliombwa humu nadhani ule uzi haukuchukua hata dakika
 
DP WORLD alishinda tenda iliyotangazwa lini? HAMZA JOHARI aliwekwa kama geresha tu, kwanini upande wa negotiating hatukupeleka kamati ya wanasheria wetu wakali?

Mwanasheria mkuu wa serikali kwanini hakuwa frontman wa kwenye mkataba huo?
TAtizo linaloit ea hii nchi kwenye gorvanance ni uoga na unafiki Mwanasheria Mkuu hata Siku anaongea alionesha Kabisa kuwa hayuponsawa!
Mbona Kabudi tuliyeambiwa kuwa ni Mshauri kwenye Mikataba hajitokezi ?!
Kuna watu kibao ndani ya Serikali wanahugumia ila wanaogopa kujitokeza!
Tumeliwa! Twafa!
 
DP WORLD alishinda tenda iliyotangazwa lini? HAMZA JOHARI aliwekwa kama geresha tu, kwanini upande wa negotiating hatukupeleka kamati ya wanasheria wetu wakali?

Mwanasheria mkuu wa serikali kwanini hakuwa frontman wa kwenye mkataba huo?
Hiyo ya mwanasheria mkuu kuonekana kama hakuhusika, na taratibu zote zilizotumika kama kule kufikisha taarifa kwa wananchi kutoa mawazo kabla ya kufikishwa Bungeni; pamoja na ujuha wote uliofanyika Bungeni; haya yote ni alama za kuonyesha udanganyifu katika swala zima.

Sasa ninajiuliza hapa: Hivi Mwanasheria Mkuu wa Serikali akijitokeza na kuukana mpango huu mzima, huyu mtu atanyongwa?
Hawa wabunge wote wanaojionyesha unafiki na kukaa kimya au kushiriki katika jambo haramu, wakijitokeza mbele na kukana, watanyongwa hawa?

Nchi hii ikiingia kwenye matatizo, huko wao wakiwa wamenyamaza, huku dhamira zao zikiwasuta, hawa watu wataishije ndani ya nchi hii?

Wote, akina Makamu wa Rais, Mawaziri na wote waliomo serikalini na hawakubaliani na ujambazi huu, inawasaidia kitu gani kuendelea kunyamaza katika swala lililo wazi kama hili?
 
Serikali na chama tawala wamefafanua vizuri sana kuhusu mradi huu wa bandari ya Dar es Salaam aliopewa mwekezaji kutoka Falme ya Dubai anayeitwa DP World.

2. Waziri wa Mipango na uwekezaji, Prof Kitila na wenzake wameeleza vizuri kwamba huyu DP World ndiye aliyeshinda tenda kati ya waombaji saba kutoka nchi mbali mbali duniani. Kwamba tenda hii ilihusu kazi ya upakuaji na upakiaji wa makontena pale bandari ya DSM iliyokuwa inafanywa na kampuni ya TICTS kutoka China ambayo mkataba wake uliisha mwaka jana. Tofauti tu ni kwamba mwekezaji huyu mpya atatakiwa automated cranes za kufanya kazi hiyo na kuweka mfumo wa tehama wa uendeshaji wa shughuli za pale bandarini DSM.

3. Wamesema vizuri na wananchi wamewaelewa na kukubaliana nao kwamba mwekezaji huyu hatakuwa na hadhi tofauti na wale wa TICTS au wale tuliwapaga DAWASA enzi zile na walipozengua tuliwatimua. Au wale kutoka India tuliowapaga kuendesha shirika letu la reli (TRC) na walipotuzengua tuliwatimua. Au wale kutoka Afrika Kusini tuliowapaga shirika letu la ndege na walipotuzengua tuliwatimua.

4. Tatizo ni kuwa mkataba ulioandaliwa na timu yetu ya negotions iliyoongozwa na mwanasheria kutoka wizara ya uchukuzi, Bw. Hamza Johari (mwenye LLM in international law from Ukraine), hauendani kabisa na matarajio hayo yanayoelezwa na serikali. Halitakuwa jambo lepesi kumtimua akizengua kama hao wengine waliotajwa hapo juu. Mwekezaji huyu amepewa mamlaka makubwa sana ya kutoingiliwa na serikali katika maeneo yake. Halafu kapewa na bandari zote za nchi yetu na mambo mengine kadhaa.

4. Uwezekano ni mkubwa draft hiyo ya Hamza Johari haikupelekwa kupitiwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali na ile kamati ya akina Kabudi na Osolo. Ndiyo maana AG na Kabudi wamejiweka mbali kuitetea. Huyu Hamza hataki kubadili hata nukta kwenye hayo maandiko yake. Watu kama Prof Shivji anawaita ni wazee ambao mambo ya ya IGA hawana ujuzi nayo kwani ni ya kisasa (new concept). Ni kama wale vijana wanavyowaita wazee ambao actually ndio waligundua computer kwamba ni BBC (Born Before Computer)!

Hamza hataki kubadili hata hiyo heading ya mkataba ili iendane na hayo matakwa ya serikali na wananchi. Kwamba "sea and lake ports in Tanzania" isomeke "port of Dar es Salaam". Hizo port zingine kazi ikipatikana si tenda itatangazwa na yeye si lazima ataipata. Haraka ya nini? Hamza alisema kitu kama bandari ya Bagamoyo karibu atapewa huyu jamaa.

Kwamba kwenye Appendix 2 ya instrument of full powers, ..... maneno "and the Government of Dubai" yaondolewe kwani Prof Mbawala hawezi kusaini on behalf of the government of Dubai.

Article 20: Kwa nini Johannesburg? Kwa nini isiandikwe South Africa? Kwa nini isiwe Uganda au Kenya? Anasema Vienna convention wakati The Vienna Convention (of 1969) on the Law of Treaties is not yet in force because only 33 states have ratified the convention as per October 2022.
Sasa vitu obvious kama hivyo navyo vinakuwa tabu kukubaliana.
Sisi ni wanachama wa Multilateral Investment Guarantee Agency (MIGA) na International Center for Settlement of Investment Disputes (ICSID), hatuhitaji bla bla zingine.

5. Kwa nini serikali kupitia Mwanasheria Mkuu wa serikali wakakaa na wadau wengine wa sheria na uchumi, kuuweka vizuri mkataba huo wa Hamza kwa masilahi ya taifa. Kwa nini mvutano wote huyu wakati jambo hili lilikuwa jepesi tu kuliweka sawa kwa majadiliano ya kitalaamu.
Andiko zuri sana uliloweka hapa.
PONGEZI KWAKO.

Labda niongeze tu kwamba HAMZA HANA TURUFU YA VETO kwenye swala hili.
Yeye anatumika kama kifaa tu, basi. Anaposema hayo maneno, ni njia tu ya kushiklia kikombe kisidondoke, huku akisikiliza waliompa kazi wanasemaje.

Inawezekana kabisa, hata Samia mwenyewe anaweza kuwa ni mateka wakati huu. Wigo wake wa kujiondoa ukawa ni finyu sana, kwa hiyo anaendelea kushikilia hapo hapo akitegemea mwishowe kutapatikana njia ya kutokea.

Mbaya zaidi, anaweza kujikuta anatumbukiza taifa kwenye janga ambalo halijapata kutokea.
 
Hiyo ya mwanasheria mkuu kuonekana kama hakuhusika, na taratibu zote zilizotumika kama kule kufikisha taarifa kwa wananchi kutoa mawazo kabla ya kufikishwa Bungeni; pamoja na ujuha wote uliofanyika Bungeni; haya yote ni alama za kuonyesha udanganyifu katika swala zima.

Sasa ninajiuliza hapa: Hivi Mwanasheria Mkuu wa Serikali akijitokeza na kuukana mpango huu mzima, huyu mtu atanyongwa?
Hawa wabunge wote wanaojionyesha unafiki na kukaa kimya au kushiriki katika jambo haramu, wakijitokeza mbele na kukana, watanyongwa hawa?

Nchi hii ikiingia kwenye matatizo, huko wao wakiwa wamenyamaza, huku dhamira zao zikiwasuta, hawa watu wataishije ndani ya nchi hii?

Wote, akina Makamu wa Rais, Mawaziri na wote waliomo serikalini na hawakubaliani na ujambazi huu, inawasaidia kitu gani kuendelea kunyamaza katika swala lililo wazi kama hili?
Huyu mwanasheria akijitokeza na kuukana huu mkataba inawezekana kabisa siku chache baada ya hapo tukatangaziwa kuwa alipata matatizo ya upumuaji akiwa usingizini.
 
Serikali na chama tawala wamefafanua vizuri sana kuhusu mradi huu wa bandari ya Dar es Salaam aliopewa mwekezaji kutoka Falme ya Dubai anayeitwa DP World.

2. Waziri wa Mipango na uwekezaji, Prof Kitila na wenzake wameeleza vizuri kwamba huyu DP World ndiye aliyeshinda tenda kati ya waombaji saba kutoka nchi mbali mbali duniani. Kwamba tenda hii ilihusu kazi ya upakuaji na upakiaji wa makontena pale bandari ya DSM iliyokuwa inafanywa na kampuni ya TICTS kutoka China ambayo mkataba wake uliisha mwaka jana. Tofauti tu ni kwamba mwekezaji huyu mpya atatakiwa automated cranes za kufanya kazi hiyo na kuweka mfumo wa tehama wa uendeshaji wa shughuli za pale bandarini DSM.

3. Wamesema vizuri na wananchi wamewaelewa na kukubaliana nao kwamba mwekezaji huyu hatakuwa na hadhi tofauti na wale wa TICTS au wale tuliwapaga DAWASA enzi zile na walipozengua tuliwatimua. Au wale kutoka India tuliowapaga kuendesha shirika letu la reli (TRC) na walipotuzengua tuliwatimua. Au wale kutoka Afrika Kusini tuliowapaga shirika letu la ndege na walipotuzengua tuliwatimua.

4. Tatizo ni kuwa mkataba ulioandaliwa na timu yetu ya negotions iliyoongozwa na mwanasheria kutoka wizara ya uchukuzi, Bw. Hamza Johari (mwenye LLM in international law from Ukraine), hauendani kabisa na matarajio hayo yanayoelezwa na serikali. Halitakuwa jambo lepesi kumtimua akizengua kama hao wengine waliotajwa hapo juu. Mwekezaji huyu amepewa mamlaka makubwa sana ya kutoingiliwa na serikali katika maeneo yake. Halafu kapewa na bandari zote za nchi yetu na mambo mengine kadhaa.

4. Uwezekano ni mkubwa draft hiyo ya Hamza Johari haikupelekwa kupitiwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali na ile kamati ya akina Kabudi na Osolo. Ndiyo maana AG na Kabudi wamejiweka mbali kuitetea. Huyu Hamza hataki kubadili hata nukta kwenye hayo maandiko yake. Watu kama Prof Shivji anawaita ni wazee ambao mambo ya ya IGA hawana ujuzi nayo kwani ni ya kisasa (new concept). Ni kama wale vijana wanavyowaita wazee ambao actually ndio waligundua computer kwamba ni BBC (Born Before Computer)!

Hamza hataki kubadili hata hiyo heading ya mkataba ili iendane na hayo matakwa ya serikali na wananchi. Kwamba "sea and lake ports in Tanzania" isomeke "port of Dar es Salaam". Hizo port zingine kazi ikipatikana si tenda itatangazwa na yeye si lazima ataipata. Haraka ya nini? Hamza alisema kitu kama bandari ya Bagamoyo karibu atapewa huyu jamaa.

Kwamba kwenye Appendix 2 ya instrument of full powers, ..... maneno "and the Government of Dubai" yaondolewe kwani Prof Mbawala hawezi kusaini on behalf of the government of Dubai.

Article 20: Kwa nini Johannesburg? Kwa nini isiandikwe South Africa? Kwa nini isiwe Uganda au Kenya? Anasema Vienna convention wakati The Vienna Convention (of 1969) on the Law of Treaties is not yet in force because only 33 states have ratified the convention as per October 2022.
Sasa vitu obvious kama hivyo navyo vinakuwa tabu kukubaliana.
Sisi ni wanachama wa Multilateral Investment Guarantee Agency (MIGA) na International Center for Settlement of Investment Disputes (ICSID), hatuhitaji bla bla zingine.

5. Kwa nini serikali kupitia Mwanasheria Mkuu wa serikali wakakaa na wadau wengine wa sheria na uchumi, kuuweka vizuri mkataba huo wa Hamza kwa masilahi ya taifa. Kwa nini mvutano wote huyu wakati jambo hili lilikuwa jepesi tu kuliweka sawa kwa majadiliano ya kitalaamu.
Mkuu Dr Akili , kwanza hongera sana kwa bandiko zuri very objective.
  1. Kilicho pelekwa Bungeni na kuridhiwa na Bunge ni IGA, huu sio mkataba ni makubaliano tuu!, mkataba ni HGA, bado haujasainiwa!
  2. Ni kweli hii IGA ina matatizo lukuki Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!
  3. Japo hiyo IGA ina matatizo lukuki, ikiwemo illegality lakini HGA inaweza kuwa nzuri Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
  4. Hii IGA ya DPW, imetusaidia sana kutambua IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria vilaza wa Ajabu. Je, Bunge letu na Serikali navyo ni vya Ajabu?
  5. Pia imetuonyesha jinsi Katiba mbovu, sheria mbovu, mikataba mibovu. Leo tumetozwa zaidi ya Tsh. Bilioni 260. Kufanywa kichwa cha Mwendawazimu hadi lini?
P
 
Serikali na chama tawala wamefafanua vizuri sana kuhusu mradi huu wa bandari ya Dar es Salaam aliopewa mwekezaji kutoka Falme ya Dubai anayeitwa DP World.

2. Waziri wa Mipango na uwekezaji, Prof Kitila na wenzake wameeleza vizuri kwamba huyu DP World ndiye aliyeshinda tenda kati ya waombaji saba kutoka nchi mbali mbali duniani. Kwamba tenda hii ilihusu kazi ya upakuaji na upakiaji wa makontena pale bandari ya DSM iliyokuwa inafanywa na kampuni ya TICTS kutoka China ambayo mkataba wake uliisha mwaka jana. Tofauti tu ni kwamba mwekezaji huyu mpya atatakiwa automated cranes za kufanya kazi hiyo na kuweka mfumo wa tehama wa uendeshaji wa shughuli za pale bandarini DSM.

3. Wamesema vizuri na wananchi wamewaelewa na kukubaliana nao kwamba mwekezaji huyu hatakuwa na hadhi tofauti na wale wa TICTS au wale tuliwapaga DAWASA enzi zile na walipozengua tuliwatimua. Au wale kutoka India tuliowapaga kuendesha shirika letu la reli (TRC) na walipotuzengua tuliwatimua. Au wale kutoka Afrika Kusini tuliowapaga shirika letu la ndege na walipotuzengua tuliwatimua.

4. Tatizo ni kuwa mkataba ulioandaliwa na timu yetu ya negotions iliyoongozwa na mwanasheria kutoka wizara ya uchukuzi, Bw. Hamza Johari (mwenye LLM in international law from Ukraine), hauendani kabisa na matarajio hayo yanayoelezwa na serikali. Halitakuwa jambo lepesi kumtimua akizengua kama hao wengine waliotajwa hapo juu. Mwekezaji huyu amepewa mamlaka makubwa sana ya kutoingiliwa na serikali katika maeneo yake. Halafu kapewa na bandari zote za nchi yetu na mambo mengine kadhaa.

4. Uwezekano ni mkubwa draft hiyo ya Hamza Johari haikupelekwa kupitiwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali na ile kamati ya akina Kabudi na Osolo. Ndiyo maana AG na Kabudi wamejiweka mbali kuitetea. Huyu Hamza hataki kubadili hata nukta kwenye hayo maandiko yake. Watu kama Prof Shivji anawaita ni wazee ambao mambo ya ya IGA hawana ujuzi nayo kwani ni ya kisasa (new concept). Ni kama wale vijana wanavyowaita wazee ambao actually ndio waligundua computer kwamba ni BBC (Born Before Computer)!

Hamza hataki kubadili hata hiyo heading ya mkataba ili iendane na hayo matakwa ya serikali na wananchi. Kwamba "sea and lake ports in Tanzania" isomeke "port of Dar es Salaam". Hizo port zingine kazi ikipatikana si tenda itatangazwa na yeye si lazima ataipata. Haraka ya nini? Hamza alisema kitu kama bandari ya Bagamoyo karibu atapewa huyu jamaa.

Kwamba kwenye Appendix 2 ya instrument of full powers, ..... maneno "and the Government of Dubai" yaondolewe kwani Prof Mbawala hawezi kusaini on behalf of the government of Dubai.

Article 20: Kwa nini Johannesburg? Kwa nini isiandikwe South Africa? Kwa nini isiwe Uganda au Kenya? Anasema Vienna convention wakati The Vienna Convention (of 1969) on the Law of Treaties is not yet in force because only 33 states have ratified the convention as per October 2022.
Sasa vitu obvious kama hivyo navyo vinakuwa tabu kukubaliana.
Sisi ni wanachama wa Multilateral Investment Guarantee Agency (MIGA) na International Center for Settlement of Investment Disputes (ICSID), hatuhitaji bla bla zingine.

5. Kwa nini serikali kupitia Mwanasheria Mkuu wa serikali wakakaa na wadau wengine wa sheria na uchumi, kuuweka vizuri mkataba huo wa Hamza kwa masilahi ya taifa. Kwa nini mvutano wote huyu wakati jambo hili lilikuwa jepesi tu kuliweka sawa kwa majadiliano ya kitalaamu.
Kwa kweli Kuna mambo ya kushangaza sana.very simple things zinawashinda CCM mpaka kuligawa taifa.ni ujinga uliyopitiliza kwa kweli.uwekezaji huu hautakiwi kulinganishwa na ule wa mradi wa kufua umeme wa nyerere hydrolic power.ni kweli wapinzani walipiga keleke juu ya mradi ule Hayati JPM akaukomalia .Yes ,ni sisi tuliinvest kama taifa,tukifeli hatuna wakutushtaki.Huu wa bandari tukiwavurumsha tunashatikiwa na kulipa ma billion ya fedha.kama Kuna vipengele haviko Sawa why visilekebishwe?
Wakati mwingine unatamani kusema hivi : Sawa tuendelee na mkataba huu ,kwa sababu watu wamepiga kele ,hamtaki kusikia basi iwe hivi ,ikiwa itatokea mgogoro wowote basi signatory wa mkataba watafutwe na kutupwa jela milele pamoja na familia zao.

Mithali 29:1 SRUV​

Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafla, wala hapati dawa
 
Kwani paskali Makubalino ,Si ndiyo yanaweka Msingi wa Mkataba! ?
 
Maandiko yako yanaoongelea HGA ambayo hatutaiona ,hivyo kujadili mambo ya kufikirika, na maswala ya uzi ni haya"
Hamza hataki kubadili hata hiyo heading ya mkataba ili iendane na hayo matakwa ya serikali na wananchi. Kwamba "sea and lake ports in Tanzania" isomeke "port of Dar es Salaam". Hizo port zingine kazi ikipatikana si tenda itatangazwa na yeye si lazima ataipata. Haraka ya nini? Hamza alisema kitu kama bandari ya Bagamoyo karibu atapewa huyu jamaa.

Kwamba kwenye Appendix 2 ya instrument of full powers, ..... maneno "and the Government of Dubai" yaondolewe kwani Prof Mbawala hawezi kusaini on behalf of the government of Dubai.

Article 20: Kwa nini Johannesburg? Kwa nini isiandikwe South Africa? Kwa nini isiwe Uganda au Kenya? Anasema Vienna convention wakati The Vienna Convention (of 1969) on the Law of Treaties is not yet in force because only 33 states have ratified the convention as per October 2022
 
Yes, makubaliano ndio msingi wa mkataba, ikitokea makubaliano ni mabovu na mkaubaini ubovu wa makubaliano hayo kabla hamjaandika mkataba, then mna nafasi ya kurekebisha ubovu mkapata mkataba mzuri, na mifano ya hili ipo nimekuwekea Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
P
Kwa hiyo bwana mayala, ubovu wa hayo unayoyaita makubaliaano' ingawa bunge lilisema mkataba',umeyaona au la
 
Back
Top Bottom