Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,287
- 222,344
2025 , mikakati yote imekamilikaMkuu Erythrocyte lini itakombolewa?
Itakombolewaje?
Ubanguzi wa ajira na mikopo vyuo vikuu kwa bara kwa wasio na vyama hali ikoje Tanzania bara??
2025 , mikakati yote imekamilikaMkuu Erythrocyte lini itakombolewa?
Itakombolewaje?
Ubanguzi wa ajira na mikopo vyuo vikuu kwa bara kwa wasio na vyama hali ikoje Tanzania bara??
Kwanini ufananishe na Ulaya????Mkuu Citizen_37 je na nchi za wenzetu mfano za ulaya hasa Waliotutawala nao wana ubanguzi kama huu kwa raia wao ambao yamkini hawana vyama wako neutral?
Kwa katiba hii ya muungano ya 1977?2025
Ndiyo waliotutawala hasa uingereza.Kwanini ufananishe na Ulaya????
Sasa huoni kama unakosea na unajikosea wewe mwenyewe????Ndiyo waliotutawala hasa uingereza.
Na ndiko tunazungusha kopo la kuombea mikopo kwa mikubwa na midogo zaidi na zaidi.
kwanza kabisaa acha upotoshaji 🐒Wana Jf bila shaka mpo salama,
Hongereni kwa majukumu ya kutwa zima ya ujenzi wa uchumi mtu mmoja mmoja, Familia na Taifa,
Bila kuwachosha nijielekeze kwenye hoja yangu,
Kwa Zanzibar unakuta kuna malalamiko sana chini kwa chini hasa linapokuja swala la kuajiliwa kwenye taasisi za serikali na hata kwenye vikosi mbali mbali za majeshi, Jku, Kmkm, Valatia nk.
1. Unakuta vijana wana sifa zote za kuajiliwa, elimu wako vizuri.
2. Ni raia halali wa nchi.
3. Vipimo vya afya vinaonyesha wako fit.
4. Vitambulisho vyote wanavyo nk.
Lakini tu kwa sababu yeye si mwanachama wa chama Fulani, hana kadi ya umoja wa vijana wa chama na kwenye system ya chama jina lake halionekani basi kijana huyu au vijana hawa majina yao yanaenguliwa kuweza kuendelea na michakato inayofua.
Je mlio madarakani kwa nini mnafanya hivi?
Hawa mnaowaweka kando kisa tu si wanachama mnakuwa mpo sahihi kwa kiasi gani?
Hawa vijana ni raia wa nchi yenu wanazo haki zote za kikatiba juu ya nchi yao ikiwemo kulitumikia taifa lao kwenye nyanja mbali mbali.
Leo hii kwenye baadhi ya taasisi mfano Hospital ya Mnazi Mmoja, baadhi yao wameajiliwa hawana vigenzo lakini tu kwa sababu ni wanachama wa chama chenu wametumika kupiga kura 2015 au 2020 wanapata upendeleo wa kuajiliwa, mwisho wa siku ukienda Mnazi Mmoja hospital unakutana na baadhi ya watoa huduma wenye kauli mbovu kwa wateja, wavivu wa kazi, watoro wachelewaji hawana weledi na kazi zao, hawana ubunifu, wenye sifa wengi wao mnawatupa nje ya mfumo.
Je, mnajenga taifa la namna gani?
Je, Tanzania bara nako haya hayapo maana chama ni hicho hicho?
Watanzania wengi tunajinasibu wacha Mungu kupitia dini zetu, Uislamu, Ukristo nk je dini zetu zinaruhusu ubaguzi?
Kubangua watu kwa sababu ya chama kwenye ucha Mungu ruksa?
Ikifika Kwaresima, Ramadhani full kufunga, swala tano, je dhamiri zenu zinawashuhudiaje juu ya hili na Mungu mnayemwabudu anawaangalije juu ya hili?
Ni mfumo mbaya wa kibaguzi, mapinduzi yalifanyika miongoni mwa mambo ilikuwa ni wa Africa wana wa nchi Zanzibar kubanguliwa kwenye huduma mbalimbali ikiwemo elimu, leo hii umepindua unaendeleza yale yale ya mkoloni.Ndio kwa vile CCM wanatawala kule ,ile Zanzibar ona vile kuna jamii hat kazi hawapati wamebaki kuvua hata wasome kwa sababu ya mfumo wa CCM .
Upotoshaji upi?kwanza kabisaa acha upotoshaji 🐒
pili, malalamiko ni yako binafsi usisingizie chini kwa chini 🐒
hakikisha una vigezo stahiki tajika sio siasa unazo jaribu kuziingiza kwenye masuala nyeti na muhimu sana kwa maslahi mapana ya usawa na haki SUK na JMT..
Pili ya Mungu ana panga na kuratibu Mungu mwenyewe kwa wakati wake muafa, na wala hakawii wala kuchelewa kuitimiza ahadi yake kwa kila mja wake....
kumbe inshu ipo serious, kuna mtu aliniambia ameenda azam marine kutuma kadi ya chama iende zanzibar.Lakini tu kwa sababu, hana kadi ya umoja wa vijana wa chama na kwenye system ya chama jina lake halionekani basi kijana huyu au vijana hawa majina yao yanaenguliwa kuweza kuendelea na michakato inayofua.
Je mlio madarakani kwa nini mnafanya hivi?
unaendelea kukiri kwamba hayo ni manunguniko yako binafsi 🐒Upotoshaji upi?
Una uhakika gani kwamba ni malamiko yangu binafsi?
Uko wapi usawa kwenye kuajili hasa kipindi hiki cha vijana kuajiliwa kwenye vikosi?
Fanya research japo dogo juu ya wanaochwa,
Au wewe ni miongoni mwao hao wenye kuhakikisha hadi uwe mwanachama, uwe na kadi ya chama, uwe kwenye data ya chama uvccm?
Mimi nawashauri vijana wote chukueni kadi za ccm. Najua wengi ni kama mimi- kadi au vazi la ccm linaniletea kinyaa, ila we ichukue iweke mahali ambapo hutaiona mara kwa mara. Ukisikia issue yoyote ambayo kuna dalili ya upendeleo kwa wanaccm, ibukanayo. Lakini moyoni una msimamo wako thabiti wa kisiasa, na kwenye chaguzi kura zako zielekeze pale moyo wako unapenda.Baadhi ya vijana wengine wala hawana vyama, wala hawaichukii Ccm wala Act Wazalendo, bali hawana vyama,
Na kwenye jamii huwezi kuwalazimisha watu watu wote wafanane, watakuwepo wenye vyama na wasio na vyama, wapenda haki na amani, je unawatengaje hawa kwenye kuijenga nchi?
Je makoloni waliotutawala Waingereza nk nao raia wao huwabangua kwenye ajira hata km wana kidhi vigezo vya ajira ila tu kwa sababu si wa chama tawala unawaweka kando?
Mkuu unataka sema kwa sasa kuna dhambi mpya ya uchawaUkichunguza ki undani wengi wanaofunga Kwaresma au Ramadhani, wanafunga ni kama wanajishindisha njaa tu, maana matendo yao hayaendani na wanachokifanya., Ubaguzi, unafiki, u chawa, uzinzi, ufirauni n.k yote haya huwa wanasitisha kwa muda tu baada ya mwezi kuisha wanarudia yale yale.
Kuna watu watakubishia tuu au watadai ushahidi, lakini hii kitu kama haija kukuta huwezi kuamini labda akuambie mtu wako wa karibu sana.Wana Jf bila shaka mpo salama,
Hongereni kwa majukumu ya kutwa zima ya ujenzi wa uchumi mtu mmoja mmoja, Familia na Taifa,
Bila kuwachosha nijielekeze kwenye hoja yangu,
Kwa Zanzibar unakuta kuna malalamiko sana chini kwa chini hasa linapokuja swala la kuajiliwa kwenye taasisi za serikali na hata kwenye vikosi mbali mbali za majeshi, Jku, Kmkm, Valatia nk.
1. Unakuta vijana wana sifa zote za kuajiliwa, elimu wako vizuri.
2. Ni raia halali wa nchi.
3. Vipimo vya afya vinaonyesha wako fit.
4. Vitambulisho vyote wanavyo nk.
Lakini tu kwa sababu yeye si mwanachama wa chama Fulani, hana kadi ya umoja wa vijana wa chama na kwenye system ya chama jina lake halionekani basi kijana huyu au vijana hawa majina yao yanaenguliwa kuweza kuendelea na michakato inayofua.
Je mlio madarakani kwa nini mnafanya hivi?
Hawa mnaowaweka kando kisa tu si wanachama mnakuwa mpo sahihi kwa kiasi gani?
Hawa vijana ni raia wa nchi yenu wanazo haki zote za kikatiba juu ya nchi yao ikiwemo kulitumikia taifa lao kwenye nyanja mbali mbali.
Leo hii kwenye baadhi ya taasisi mfano Hospital ya Mnazi Mmoja, baadhi yao wameajiliwa hawana vigenzo lakini tu kwa sababu ni wanachama wa chama chenu wametumika kupiga kura 2015 au 2020 wanapata upendeleo wa kuajiliwa, mwisho wa siku ukienda Mnazi Mmoja hospital unakutana na baadhi ya watoa huduma wenye kauli mbovu kwa wateja, wavivu wa kazi, watoro wachelewaji hawana weledi na kazi zao, hawana ubunifu, wenye sifa wengi wao mnawatupa nje ya mfumo.
Je, mnajenga taifa la namna gani?
Je, Tanzania bara nako haya hayapo maana chama ni hicho hicho?
Watanzania wengi tunajinasibu wacha Mungu kupitia dini zetu, Uislamu, Ukristo nk je dini zetu zinaruhusu ubaguzi?
Kubangua watu kwa sababu ya chama kwenye ucha Mungu ruksa?
Ikifika Kwaresima, Ramadhani full kufunga, swala tano, je dhamiri zenu zinawashuhudiaje juu ya hili na Mungu mnayemwabudu anawaangalije juu ya hili?
Wajifanyie tathmini kwanini hawaajiri.Mimi sijaomba kuajiliwa, ila malalamiko kwa vijana ni mengi kuhusiana na kubanguliwa kisa hawajulikani kwa naibu katibu mkuu uvccm Zanzibar.
Ni kweli kabisa mkuu.Wajifanyie tathmini kwanini hawaajiri.
Kuna sehemu wanakosea
Wana mbinu zao za kukutumia na hata kujiridhisha,Mimi nawashauri vijana wote chukueni kadi za ccm. Najua wengi ni kama mimi- kadi au vazi la ccm linaniletea kinyaa, ila we ichukue iweke mahali ambapo hutaiona mara kwa mara. Ukisikia issue yoyote ambayo kuna dalili ya upendeleo kwa wanaccm, ibukanayo. Lakini moyoni una msimamo wako thabiti wa kisiasa, na kwenye chaguzi kura zako zielekeze pale moyo wako unapenda.
Na hawajifichi, mtu yupo kwenye usafiri wa public anaongea wazi wazi kabisa kwamba "hata uwe na connection na mtu mkubwa wa serikalini au kwenye taasisi akutengenezee connection ya kazi, kama huna kadi ya chama na haupo kwenye system makao makuu Zanzibar ya uvccm au Chamani Kisiwadui jina lako litakosa sifa litatupwa kule"Kuna watu watakubishia tuu au watadai ushahidi, lakini hii kitu kama haija kukuta huwezi kuamini labda akuambie mtu wako wa karibu sana.
Nishawahi ulizwa hili swali, "UNA KADI YA CHAMA" sikutegemea mazingira kama yale kuulizwa vile. Nkamwambia sina. Kitambulisho cha "MZANZIBARI MKAAZI" je? Sina. Nna "NIDA" na "CHA KUPIGIA KURA", eti aah.. sasa kile si cha "BARA" nkaishiwa pozi..
Eeh..Kuna watu watakubishia tuu au watadai ushahidi, lakini hii kitu kama haija kukuta huwezi kuamini labda akuambie mtu wako wa karibu sana.
Nishawahi ulizwa hili swali, "UNA KADI YA CHAMA" sikutegemea mazingira kama yale kuulizwa vile. Nkamwambia sina. Kitambulisho cha "MZANZIBARI MKAAZI" je? Sina. Nna "NIDA" na "CHA KUPIGIA KURA", eti aah.. sasa kile si cha "BARA" nkaishiwa pozi..
Sehemu nyingi kuna malalamiko hayo hasa vikosi piaEeh..
Samahani, kazi ilikua inahusiana na kitu gani?