luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,036
- 21,299
Mimi
niliomba msaada humu masikini ID yng wakadhani me ni ke,yani mtu
anaku-pm haraka na ana uwezo wa kukufanyia mpango but mkiwasiliana tu
akasikia ni me ndo anapotea mazima.
Mpaka ss nipo tu nimekaa Mungu anajua[/QUOTE
Pole sana,
walichukulia tofauti neno halisi ya mkwano kwa wanao jua maana linatumika sana ug